Rais Samia yupo kimya, natamani azungumzie matukio yanayosambaa

Rais Samia yupo kimya, natamani azungumzie matukio yanayosambaa

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Mpendwa wetu Rais hajatokea kuzungumza au kuonyesha kukerwa na wale askari waliombaka Binti wa Yombo na kuhusishwa na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.

Yaani askari aliyeapa kuwalinda Watanzania Leo hadharani kwenye camera anabaka Mtanganyika mwenzetu, Bora hata angekuwa huko vitani anabaka. Waasi Sasa hawa Watanzania watalindwa na nani kama walinzi ndo wabakaji.

Pia, soma:
Natamani Rais atoke akemee na haya matukio ya askari kubaka na kiongozi wa polisi kutoa kauli ya kuishi ati aliyebakwa alikuwa kahaba, sio jambo zuri.

Najua Rais anawatuma wawakilishi kufanya kazi ila kauli yake itawatia moyo wana familia hawa.
 
Azungumzee nini wakati bila kupewa tango pori haingii kwa pepa......
 
Tatizo sio matukio tatizo ni wake zetu. Raisi anawawakilishi acha wafanye kazi
 
Mpendwa wetu Rais hajatokea kuzungumza au kuonyesha kukerwa na wale askari waliombaka Binti wa Yombo na kuhusishwa na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama
Yaani askari aliyeapa kuwalinda Watanzania Leo hadharani kwenye camera anabaka Mtanganyika mwenzetu, Bora hata angekuwa huko vitani anabaka. Waasi
Sasa hawa Watanzania watalindwa na nani kama walinzi ndo wabakaji

Natamani Rais atoke akemee na haya matukio ya askari kubaka na kiongozi wa polisi kutoa kauli ya kuishi ati aliyebakwa alikuwa kahaba, sio jambo zuri
Najua Rais anawatuma wawakilishi kufanya kazi ila kauli yake itawatia moyo wana familia hawa
Chura kiziwi inabidi tumwagie maji ya moto akaugulie kizimkazi atuachie Tanganyika yetu. Hatuwezi kuwa na rais asiyesikiliza matatizo ya watu wake ilihali kila siku uonevu na matukio ya kutisha yanazidi kuongezeka.
 
Kizimkazi hawezi kuongelea jambo hilo.yeye huongelea ya kuuza Tanganyika tu basi.mfano kuwauzia waarabu ardhi yetu ya ngorongoro na kumtuma mkwe wake kufuta hivyo vijiji Kwa manufaa ya wajomba wake waarabu
 
Mpendwa wetu Rais hajatokea kuzungumza au kuonyesha kukerwa na wale askari waliombaka Binti wa Yombo na kuhusishwa na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama
Yaani askari aliyeapa kuwalinda Watanzania Leo hadharani kwenye camera anabaka Mtanganyika mwenzetu, Bora hata angekuwa huko vitani anabaka. Waasi
Sasa hawa Watanzania watalindwa na nani kama walinzi ndo wabakaji

Natamani Rais atoke akemee na haya matukio ya askari kubaka na kiongozi wa polisi kutoa kauli ya kuishi ati aliyebakwa alikuwa kahaba, sio jambo zuri
Najua Rais anawatuma wawakilishi kufanya kazi ila kauli yake itawatia moyo wana familia hawa
Lakini ni kawaida ya nchi hii kuelekea uchaguzi huwa kuna matukio mengi ya hovyo na viongozi hawajitokezi kuyakemea
 
Kubambukizia kesi za uongo kwa raia wema wasio na hatia, kubaka, kuteka, kupoteza, kuua,... Duh
 
Back
Top Bottom