Rais tatizo halipo kwenye Elimu na mitaala

Rais tatizo halipo kwenye Elimu na mitaala

Mama Edina

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
850
Reaction score
2,019
Tatizo ni wenye dhamana hawana kazi ya kufanya.

Wanakushauri vby hawafanyi kazi wao, wanaofanyakaz ni watu wa kada za chini.

Kuhusu kupunguza maafisa Elimu ni kutafuta kick.

Wataka sifa kwako. Wanataka posho zao zisigiswe watu wa kada za chini hawana hata posho ya maji uhai ya 500.

Haohao wenye dhamana, wanaotumia mafuta ya Kodi zetu. Posho Hadi za simu. Wanalipiwa vitu vingi.

Ndgu Mh mtukufu Rais, Mama Hawa watu wasikudanganye. Miaka kadhaa huko walimdanganya Kikwete, Kwa mfano wakuu wa shule wakaunda kikundi Chao wakakiita Tahossa..

Wakalialia wapewe posho tsh250k kila mwezi. Mwl aanayehangaika na watoto Hana hata mia ya bodaboda.

Mh Rais Angalia usidanganye tena
 
Tatizo ni wenye dhamana hawana kazi ya kufanya.

Wanakushauri vby hawafanyi kazi wao...wanaofanyakaz ni watu wa kada za chini.

Kuhusu kupunguza maafisa Elimu ni kutafuta kick.

Wataka sifa kwako. Wanataka posho zao zisigiswe watu wa kada za chini hawana hata posho ya maji uhai ya 500.

Haohao wenye dhamana, wanaotumia mafuta ya Kodi zetu. Posho Hadi za simu. Wanalipiwa vitu vingi.

Ndgu Mh mtukufu Rais, Mama Hawa watu wasikudanganye. Miaka kadhaa huko walimdanganya Mh kikwete, Kwa mfano wakuu wa shule wakaunda kikundi Chao wakakiita tahossa..

Wakalialia wapewe posho tsh250k kila mwezi. Mwl aanayehangaika na watoto Hana hata mia ya bodaboda.

Mh Rais Angalia usidanganye tena
Kuna nini tena kwenye elimu mkuu?
 
Binafsi naona safari hii wamejitahidi sana kuchukua/kusikiliza mawazo ya wadau.
Kumsikiliza ni 1 kutekeleza ni 3, Wanajenga nini ni Jambo kingine la kutazama, wanalenga maslahi ya nani.

Hawa viumbe wanatabia kama za wale kwenye ule mhimili kule makao makuu ya nchi. Wakitunga sera wao wanahakikisha wao kwanza wako salama
 
Sasa unamlipa mwalimu mshahara 250K, shuleni kwenyewe darasa lina wanafunzi 300, wanafunzi wenyewe 60% wametoka familia masikini, 60% ya hao wanafunzi wanapata lishe duni majumbani mwao na hakuna wakuangalia maendeleo na mienendo yao.

Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma awabariki na kuwalinda watoto hawa wasio na hatia huko mashuleni na mitaani. Makosa ni ya wazazi wao, ndugu zao, wajomba zao, baba zao wadogo nk...
 
Back
Top Bottom