Rais, subiri kidogo kutia saini kulivunja jiji la Dar es Salaam

Rais, subiri kidogo kutia saini kulivunja jiji la Dar es Salaam

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Mji wa Dar es Salaam ulikuwa ni sehemu tu ya mkoa wa Pwani, kutokana na idadi yake kubwa ya watu wanasiasa waliamua ujitenge ili uwe mkoa unaojitegemea. Ilala, Kinondoni, Temeke na Ubungo ilikuwa ni mitaa tu ya mji wa Dar es salaam ambayo baadae wanasiasa waliigeuza kuwa wilaya/halmashauri ili kusogeza karibu huduma kwa wananchi.

Ilala, Kinondoni na Ubungo ni mitaa/wilaya ambazo zimeshikana zinazounda jiji la Dar es Salaam, hivyo wanashirikiana kwenye mambo mengi sana ikiwemo stend kuu, mabenki, shule, nk. Hivyo kuifanya Ilala pekee kuwa jiji na nyingine kubaki kuwa halmashauri ni sawa lakini kutaleta mtafaruku wa kiutendaji muda sio mrefu ambao unaweza kusababisha Rais ajae baada ya muda wako kwisha akaamua vinginevyo tena.

Maswali tunayojiuliza wananchi ni je:

1. Mamlaka ya jiji la Ilala hayatafika kwenye halmashauri nyingine?

2. Je, Ilala, Kinondoni, Temeke, Ubungo na Kinondoni zina vyanzo sawa vya mapato ya kujiendesha? Au zitagawanaje mapato?

3. Itakuwaje kama siku moja Ubungo, Temeke, Kinondoni, na Kigamboni pia zikipata hadhi ya kuwa majiji? Tutakuwa na majiji 4 yaliyoko karibu?

4. Je, jina la Dar es Salaam litatumika tukimaanisha sehemu gani kati ya hizi halmashauri?

Kwa maoni yangu mimi, kwakuwa Dar es Salaam imeungana kuanzia Kigamboni, Ilala, Ubungo na Temeke ni rahisi sana kuzivunja halmashauri zote zilizopo sasa na kulibakisha jiji la Dar es Salaam likiwa moja tu Dar es Salaam tu na kata zake ili kupunguza mzigo wa matumizi ya kuwa na wakuu wa Wilaya, wakurugenzi wa Wilaya, na watendaji wengine kwenye halmashuri which are more cost kuliko matumizi ya jiji bila halmashauri.

Kuvunja halmashauri zote na kubakisha jiji kunaokoa pesa nyingi zaidi kuliko kuvunja jiji na kubakisha Ilala kama jiji na halmashauri za Temeke, Ubungo, Kinondoni na kigamboni.

Kama hoja ni kubana matumizi ya uendeshaji wa Dar es Salaam basi tuvunje halmashauri zote ibaki moja tu ya jiji la Dar es Salaam na madiwani wa kuchaguliwa kwenye kata za Dar es Salaam.
 
Tupo sample ya signed letter ya Rais kutengua dar from being a city na kuirasimisha Ilala.
 
Je, Unamkumbuka Charles Kaenja? Mkapa aliisha wahi kufanya kitu kama hiki though havifanani sana na hi ya jana.
 
Mji wa Dar es Salaam ulikuwa ni sehemu tu ya mkoa wa Pwani, kutokana na idadi yake kubwa ya watu wanasiasa waliamua ujitenge ili uwe mkoa unaojitegemea. Ilala, Kinondoni, Temeke na Ubungo ilikuwa ni mitaa tu ya mji wa Dar es salaam ambayo baadae wanasiasa waliigeuza kuwa wilaya/halmashauri ili kusogeza karibu huduma kwa wananchi.

Ilala, Kinondoni na Ubungo ni mitaa/wilaya ambazo zimeshikana zinazounda jiji la Dar es Salaam, hivyo wanashirikiana kwenye mambo mengi sana ikiwemo stend kuu, mabenki, shule, nk. Hivyo kuifanya Ilala pekee kuwa jiji na nyingine kubaki kuwa halmashauri ni sawa lakini kutaleta mtafaruku wa kiutendaji muda sio mrefu ambao unaweza kusababisha Rais ajae baada ya muda wako kwisha akaamua vinginevyo tena.

Maswali tunayojiuliza wananchi ni je:

1. Mamlaka ya jiji la Ilala hayatafika kwenye halmashauri nyingine?

2. Je, Ilala, Kinondoni, Temeke, Ubungo na Kinondoni zina vyanzo sawa vya mapato ya kujiendesha? Au zitagawanaje mapato?

3. Itakuwaje kama siku moja Ubungo, Temeke, Kinondoni, na Kigamboni pia zikipata hadhi ya kuwa majiji? Tutakuwa na majiji 4 yaliyoko karibu?

4. Je, jina la Dar es Salaam litatumika tukimaanisha sehemu gani kati ya hizi halmashauri?

Kwa maoni yangu mimi, kwakuwa Dar es Salaam imeungana kuanzia Kigamboni, Ilala, Ubungo na Temeke ni rahisi sana kuzivunja halmashauri zote zilizopo sasa na kulibakisha jiji la Dar es Salaam likiwa moja tu Dar es Salaam tu na kata zake ili kupunguza mzigo wa matumizi ya kuwa na wakuu wa Wilaya, wakurugenzi wa Wilaya, na watendaji wengine kwenye halmashuri which are more cost kuliko matumizi ya jiji bila halmashauri.

Kuvunja halmashauri zote na kubakisha jiji kunaokoa pesa nyingi zaidi kuliko kuvunja jiji na kubakisha Ilala kama jiji na halmashauri za Temeke, Ubungo, Kinondoni na kigamboni.

Kama hoja ni kubana matumizi ya uendeshaji wa Dar es Salaam basi tuvunje halmashauri zote ibaki moja tu ya jiji la Dar es Salaam na madiwani wa kuchaguliwa kwenye kata za Dar es Salaam.
wilaya ya dodoma ni jiji, wilaya za kongwa na chamwino sio majiji, wilaya ya mbeya ni jiji, wilaya za rungwe na kyela sio majiji, wilaya ya Tanga ni jiji, wilaya za lushoto na koogwe sio majiji, ombeni mpate wilaya ya Daslamu kwanza kabla ya kulia lia. Wa Mwanza mjiandae, mnafuatia nyinyi.
 
Uko sawa 100%
Tena kama shida ni matumizi basi hata
Mkuu ukisafiri nje ya fence ya kimawazo uliyojiwekea utaelewa kuwa councils zina peleka huduma karibu zaidi ya wananchi.

Jiji la London lina Councils 32!
Dar es Salaam kila kitu kiko under one roof. Kwani Dar es Salaam lina wakazi wangapi wanaohitaji wakuu 5 wa wilaya? Usitoe mfano wa London bila kutoa na supporting background yake wa hizo councils 32. Tuchukue mifano ya majiji ya East Africa kwanza, kisha Sadc and then Africa kabla ya kurukia London.

Kama concept ya kulivunja jiji ni kubana matumizi na sio ubora wa utoaji huduma kwanini usifikirie kuziunganisha hata halimashauri za Kibaha, Bagamoyo na Mkuranga kwenye jiji la Dar es Salaam ili kuondoa matumizi makubwa ya kuendesha Wilaya zote 8? maana Kibaha, Bagamoyo, Mkuranga na Kisarawe zimekutana na jiji la Dar es Salaam. Ninaifikiria hiyo siku ambayo Ilala, Temeke, Kigamboni, Ubungo, Kinondoni, Kisarawe, Bagamoyo, Mkuranga na kibaha yatakapopata hadhi ya kuwa majiji pia.

Nadhani tunapowaza tuwaze kabisa na sio nusunusu, fikiria miaka 100 ijayo. London ni jiji la kale sana duniani wacha kulifananisha na chochote.
 
wilaya ya dodoma ni jiji, wilaya za kongwa na chamwino sio majiji, wilaya ya mbeya ni jiji, wilaya za rungwe na kyela sio majiji, wilaya ya Tanga ni jiji, wilaya za lushoto na koogwe sio majiji, ombeni mpate wilaya ya Daslamu kwanza kabla ya kulia lia. Wa Mwanza mjiandae, mnafuatia nyinyi.
Mkoa wa Tanga kuna mji unaitwa Tanga ambao ndiyo jiji la tanga, Mkoa wa Dodoma kuna mji unaitwa Dodoma ambao ndiyo jiji la Dodoma, je mbona Mkoa wa Dar es Salam jiji lake linaitwa Ilala?
 
Mkoa wa Tanga kuna mji unaitwa Tanga ambao ndiyo jiji la tanga, Mkoa wa Dodoma kuna mji unaitwa Dodoma ambao ndiyo jiji la Dodoma, je mbona Mkoa wa Dar es Salam jiji lake linaitwa Ilala?
kwasababu mkoani daslam hakuna mji unaoitwa daslamu
 
Mji wa Dar es Salaam ulikuwa ni sehemu tu ya mkoa wa Pwani, kutokana na idadi yake kubwa ya watu wanasiasa waliamua ujitenge ili uwe mkoa unaojitegemea. Ilala, Kinondoni, Temeke na Ubungo ilikuwa ni mitaa tu ya mji wa Dar es salaam ambayo baadae wanasiasa waliigeuza kuwa wilaya/halmashauri ili kusogeza karibu huduma kwa wananchi.

Ilala, Kinondoni na Ubungo ni mitaa/wilaya ambazo zimeshikana zinazounda jiji la Dar es Salaam, hivyo wanashirikiana kwenye mambo mengi sana ikiwemo stend kuu, mabenki, shule, nk. Hivyo kuifanya Ilala pekee kuwa jiji na nyingine kubaki kuwa halmashauri ni sawa lakini kutaleta mtafaruku wa kiutendaji muda sio mrefu ambao unaweza kusababisha Rais ajae baada ya muda wako kwisha akaamua vinginevyo tena.

Maswali tunayojiuliza wananchi ni je:

1. Mamlaka ya jiji la Ilala hayatafika kwenye halmashauri nyingine?

2. Je, Ilala, Kinondoni, Temeke, Ubungo na Kinondoni zina vyanzo sawa vya mapato ya kujiendesha? Au zitagawanaje mapato?

3. Itakuwaje kama siku moja Ubungo, Temeke, Kinondoni, na Kigamboni pia zikipata hadhi ya kuwa majiji? Tutakuwa na majiji 4 yaliyoko karibu?

4. Je, jina la Dar es Salaam litatumika tukimaanisha sehemu gani kati ya hizi halmashauri?

Kwa maoni yangu mimi, kwakuwa Dar es Salaam imeungana kuanzia Kigamboni, Ilala, Ubungo na Temeke ni rahisi sana kuzivunja halmashauri zote zilizopo sasa na kulibakisha jiji la Dar es Salaam likiwa moja tu Dar es Salaam tu na kata zake ili kupunguza mzigo wa matumizi ya kuwa na wakuu wa Wilaya, wakurugenzi wa Wilaya, na watendaji wengine kwenye halmashuri which are more cost kuliko matumizi ya jiji bila halmashauri.

Kuvunja halmashauri zote na kubakisha jiji kunaokoa pesa nyingi zaidi kuliko kuvunja jiji na kubakisha Ilala kama jiji na halmashauri za Temeke, Ubungo, Kinondoni na kigamboni.

Kama hoja ni kubana matumizi ya uendeshaji wa Dar es Salaam basi tuvunje halmashauri zote ibaki moja tu ya jiji la Dar es Salaam na madiwani wa kuchaguliwa kwenye kata za Dar es Salaam.
Mkuu ilala imefanywa kuwa jiji kivipi!?
 
Mkoa wa Tanga kuna mji unaitwa Tanga ambao ndiyo jiji la tanga, Mkoa wa Dodoma kuna mji unaitwa Dodoma ambao ndiyo jiji la Dodoma, je mbona Mkoa wa Dar es Salam jiji lake linaitwa Ilala?
Dah!
 
Tena kama shida ni matumizi basi hata

Dar es Salaam kila kitu kiko under one roof. Kwani Dar es Salaam lina wakazi wangapi wanaohitaji wakuu 5 wa wilaya? Usitoe mfano wa London bila kutoa na supporting background yake wa hizo councils 32. Tuchukue mifano ya majiji ya East Africa kwanza, kisha Sadc and then Africa kabla ya kurukia London.

Kama concept ya kulivunja jiji ni kubana matumizi na sio ubora wa utoaji huduma kwanini usifikirie kuziunganisha hata halimashauri za Kibaha, Bagamoyo na Mkuranga kwenye jiji la Dar es Salaam ili kuondoa matumizi makubwa ya kuendesha Wilaya zote 8? maana Kibaha, Bagamoyo, Mkuranga na Kisarawe zimekutana na jiji la Dar es Salaam. Ninaifikiria hiyo siku ambayo Ilala, Temeke, Kigamboni, Ubungo, Kinondoni, Kisarawe, Bagamoyo, Mkuranga na kibaha yatakapopata hadhi ya kuwa majiji pia.

Nadhani tunapowaza tuwaze kabisa na sio nusunusu, fikiria miaka 100 ijayo. London ni jiji la kale sana duniani wacha kulifananisha na chochote.
Tena kama shida ni matumizi basi hata

Dar es Salaam kila kitu kiko under one roof. Kwani Dar es Salaam lina wakazi wangapi wanaohitaji wakuu 5 wa wilaya? Usitoe mfano wa London bila kutoa na supporting background yake wa hizo councils 32. Tuchukue mifano ya majiji ya East Africa kwanza, kisha Sadc and then Africa kabla ya kurukia London.

Kama concept ya kulivunja jiji ni kubana matumizi na sio ubora wa utoaji huduma kwanini usifikirie kuziunganisha hata halimashauri za Kibaha, Bagamoyo na Mkuranga kwenye jiji la Dar es Salaam ili kuondoa matumizi makubwa ya kuendesha Wilaya zote 8? maana Kibaha, Bagamoyo, Mkuranga na Kisarawe zimekutana na jiji la Dar es Salaam. Ninaifikiria hiyo siku ambayo Ilala, Temeke, Kigamboni, Ubungo, Kinondoni, Kisarawe, Bagamoyo, Mkuranga na kibaha yatakapopata hadhi ya kuwa majiji pia.

Nadhani tunapowaza tuwaze kabisa na sio nusunusu, fikiria miaka 100 ijayo. London ni jiji la kale sana duniani wacha kulifananisha na chochote.
Nisome vizuri, pamoja na yote mimi naunga mkono ufutaji wa JIJI.
Mimi nasema KUTOKANA NA POPULATION INCREASE huko mbele ni lazima tawala za Halmashauri zitaongezeka ili kutatua matatizo yanayo wahusu moja kwa moja maisha ua kila siku wakazi wa DSM.
Mfano mzuri ni jinsi Temeke ilivyoimega Kigamboni.
Kigamboni inavyokua ni lazima makazi yakienda huko Mbwa Maji kutapatikana Halmashauri nyingine.
 
Livunje tu, itapunguza msongamano. Foleni zilizidi sanap huko Dar . Nasema uongo ndugu zangu?
 
Mji wa Dar es Salaam ulikuwa ni sehemu tu ya mkoa wa Pwani, kutokana na idadi yake kubwa ya watu wanasiasa waliamua ujitenge ili uwe mkoa unaojitegemea. Ilala, Kinondoni, Temeke na Ubungo ilikuwa ni mitaa tu ya mji wa Dar es salaam ambayo baadae wanasiasa waliigeuza kuwa wilaya/halmashauri ili kusogeza karibu huduma kwa wananchi.

Ilala, Kinondoni na Ubungo ni mitaa/wilaya ambazo zimeshikana zinazounda jiji la Dar es Salaam, hivyo wanashirikiana kwenye mambo mengi sana ikiwemo stend kuu, mabenki, shule, nk. Hivyo kuifanya Ilala pekee kuwa jiji na nyingine kubaki kuwa halmashauri ni sawa lakini kutaleta mtafaruku wa kiutendaji muda sio mrefu ambao unaweza kusababisha Rais ajae baada ya muda wako kwisha akaamua vinginevyo tena.

Maswali tunayojiuliza wananchi ni je:

1. Mamlaka ya jiji la Ilala hayatafika kwenye halmashauri nyingine?

2. Je, Ilala, Kinondoni, Temeke, Ubungo na Kinondoni zina vyanzo sawa vya mapato ya kujiendesha? Au zitagawanaje mapato?

3. Itakuwaje kama siku moja Ubungo, Temeke, Kinondoni, na Kigamboni pia zikipata hadhi ya kuwa majiji? Tutakuwa na majiji 4 yaliyoko karibu?

4. Je, jina la Dar es Salaam litatumika tukimaanisha sehemu gani kati ya hizi halmashauri?

Kwa maoni yangu mimi, kwakuwa Dar es Salaam imeungana kuanzia Kigamboni, Ilala, Ubungo na Temeke ni rahisi sana kuzivunja halmashauri zote zilizopo sasa na kulibakisha jiji la Dar es Salaam likiwa moja tu Dar es Salaam tu na kata zake ili kupunguza mzigo wa matumizi ya kuwa na wakuu wa Wilaya, wakurugenzi wa Wilaya, na watendaji wengine kwenye halmashuri which are more cost kuliko matumizi ya jiji bila halmashauri.

Kuvunja halmashauri zote na kubakisha jiji kunaokoa pesa nyingi zaidi kuliko kuvunja jiji na kubakisha Ilala kama jiji na halmashauri za Temeke, Ubungo, Kinondoni na kigamboni.

Kama hoja ni kubana matumizi ya uendeshaji wa Dar es Salaam basi tuvunje halmashauri zote ibaki moja tu ya jiji la Dar es Salaam na madiwani wa kuchaguliwa kwenye kata za Dar es Salaam.
Wazo zuri
 
Back
Top Bottom