Rais TLS atoa msimamo Wakili Mpoki kufungiwa miezi 6

Rais TLS atoa msimamo Wakili Mpoki kufungiwa miezi 6

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Chama cha Mawakili (TLS) chatoa TAMKO KALI kuhusu kitendo cha Mwenyekiti (Jaji Ntemi) wa Kamati ya Maadili ya Mawakili kumsimamisha uwakili kwa miezi 6 Wakili Mkongwe Mpale Mpoki.

Kwamba, amesimamishwa kiholela, Jaji kama Mwenyekiti wa Kamati hana Mamlaka ya kufanya hivyo, amemsimamisha bila hata kumpa haki ya kusikilizwa nk. Moja ya mapendekezo ni kumpeleka Jaji kwenye Tume ya Utumishi wa Mahakama kwa kile kilichodaiwa kuwa na chuki (hostility) dhidi ya Mawakili waliofika mbele ya Kamati kumuwakilisha Wakili Mwabukusi kwenye kesi yake.

Mbali na TLS, Mashirika ya Haki za Binadamu nchini, pia yamelaani kitendo hicho.✍🏼
1 Statement- Arbitrary Suspension of Adv. Mpoki_page-0001.jpg

2 Statement- Arbitrary Suspension of Adv. Mpoki_page-0002.jpg

3 Statement- Arbitrary Suspension of Adv. Mpoki_page-0003.jpg
 

 
Chama cha Mawakili (TLS) chatoa TAMKO KALI kuhusu kitendo cha Mwenyekiti (Jaji Ntemi) wa Kamati ya Maadili ya Mawakili kumsimamisha uwakili kwa miezi 6 Wakili Mkongwe Mpale Mpoki.

Kwamba, amesimamishwa kiholela, Jaji kama Mwenyekiti wa Kamati hana Mamlaka ya kufanya hivyo, amemsimamisha bila hata kumpa haki ya kusikilizwa nk. Moja ya mapendekezo ni kumpeleka Jaji kwenye Tume ya Utumishi wa Mahakama kwa kile kilichodaiwa kuwa na chuki (hostility) dhidi ya Mawakili waliofika mbele ya Kamati kumuwakilisha Wakili Mwabukusi kwenye kesi yake.

Mbali na TLS, Mashirika ya Haki za Binadamu nchini, pia yamelaani kitendo hicho.✍🏼
TLS hii haina meno
 
Hii nchi sijui kama kuna kitu kilichokaa vizuri! Mahakama hovyo, Serikali hovyo, Bunge hovyo.

Hivi ni nini hasa tunachoweza?

Tungekuwa ni nchi za wanaojitambua, huyo Mwenyekiti magumashi alistahili kufukuzwa mara moja, maana maadili na uwezo wake ni aheri ya mwenyekiti wa baraza la kata. Mwenyekiti ni jaji takataka. Halafu eti upeleke kesi mahakamani ikasikilizwe na jaji takataka kama huyu halafu utarajie haki!!
 
Mpaka 2025 ifike Mama Abdul atakuwa amejionesha rangi yake ilivyo. Mwanamke katili na mwenye visasi na mwisho wake ni mbaya.
 
Chama cha Mawakili (TLS) chatoa TAMKO KALI kuhusu kitendo cha Mwenyekiti (Jaji Ntemi) wa Kamati ya Maadili ya Mawakili kumsimamisha uwakili kwa miezi 6 Wakili Mkongwe Mpale Mpoki.

Kwamba, amesimamishwa kiholela, Jaji kama Mwenyekiti wa Kamati hana Mamlaka ya kufanya hivyo, amemsimamisha bila hata kumpa haki ya kusikilizwa nk. Moja ya mapendekezo ni kumpeleka Jaji kwenye Tume ya Utumishi wa Mahakama kwa kile kilichodaiwa kuwa na chuki (hostility) dhidi ya Mawakili waliofika mbele ya Kamati kumuwakilisha Wakili Mwabukusi kwenye kesi yake.

Mbali na TLS, Mashirika ya Haki za Binadamu nchini, pia yamelaani kitendo hicho.✍🏼
 
Chama cha Mawakili (TLS) chatoa TAMKO KALI kuhusu kitendo cha Mwenyekiti (Jaji Ntemi) wa Kamati ya Maadili ya Mawakili kumsimamisha uwakili kwa miezi 6 Wakili Mkongwe Mpale Mpoki.

Kwamba, amesimamishwa kiholela, Jaji kama Mwenyekiti wa Kamati hana Mamlaka ya kufanya hivyo, amemsimamisha bila hata kumpa haki ya kusikilizwa nk. Moja ya mapendekezo ni kumpeleka Jaji kwenye Tume ya Utumishi wa Mahakama kwa kile kilichodaiwa kuwa na chuki (hostility) dhidi ya Mawakili waliofika mbele ya Kamati kumuwakilisha Wakili Mwabukusi kwenye kesi yake.

Mbali na TLS, Mashirika ya Haki za Binadamu nchini, pia yamelaani kitendo hicho.✍🏼
Ccm ni janga
 
Chama cha Mawakili (TLS) chatoa TAMKO KALI kuhusu kitendo cha Mwenyekiti (Jaji Ntemi) wa Kamati ya Maadili ya Mawakili kumsimamisha uwakili kwa miezi 6 Wakili Mkongwe Mpale Mpoki.

Kwamba, amesimamishwa kiholela, Jaji kama Mwenyekiti wa Kamati hana Mamlaka ya kufanya hivyo, amemsimamisha bila hata kumpa haki ya kusikilizwa nk. Moja ya mapendekezo ni kumpeleka Jaji kwenye Tume ya Utumishi wa Mahakama kwa kile kilichodaiwa kuwa na chuki (hostility) dhidi ya Mawakili waliofika mbele ya Kamati kumuwakilisha Wakili Mwabukusi kwenye kesi yake.

Mbali na TLS, Mashirika ya Haki za Binadamu nchini, pia yamelaani kitendo hicho.✍🏼
Hivi wanasheria wana mchango gani ktk uzalishaji wa nchi hii? Kazi yao ni kuzalisha migogoro ila wale bila kufanya kazi. Hiyo TLS ingefutwa tu haina faida yoyote zaidi ya kuzalisha migogoro. Kuna vitaasisi ni vya vikundi vinavyokula bila tija kwa Taifa. Sheria ni kazi ya majungu na kujionesha wanajua vifungu, hivyo vifungu vyenu vinamlisha nani. Fani zingine hazina faida hapa duniani.
 
Back
Top Bottom