Rais Satta wa Zambia aliuawa kwa kugundulika Mtanzania. Emanuel Mwamba akazuiwa kwa same reason

Rais Satta wa Zambia aliuawa kwa kugundulika Mtanzania. Emanuel Mwamba akazuiwa kwa same reason

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Ni kwamba Marehemu Satta,wazazi wake wana asili ya Tabora inaposemekana pia hadi leo pana hotel iitwayo Satta na ndugu zake wengine wapo huko.Inadaiwa hivyo jameni.

Alizaliwa 1937 lakini critics wakaendelea kudai alikuwa ana keep intouch na root yake huko Tanzania.

Kelele ziliongezeka sana juu ya suala hili haswa pale madai mapya yalipojitokeza kwamba katibu kiongozi wa Serikali ya Zambia wakati huo, Emannuel Mwamba alifoji jina siyo Mzambia ni Mtanzania ambaye wazazi wake walitorokea Zambia wakikimbia umaskini Tanzania,wapiga filimbi hao walidai jina lake ni Emannuel Gerri na sio Mwamba,jamaa alipoteza hiko cheo.

Ingawa reason kubwa ilikuwa vibali vya matangazo vilivyotolewa kwa radio na TV ,phoenix fm na muvi tv tatizo likiwa kwamba shares kubwa ni za wageni

Hata hivyo tayari hapo kulikuwa na fukuto kubwa kuhusu Utanzania wa Mwamba na Satta huku baadhi ya watu wa kitengo wakiwa na hasira sana juu ya hilo.

Inadaiwa nguvu fulani katika idara nyeti zilifanya yake na Mr Satta alianza kupata matatizo ya kiafya haswa moyo hadi alipofariki jijini London na Rais Edgar Lungu aka-take over wakati huo huo Mr Mwamba alionekana ana nia ya kugombea Uenyekiti wa Patriotic Front chama tawala akapigwa mkwara mkubwa sana akubali kuchukua cheo cha ubalozi wa Zambia huko South Africa ama laa.

Ni fununu na madai tu,msitokwe na mapovu ya kufulia nguo hapa
fghgfhfgh.PNG
marahemu Michael Satta na Emanuel Mwamba(Gerri)
 
Haya mambo haya yapo tu kila mahali. US walisema Obama siyo Mwamerika ni mhamiaji . Zambia kabla ya huyo Chiluba aliwahi kusema Kaunda si raia bali ni Mmalawi. Kwetu yanasemwa mengi . Zanzibar aliyeongoza mapinduzi wala siyo Mzanzibari !!.

Wenzetu wanaangalia kipaji utakachoifaidisha nchi na si asili. Africa tunakomaa na asili kipaji baadaye [emoji12][emoji2][emoji23][emoji1787]
 
Sijui niseme binadamu au waafrika tunahangaika na mambo hayana maana.Asili ya mtu ina uhusiano gani na mtu kuongoza, kuongoza kunategemeana na uwezo wa mtu kuongoza sio asili.Sasa mtu Kama Satta hata Kama ana asili ya Tanzania lakini kazaliwa Zambia kuna shida gani akiongoza? maana kwa kuzaliwa tu tayari ni mzambia hawaoni kama wanamnyima haki yake? Au walitaka awe rais wa Tanzania wakati sio mtanzania?
 
Ni kwamba Marehemu satta,wazazi wake wana asili ya tabora inaposemekana pia hadi leo pana hotel iitwayo satta hotel na ndugu zake wengine wapo huko
Inadaiwa hivyo jameni.alizaliwa 1937 lakini critics wakaendelea kudai alikuwa ana keep intouch na root yake huko Tanzania.
Kelele ziliongezeka sana juu ya suala hili haswa pale madai mapya yalipojitokeza kwamba katibu kiongozi wake, Emmanuel Mwamba alifoji jina siyo mzambia ni Mtanzania ambaye wazazi wake walitorokea zambia wakikimbia umaskini Tanzania,wapiga filimbi hao walidai jina lake ni Emannuel Gerri na sio Mwamba,jamaa alipoteza hiko cheo
ingawa reason kubwa ilikuwa vibali vya matangazo vilivyotolewa kwa radio na TV ,phoenix fm na muvi tv tatizo likiwa kwamba shares kubwa ni za wageni
Hata hivyo tayari hapo kulikuwa na fukuto kubwa kuhusu U tanzania wa Mwamba na satta huku baadhi ya watu wa kitengo wakiwa na hasira sana juu ya hilo.
Inadaiwa nguvu fulani katika idara nyeti zilifany ayake na Mr satta alianza kupata matatizo ya kiafya haswa moyo hadi alipofariki jijini london na Rais Edgar Lungu aka take over wakati huohuo Mr mwamba alionekana ana nia ya kugombea Uenyekiti wa Patriotic front chama tawala akapigwa mkwara mkubwa sana akubali kuchukua cheo cha ubalozi wa zambia huko south africa AMA LAA.......
NI FUNUNU NA MADAI TU,MSITOKWE NA MAPOVU YA KUFULIA NGUO HAPA
View attachment 1089812marahemu Michael satta na Emanuel mwamba(gerri)

Uandishi haueleweki,ungepangilia ningetaka neno
 
Tuwe Na Raha Mioyoni Na Kujazwa Shukrani
 
Haya mambo haya yapo tu kila mahali. US walisema Obama siyo Mwamerika ni mhamiaji . Zambia kabla ya huyo Chiluba aliwahi kusema Kaunda si raia bali ni Mmalawi. Kwetu yanasemwa mengi . Zanzibar aliyeongoza mapinduzi wala siyo Mzanzibari !!.

Wenzetu wanaangalia kipaji utakachoifaidisha nchi na si asili. Africa tunakomaa na asili kipaji baadaye [emoji12][emoji2][emoji23][emoji1787]
Kweli mkuu,Marekani huko jeshini kuna watu wana majina ya Kina Kimario na wakujaga likizo bongo kama kawa na wana vyeo tu,wachina ni wapinzani wa USA lkn wachina wako wengi tu huko kwny US Army.

Wahindi mpk wasomali wengine ni ma-senator kama Ilhan Abdullahi Omar lkn kwny shithole countries ndo wanamaind vitu vya dizaini hii.
 
Sijui niseme binadamu au waafrika tunahangaika na mambo hayana maana.Asili ya mtu ina uhusiano gani na mtu kuongoza, kuongoza kunategemeana na uwezo wa mtu kuongoza sio asili.Sasa mtu Kama Satta hata Kama ana asili ya Tanzania lakini kazaliwa Zambia kuna shida gani akiongoza? maana kwa kuzaliwa tu tayari ni mzambia hawaoni kama wanamnyima haki yake? Au walitaka awe rais wa Tanzania wakati sio mtanzania?
Kafuatilie kilichotokea peru enzi hizo ndio utajua maana ya asili ya mtu
 
Hahahaha, RDC kuna mbunge na Waziri wa miundo mbinu Katanga ,anaitwa Nazeem Nazembe , ni mlebanon na aliwahi kuwa afisa huko kwao
Kweli mkuu,Marekani huko jeshini kuna watu wana majina ya Kina Kimario na wakujaga likizo bongo kama kawa na wana vyeo tu,wachina ni wapinzani wa USA lkn wachina wako wengi tu huko kwny US Army.

Wahindi mpk wasomali wengine ni ma-senator kama Ilhan Abdullahi Omar lkn kwny shithole countries ndo wanamaind vitu vya dizaini hii.
 
baadhi ya ‘wazambia’ asili yao ni Tz hususan mkoa wa mbeya, nakumbuka baada ya ile ajali ya ndege iliyo wauwa wacheza soka wa timu ya taifa ya zambia, wachezaji3 miongoni mwao walimkuja kuzikwa mbeya kwa ‘wazazi’ Wao, zambia walienda kuganga njaa!
 
Hahahaha, RDC kuna mbunge na Waziri wa miundo mbinu Katanga ,anaitwa Nazeem Nazembe , ni mlebanon na aliwahi kuwa afisa huko kwao
Hahah aisee naona RDC imeanza kua na mtizamo wakuona mbali mkuu,so long anachapa kazi naona ni sawa kabisaaa mkuu.
 
Hahah aisee naona RDC imeanza kua na mtizamo wakuona mbali mkuu,so long anachapa kazi naona ni sawa kabisaaa mkuu.
hao hawana shida walitawaliwa miaka 18 na mnyarwanda na madini yakaenda kujenga kigali sasa hivi kuna pandikizi jingine pia la kigali it is business as usual, naona umesifia mkuu tujaribu wanyarwanda nini tuwape serikali yote watawale?
 
Back
Top Bottom