Nakionea huruma chama chawalaBatakunywa kikombe ya Babu.
Tukanunue sasa. No more free lunchWamejitoa!?!?sasa ARV itakuwaje?
Nachukizwa na hii tabia ya kutembeza bakuli.. Kuwa ombaomba.. Misaada ni utumwa🤬Batakosa faranga🤑🤑😶🌫🤧
No more$$$$$
JPM ???????Nachukizwa na hii tabia ya kutembeza bakuli.. Kuwa ombaomba.. Misaada ni utumwa🤬
Hivi hii tabia ya mama Yako kusimamia na wageni ikulu uku amewashika mikono miwili ujue mimi uwa inanitia wivu sanaNachukizwa na hii tabia ya kutembeza bakuli.. Kuwa ombaomba.. Misaada ni utumwa🤬
Mfanyabiashara mkubwa sana toka familia ya wenye pesa. Ana maamuzi magumu kwa kuwa ana vinasaba vya wafanya maamuzi magumu duniani. Babu yake ni mjerumani kule kwa HitlerVery True. Pia yuko na faranga nyingi.
"Tuamke"! Unataka na sisi tujitoe kutokana na kuchangia kiasi kikubwa kuliko China! Twafwaa mayo! Sisi ugonjwa upo tusaidiwe tunasema haupo! Mara haupo ila ni mtu mmoja tu anaumwa! NHIF inatushinda kuiendesha kwa sababu za udokozi usiokuwa na maana, sasa tutakwisha kwani hatutakuwa na watu wa kudhibiti magonjwa yasisambae.Rais Donald J. Trump ametia saini agizo la kuiondoa Marekani kutoka Shirika la Afya Duniani(WHO) 20 Januari 2025, muda mfupi baada ya kuapishwa kwake
Uamuzi huu umezua mjadala na wasiwasi mkubwa miongoni mwa wataalam wa Afya duniani.
Rais Donald Trump alitaja sababu kadhaa za Marekani kujiondoa kwenye Shirika la Afya Duniani (WHO). Moja ya sababu hizo ni tofauti katika michango ya Kifedha, akibainisha kuwa China pamoja na Idadi kubwa ya watu(population over a billion) inalipa karibia US$40 wakati Marekani yenye idadi ndogo inalipa zaidi ya US$400.
Source:USAToday.
=======
My take
Tuamke.