Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Muda wa kupiga pesaa huu ,mlitutesa Sana kipindi.cha baba yenu lazima tufidiee
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Sio kweli labda kwenye shell yakoMasahihisho,
Mafuta yamepanda Kwa TZS 350+ Kwa lita ya Petrol
Case ya kikatiba pia itakuwa imeamuliwa 7/8/2023.Madam President atakuwa Likizo, si unajua upepo wa Bandari hauvumi vizuri upande wa Magogoni.
Msubirie kumwona Jumanne Ijayo wakati wa kilele cha Sikukuu ya Wakulima pale Mbeya.
Hakika 🪑🪑Nasemaje, maneno kidogo...pesa nyingi 😁
Wewe kwako yamepanda Kwa kiasi gani?Sio kweli labda kwenye shell yako
Kama kawarudishia dude lao,5H-ONE imeonekana JNIA jioni ya leo, huenda amerudi kimya kimya kama alivyoondoka.https://fr24.com/data/aircraft/5h-one#31699458
Bilioni 300 zatumika kumsifiaNdugu zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa Rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana uarabuni, kwani Rais ana likizo? Na kama ni ndio kwanini uarabuni. Huyu mama ameshindwa kuvaa koti la Urais?
Bado anafanya mambo kama wanawake wa Kiswahili? Kama ndivyo nchi itamshinda. Tunaambiwa wafa yabiashara wameficha mafuta kusubiri bei mpya na imeonekana ni kweli. Bei mpya tumeisikia imepanda sana kwa zaidi ya sh. 30.
Wafanyabiashara walijuaje itapanda hivi? Lazima kuna wafanyakazi wa EWURA walishatoa mkeka kabla, rais yuko likizo.
Haya tena Geita jana halmashauri ya mji wodi zimefungwa kisa hakuna dawa, na Waziri wa Afya yuko likizo? Hao ndio wanawake na uongozi.
We jombaa unataka Rais aonekane Kila saa kwa Nini? Mbona we hatukuoni una fake ID!Ndugu zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa Rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana uarabuni, kwani Rais ana likizo? Na kama ni ndio kwanini uarabuni. Huyu mama ameshindwa kuvaa koti la Urais?
Bado anafanya mambo kama wanawake wa Kiswahili? Kama ndivyo nchi itamshinda. Tunaambiwa wafa yabiashara wameficha mafuta kusubiri bei mpya na imeonekana ni kweli. Bei mpya tumeisikia imepanda sana kwa zaidi ya sh. 30.
Wafanyabiashara walijuaje itapanda hivi? Lazima kuna wafanyakazi wa EWURA walishatoa mkeka kabla, rais yuko likizo.
Haya tena Geita jana halmashauri ya mji wodi zimefungwa kisa hakuna dawa, na Waziri wa Afya yuko likizo? Hao ndio wanawake na uongozi.
Alitumwa agawe bure nchi yetu? Tutamuandama hadi ndotoni hadi akiri kuuza nchi na avunje mkatabaWe jombaa unataka Rais aonekane Kila saa kwa Nini? Mbona we hatukuoni una fake ID!
Ila kuhusu uongozi na kinamama hapo nakuunga mkono na mguu! Kinamama kazi Yao ni kuleta watoto duniani na kuwalea, hii mambo ya uongozi si yao, ukimpinga kitu inakuwa nongwa anachukulia personal na utamkoma!
Ni zaidi ya uliyosema, elewa kuwa mafuta yanapanda kutokana na umbali, bei ya Mtwara haiwezi lingana na ya Tabora au Mbeya au Msoma nkWewe kwako yamepanda Kwa kiasi gani?
Wewe unataka lawama vipewe visima vya mafuta?Mafuta nayo yakiongezeka bei lawama mnampa raisi?.Kwani Tanzania tuna visima vya mafuta.
Bashiru na Lukuvi Naona wanachekea chooniWanawake wanaujinga mwingi hawafai kupewa madaraka makubwa