Rais Samia, zile milioni 10 kwa kila goli achana nazo, toa ndege zipeleke washangiliaji

Rais Samia, zile milioni 10 kwa kila goli achana nazo, toa ndege zipeleke washangiliaji

Lipa nauli uende, acha kudeka.
Hizo anazogundua CAG zimeliwa si bora mama aagize tu hizo taasisi kila moja itoe 1bl, naamini fleet nzima ya ATCL itaenda kupeleka watu na za kula hotelini zitapatikana hata na bahasha (posho) za washangiliaji zitapatikana pia kuliko zinavyopigwa na kuvushwa Offshore.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom