Rais siyo mama yenu acheni kujikomba. Mumheshimu mnapo muongelea kwa cheo chake. Mnajikomba sana

Rais siyo mama yenu acheni kujikomba. Mumheshimu mnapo muongelea kwa cheo chake. Mnajikomba sana

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Mama hivi , mama vile... unamwangalia huyu unamwona njaa inamsumbua na ameshamkana mama yake kwa sababu ya vipande 30 . Rais si mama wala baba yenu. mama yako akikusikia unaiya ita wa mama wa watu mama atakuona boya sana na unajikomba to the maximum.

Mnapomuongelea rais kwa cheo chake muiteni rais. mkiwa nyumbani kwake mnaweza mwita mama kwa heshima. lakini si kujikomba mara mama hivi, mara mama vile. it is very unprofessional na kujikomba kuliko pitiliza. naye atawachoka maana mnashindana kuonesha nani anajua kujikomba zaidi kuliko mwenzie.

Mwanaume mzima natembea amebeba picha ya rais na kila akiongea anataja taja mama, mama.... ni sawa na wale wanafiki ambao wana njaa kila akiongea atakuita mzee hivi, mzee vile. boss hivi boss vile....kuendekeza njaa na makombolezo. msidhani naye hawaoni ........anawaona na kuwadharau sana. anajua ni njaa na unafiki tu umewajaa.
 
Utadhani sa100 ndiye anatoa oksigen duniani!
Njaaaaaaa!!!
 
Mama hivi , mama vile... unamwangalia huyu unamwona njaa inamsumbua na ameshamkana mama yake kwa sababu ya vipande 30 . Rais si mama wala baba yenu. mama yako akikusikia unaiya ita wa mama wa watu mama atakuona boya sana na unajikomba to the maximum.

Mnapomuongelea rais kwa cheo chake muiteni rais. mkiwa nyumbani kwake mnaweza mwita mama kwa heshima. lakini si kujikomba mara mama hivi, mara mama vile. it is very unprofessional na kujikomba kuliko pitiliza. naye atawachoka maana mnashindana kuonesha nani anajua kujikomba zaidi kuliko mwenzie.

Mwanaume mzima natembea amebeba picha ya rais na kila akiongea anataja taja mama, mama.... ni sawa na wale wanafiki ambao wana njaa kila akiongea atakuita mzee hivi, mzee vile. boss hivi boss vile....kuendekeza njaa na makombolezo. msidhani naye hawaoni ........anawaona na kuwadharau sana. anajua ni njaa na unafiki tu umewajaa.
Umekereka mkuu, uchawa umezidi Sana
 
Mama hivi , mama vile... unamwangalia huyu unamwona njaa inamsumbua na ameshamkana mama yake kwa sababu ya vipande 30 . Rais si mama wala baba yenu. mama yako akikusikia unaiya ita wa mama wa watu mama atakuona boya sana na unajikomba to the maximum.

Mnapomuongelea rais kwa cheo chake muiteni rais. mkiwa nyumbani kwake mnaweza mwita mama kwa heshima. lakini si kujikomba mara mama hivi, mara mama vile. it is very unprofessional na kujikomba kuliko pitiliza. naye atawachoka maana mnashindana kuonesha nani anajua kujikomba zaidi kuliko mwenzie.

Mwanaume mzima natembea amebeba picha ya rais na kila akiongea anataja taja mama, mama.... ni sawa na wale wanafiki ambao wana njaa kila akiongea atakuita mzee hivi, mzee vile. boss hivi boss vile....kuendekeza njaa na makombolezo. msidhani naye hawaoni ........anawaona na kuwadharau sana. anajua ni njaa na unafiki tu umewajaa.
Kama kwenu hakuna UPENDO na UNYENYEKEVU wa kiafrika na kiswahili....



Kama kwenu hakuna KUJISHUSHA....


Basi sisi wengine tutakufundisha adabu na heshima ya JMT kuwa sisi vijana JEURI wa malengo makuu ya taifa hili , kila MWANAMKE ni MAMA.....


Tunawaheshimu wanawake kwa sababu ya kutuzaa na kutulea ,hata mama yako ni MAMA yangu japo WEWE NDIYE ALIYEKUZAA ....


Adabu yako hafifu kwa wanawake ikupaushe mwenyewe ,kwetu mh.Rais Samia Suluhu Hassan ni MAMA mlezi ,mama COMFORTER OF THE NATION....atabaki hivyo ijapokuwa hajawazaa vijana wote milioni 40 wa taifa letu tukufu!

SIUNGI MKONO HOJA!

#Samia ni TUNU ya JMT!
 
Mama hivi , mama vile... unamwangalia huyu unamwona njaa inamsumbua na ameshamkana mama yake kwa sababu ya vipande 30 . Rais si mama wala baba yenu. mama yako akikusikia unaiya ita wa mama wa watu mama atakuona boya sana na unajikomba to the maximum.

Mnapomuongelea rais kwa cheo chake muiteni rais. mkiwa nyumbani kwake mnaweza mwita mama kwa heshima. lakini si kujikomba mara mama hivi, mara mama vile. it is very unprofessional na kujikomba kuliko pitiliza. naye atawachoka maana mnashindana kuonesha nani anajua kujikomba zaidi kuliko mwenzie.

Mwanaume mzima natembea amebeba picha ya rais na kila akiongea anataja taja mama, mama.... ni sawa na wale wanafiki ambao wana njaa kila akiongea atakuita mzee hivi, mzee vile. boss hivi boss vile....kuendekeza njaa na makombolezo. msidhani naye hawaoni ........anawaona na kuwadharau sana. anajua ni njaa na unafiki tu umewajaa.
Dogo wengine wanaita Mama, wewe hupendi upuuzi huo. Si ndio?. Tatizo nini?
 
Back
Top Bottom