Hivi Hawa wanawatreat vipi Hawa watu?Kweli mkuu,Marekani huko jeshini kuna watu wana majina ya Kina Kimario na wakujaga likizo bongo kama kawa na wana vyeo tu,wachina ni wapinzani wa USA lkn wachina wako wengi tu huko kwny US Army.
Wahindi mpk wasomali wengine ni ma-senator kama Ilhan Abdullahi Omar lkn kwny shithole countries ndo wanamaind vitu vya dizaini hii.
hao hawana shida walitawaliwa miaka 18 na mnyarwanda na madini yakaenda kujenga kigali sasa hivi kuna pandikizi jingine pia la kigali it is business as usual, naona umesifia mkuu tujaribu wanyarwanda nini tuwape serikali yote watawale?
Kuwa treat kiaje mkuu,bado sijakusoma kidogo hapo.Hivi Hawa wanawatreat vipi Hawa watu?
Ishu ya kuvujiwa taarifa zao za kiintelejensia kwa kuajiri wageni sehemu za kiusalamaKuwa treat kiaje mkuu,bado sijakusoma kidogo hapo.
Ishu ya kuvujiwa taarifa zao za kiintelejensia kwa kuajiri wageni sehemu za kiusalamaKuwa treat kiaje mkuu,bado sijakusoma kidogo hapo.
Jamaa wanafanya proper vetting kwa mtu anaye apply kazi zao(so wameinvest heavily hapo) mkuu.Ishu ya kuvujiwa taarifa zao za kiintelejensia kwa kuajiri wageni sehemu za kiusalama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huku. Kwetu kuna Mzee ni mnyarwanda ila ndo mwenyekit WA Sacoss yetu!ko huwa inatokea!!!
Unajua wachaga, wahaya, wanyakyusa wanaendekeza sana haya mambo, muda ni ticha mzuri kizazi cha kibaguzi kitaisha. We mfano wachaga kibao wapo mwanza, tbr ila hebu gusa huko moshi sijui wewe mgogo, wanaweza hata kukuua simply hutoki kabila lao.Sijui niseme binadamu au waafrika tunahangaika na mambo hayana maana.Asili ya mtu ina uhusiano gani na mtu kuongoza, kuongoza kunategemeana na uwezo wa mtu kuongoza sio asili.Sasa mtu Kama Satta hata Kama ana asili ya Tanzania lakini kazaliwa Zambia kuna shida gani akiongoza? maana kwa kuzaliwa tu tayari ni mzambia hawaoni kama wanamnyima haki yake? Au walitaka awe rais wa Tanzania wakati sio mtanzania?
Hata mtu wa kwanza kuumbwa alitoka kwetu hahahaBinadamu wote asili yao ni Tanzania
Watabaki wagogo tuHapa tu Tz tukianza kuulizana asili watabaki wachache sana wengi watakuwa
mambulula wengi vizazi vyao sio hapa lakini tumezaliwa humu bongo lala
Malecela ni mgogo lkn Marehemu Kambona alisema Malecela ni Mcongo original na Nyerere ni mtusi(ila hata mtoto wake Malecela yule William ak.a le mutuzi anafanana kiaina hivi na rais wa sasa waCongo tshisekedi,hahah.Watabaki wagogo tu
Hahah duuh ndege jolowe,hilo jina sijalisikia kitambo sana mkuu.Kumbe kuna watu walikimbia njaa Tz
Yaani hata jolowe walikuwa hawapo
[emoji3][emoji3][emoji3]Hahah duuh ndege jolowe,hilo jina sijalisikia kitambo sana mkuu.
Kuna mwingine anaitwa ndege jijiii.
hao hawana shida walitawaliwa miaka 18 na mnyarwanda na madini yakaenda kujenga kigali sasa hivi kuna pandikizi jingine pia la kigali it is business as usual, naona umesifia mkuu tujaribu wanyarwanda nini tuwape serikali yote watawale?
Hahahaha, humu kila MTU mtaalam,jamaa kafungua hadi Uzi khs JKK, wkt hizo habari ziko humu toka 2006 JF ya mwanzo ileNa wewe naona umeponda,basi kama vipi tuwape serikali mabeberu waongoze tu au unaonaje?
Daah mwanangu mtu chake nasikia RDC huko mmepandikiziwa tena rais na Kagame,hahah.
Porojo za humu zinavutia sana.
Hahah umetisha mkuu.[emoji3][emoji3][emoji3]
Utakuwa wa unyanyembe wewe
Hahahaha, humu kila MTU mtaalam,jamaa kafungua hadi Uzi khs JKK, wkt hizo habari ziko humu toka 2006 JF ya mwanzo ile
Umesahau na tz ina kopromaiziwa na ....