Rais Satta wa Zambia aliuawa kwa kugundulika Mtanzania. Emanuel Mwamba akazuiwa kwa same reason

Rais Satta wa Zambia aliuawa kwa kugundulika Mtanzania. Emanuel Mwamba akazuiwa kwa same reason

Kweli mkuu,Marekani huko jeshini kuna watu wana majina ya Kina Kimario na wakujaga likizo bongo kama kawa na wana vyeo tu,wachina ni wapinzani wa USA lkn wachina wako wengi tu huko kwny US Army.

Wahindi mpk wasomali wengine ni ma-senator kama Ilhan Abdullahi Omar lkn kwny shithole countries ndo wanamaind vitu vya dizaini hii.
Hivi Hawa wanawatreat vipi Hawa watu?
 
hao hawana shida walitawaliwa miaka 18 na mnyarwanda na madini yakaenda kujenga kigali sasa hivi kuna pandikizi jingine pia la kigali it is business as usual, naona umesifia mkuu tujaribu wanyarwanda nini tuwape serikali yote watawale?

Na wewe naona umeponda,basi kama vipi tuwape serikali mabeberu waongoze tu au unaonaje?


Daah mwanangu mtu chake nasikia RDC huko mmepandikiziwa tena rais na Kagame,hahah.

Porojo za humu zinavutia sana.
 
Ishu ya kuvujiwa taarifa zao za kiintelejensia kwa kuajiri wageni sehemu za kiusalama
Jamaa wanafanya proper vetting kwa mtu anaye apply kazi zao(so wameinvest heavily hapo) mkuu.

So far foreigners ni 13.5% ya total population ya USA so hata namna ya kuwazuia kujiunga na majeshi ni shughuli.
 
Hapa tu Tz tukianza kuulizana asili watabaki wachache sana wengi watakuwa
mambulula wengi vizazi vyao sio hapa lakini tumezaliwa humu bongo lala
 
Sijui niseme binadamu au waafrika tunahangaika na mambo hayana maana.Asili ya mtu ina uhusiano gani na mtu kuongoza, kuongoza kunategemeana na uwezo wa mtu kuongoza sio asili.Sasa mtu Kama Satta hata Kama ana asili ya Tanzania lakini kazaliwa Zambia kuna shida gani akiongoza? maana kwa kuzaliwa tu tayari ni mzambia hawaoni kama wanamnyima haki yake? Au walitaka awe rais wa Tanzania wakati sio mtanzania?
Unajua wachaga, wahaya, wanyakyusa wanaendekeza sana haya mambo, muda ni ticha mzuri kizazi cha kibaguzi kitaisha. We mfano wachaga kibao wapo mwanza, tbr ila hebu gusa huko moshi sijui wewe mgogo, wanaweza hata kukuua simply hutoki kabila lao.
 
Watabaki wagogo tu
Malecela ni mgogo lkn Marehemu Kambona alisema Malecela ni Mcongo original na Nyerere ni mtusi(ila hata mtoto wake Malecela yule William ak.a le mutuzi anafanana kiaina hivi na rais wa sasa waCongo tshisekedi,hahah.

So hata wagogo hawatabaki.
 
Hahahaha, asee
hao hawana shida walitawaliwa miaka 18 na mnyarwanda na madini yakaenda kujenga kigali sasa hivi kuna pandikizi jingine pia la kigali it is business as usual, naona umesifia mkuu tujaribu wanyarwanda nini tuwape serikali yote watawale?
 
Na wewe naona umeponda,basi kama vipi tuwape serikali mabeberu waongoze tu au unaonaje?


Daah mwanangu mtu chake nasikia RDC huko mmepandikiziwa tena rais na Kagame,hahah.

Porojo za humu zinavutia sana.
Hahahaha, humu kila MTU mtaalam,jamaa kafungua hadi Uzi khs JKK, wkt hizo habari ziko humu toka 2006 JF ya mwanzo ile

Umesahau na tz ina kopromaiziwa na ....
 
Hahah duuh mjomba amejipanga na bundle la uhakika,maana baada ya kila dakiia 5 kuna ka uzi kapyaaaaa

Bahati mbaya siku hizi nasikia uvivu kubishana tu mkuu hahah.

Hapo hio ya ku-kopromaiziwa niliposomaga uzi wake nikauchekiiiiii afu nikasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ...........
Hahahaha, humu kila MTU mtaalam,jamaa kafungua hadi Uzi khs JKK, wkt hizo habari ziko humu toka 2006 JF ya mwanzo ile

Umesahau na tz ina kopromaiziwa na ....
 
Back
Top Bottom