Hakuna Mkoa wa dar es salaam kuna mji wa Dar es salaam, ni wanasiasa tu ambao hawakutazama mbele itakuja kutokea nini walioufanya uwe mkoa na kuchagua baadhi ya mitaa yake (Temeke, Ilala na Kinondoni) kuwa wilaya, sasa tunataka kufanya makosa mengine.kwasababu mkoani daslam hakuna mji unaoitwa daslamu
Nyakati zinabadirika, but the same copy and paste, ila tume paste kitofauti kidogo kwasababu ya MUDA na mazingira kubadirika; enzi hizo Morogoro road ile double road ilikua inaishia Ubungo mataa but sasa hvi tunajenga 8 lanesMkapa hakuvunja jiji, alivunja baraza la madiwani, Jiji likaongozwa na Tume badala ya Baraza
Sasa hivi limevunjwa jiji
Lakini hizo councils zote ziko ndani ya London kama ilivyokuwa kwa Dar es Salaam sio...Mkuu ukisafiri nje ya fence ya kimawazo uliyojiwekea utaelewa kuwa councils zina peleka huduma karibu zaidi ya wananchi.
Jiji la London lina Councils 32!
Umeongea vya maanaMji wa Dar es Salaam ulikuwa ni sehemu tu ya mkoa wa Pwani, kutokana na idadi yake kubwa ya watu wanasiasa waliamua ujitenge ili uwe mkoa unaojitegemea. Ilala, Kinondoni, Temeke na Ubungo ilikuwa ni mitaa tu ya mji wa Dar es salaam ambayo baadae wanasiasa waliigeuza kuwa wilaya/halmashauri ili kusogeza karibu huduma kwa wananchi.
Ilala, Kinondoni na Ubungo ni mitaa/wilaya ambazo zimeshikana zinazounda jiji la Dar es Salaam, hivyo wanashirikiana kwenye mambo mengi sana ikiwemo stend kuu, mabenki, shule, nk. Hivyo kuifanya Ilala pekee kuwa jiji na nyingine kubaki kuwa halmashauri ni sawa lakini kutaleta mtafaruku wa kiutendaji muda sio mrefu ambao unaweza kusababisha Rais ajae baada ya muda wako kwisha akaamua vinginevyo tena.
Maswali tunayojiuliza wananchi ni je:
1. Mamlaka ya jiji la Ilala hayatafika kwenye halmashauri nyingine?
2. Je, Ilala, Kinondoni, Temeke, Ubungo na Kinondoni zina vyanzo sawa vya mapato ya kujiendesha? Au zitagawanaje mapato?
3. Itakuwaje kama siku moja Ubungo, Temeke, Kinondoni, na Kigamboni pia zikipata hadhi ya kuwa majiji? Tutakuwa na majiji 4 yaliyoko karibu?
4. Je, jina la Dar es Salaam litatumika tukimaanisha sehemu gani kati ya hizi halmashauri?
Kwa maoni yangu mimi, kwakuwa Dar es Salaam imeungana kuanzia Kigamboni, Ilala, Ubungo na Temeke ni rahisi sana kuzivunja halmashauri zote zilizopo sasa na kulibakisha jiji la Dar es Salaam likiwa moja tu Dar es Salaam tu na kata zake ili kupunguza mzigo wa matumizi ya kuwa na wakuu wa Wilaya, wakurugenzi wa Wilaya, na watendaji wengine kwenye halmashuri which are more cost kuliko matumizi ya jiji bila halmashauri.
Kuvunja halmashauri zote na kubakisha jiji kunaokoa pesa nyingi zaidi kuliko kuvunja jiji na kubakisha Ilala kama jiji na halmashauri za Temeke, Ubungo, Kinondoni na kigamboni.
Kama hoja ni kubana matumizi ya uendeshaji wa Dar es Salaam basi tuvunje halmashauri zote ibaki moja tu ya jiji la Dar es Salaam na madiwani wa kuchaguliwa kwenye kata za Dar es Salaam.
Lakini hizo councils zote ziko ndani ya London kama ilivyokuwa kwa Dar es Salaam sio...
Livunje tu, itapunguza msongamano. Foleni zilizidi sanap huko Dar . Nasema uongo ndugu zangu?
Kwa Mwanza Nyamagana pekee ndo jiji, Ilemela Manispaa na zinginezowilaya ya dodoma ni jiji, wilaya za kongwa na chamwino sio majiji, wilaya ya mbeya ni jiji, wilaya za rungwe na kyela sio majiji, wilaya ya Tanga ni jiji, wilaya za lushoto na koogwe sio majiji, ombeni mpate wilaya ya Daslamu kwanza kabla ya kulia lia. Wa Mwanza mjiandae, mnafuatia nyinyi.
Ilala ndiyo Dar es salaam. Huko kwingine ni Temeke, kinondoni, Kigamboni, Ubungo nkMkoa wa Tanga kuna mji unaitwa Tanga ambao ndiyo jiji la tanga, Mkoa wa Dodoma kuna mji unaitwa Dodoma ambao ndiyo jiji la Dodoma, je mbona Mkoa wa Dar es Salam jiji lake linaitwa Ilala?
Nani kakwambia kua hamtaki huyo ndugu yako ??View attachment 1711695
Hamtaki huyu omary ndio hizo vigisu zote na kumtumbua hawezi, inabidi ageuze mchezo jiwe bwana sometimes Ana Chuki za ajabu sana , sijui ni binadamu wa aina gani Yule
Husitake kujua nani kaniambia, vijembe vyake tu vinaonesha anamlenga mayor wa jiji la darNani kakwambia kua hamtaki huyo ndugu yako ??
Kumbe ni hisia tu, nikajua kuna unayoyajua,Husitake kujua nani kaniambia, vijembe vyake tu vinaonesha anamlenga mayor wa jiji la dar
Kwa kuwa tatizo la Meko ni gharama za Jiji la DAR ambalo halina ardhi, miradi wala mapato, napendekeza angefanya yafuatayo:Mji wa Dar es Salaam ulikuwa ni sehemu tu ya mkoa wa Pwani, kutokana na idadi yake kubwa ya watu wanasiasa waliamua ujitenge ili uwe mkoa unaojitegemea. Ilala, Kinondoni, Temeke na Ubungo ilikuwa ni mitaa tu ya mji wa Dar es salaam ambayo baadae wanasiasa waliigeuza kuwa wilaya/halmashauri ili kusogeza karibu huduma kwa wananchi.
Ilala, Kinondoni na Ubungo ni mitaa/wilaya ambazo zimeshikana zinazounda jiji la Dar es Salaam, hivyo wanashirikiana kwenye mambo mengi sana ikiwemo stend kuu, mabenki, shule, nk. Hivyo kuifanya Ilala pekee kuwa jiji na nyingine kubaki kuwa halmashauri ni sawa lakini kutaleta mtafaruku wa kiutendaji muda sio mrefu ambao unaweza kusababisha Rais ajae baada ya muda wako kwisha akaamua vinginevyo tena.
Maswali tunayojiuliza wananchi ni je:
1. Mamlaka ya jiji la Ilala hayatafika kwenye halmashauri nyingine?
2. Je, Ilala, Kinondoni, Temeke, Ubungo na Kinondoni zina vyanzo sawa vya mapato ya kujiendesha? Au zitagawanaje mapato?
3. Itakuwaje kama siku moja Ubungo, Temeke, Kinondoni, na Kigamboni pia zikipata hadhi ya kuwa majiji? Tutakuwa na majiji 4 yaliyoko karibu?
4. Je, jina la Dar es Salaam litatumika tukimaanisha sehemu gani kati ya hizi halmashauri?
Kwa maoni yangu mimi, kwakuwa Dar es Salaam imeungana kuanzia Kigamboni, Ilala, Ubungo na Temeke ni rahisi sana kuzivunja halmashauri zote zilizopo sasa na kulibakisha jiji la Dar es Salaam likiwa moja tu Dar es Salaam tu na kata zake ili kupunguza mzigo wa matumizi ya kuwa na wakuu wa Wilaya, wakurugenzi wa Wilaya, na watendaji wengine kwenye halmashuri which are more cost kuliko matumizi ya jiji bila halmashauri.
Kuvunja halmashauri zote na kubakisha jiji kunaokoa pesa nyingi zaidi kuliko kuvunja jiji na kubakisha Ilala kama jiji na halmashauri za Temeke, Ubungo, Kinondoni na kigamboni.
Kama hoja ni kubana matumizi ya uendeshaji wa Dar es Salaam basi tuvunje halmashauri zote ibaki moja tu ya jiji la Dar es Salaam na madiwani wa kuchaguliwa kwenye kata za Dar es Salaam.
Paragraph ya pili kutoka chini ndivyo jiji la Lagos lilivyofanya na kupata Corbunation(Jiji kubwa lililounganishwa na vitongoji vilivyosogelea jiji kuu) na kwa Dar es Salaam ni kama ulivyotaja(Mlandizi hadi Kibaha, Kisarawe, Mkuranga hadi Mwandege na Bagamoyo hadi Mapinga)Tena kama shida ni matumizi basi hata
Dar es Salaam kila kitu kiko under one roof. Kwani Dar es Salaam lina wakazi wangapi wanaohitaji wakuu 5 wa wilaya? Usitoe mfano wa London bila kutoa na supporting background yake wa hizo councils 32. Tuchukue mifano ya majiji ya East Africa kwanza, kisha Sadc and then Africa kabla ya kurukia London.
Kama concept ya kulivunja jiji ni kubana matumizi na sio ubora wa utoaji huduma kwanini usifikirie kuziunganisha hata halimashauri za Kibaha, Bagamoyo na Mkuranga kwenye jiji la Dar es Salaam ili kuondoa matumizi makubwa ya kuendesha Wilaya zote 8? maana Kibaha, Bagamoyo, Mkuranga na Kisarawe zimekutana na jiji la Dar es Salaam. Ninaifikiria hiyo siku ambayo Ilala, Temeke, Kigamboni, Ubungo, Kinondoni, Kisarawe, Bagamoyo, Mkuranga na kibaha yatakapopata hadhi ya kuwa majiji pia.
Nadhani tunapowaza tuwaze kabisa na sio nusunusu, fikiria miaka 100 ijayo. London ni jiji la kale sana duniani wacha kulifananisha na chochote.
Hakuna Mkoa wa dar es salaam kuna mji wa Dar es salaam, ni wanasiasa tu ambao hawakutazama mbele itakuja kutokea nini walioufanya uwe mkoa na kuchagua baadhi ya mitaa yake (Temeke, Ilala na Kinondoni) kuwa wilaya, sasa tunataka kufanya makosa mengine.