Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Poor thinkingHivi wanasheria wana mchango gani ktk uzalishaji wa nchi hii? Kazi yao ni kuzalisha migogoro ila wale bila kufanya kazi. Hiyo TLS ingefutwa tu haina faida yoyote zaidi ya kuzalisha migogoro. Kuna vitaasisi ni vya vikundi vinavyokula bila tija kwa Taifa. Sheria ni kazi ya majungu na kujionesha wanajua vifungu, hivyo vifungu vyenu vinamlisha nani. Fani zingine hazina faida hapa duniani.