Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ARV inatolewa na pepfar ishirikiana na CDCWamejitoa!?!?sasa ARV itakuwaje?
Rais Donald J. Trump ametia saini agizo la kuiondoa Marekani kutoka Shirika la Afya Duniani(WHO) 20 Januari 2025, muda mfupi baada ya kuapishwa kwake
Uamuzi huu umezua mjadala na wasiwasi mkubwa miongoni mwa wataalam wa Afya duniani.
Rais Donald Trump alitaja sababu kadhaa za Marekani kujiondoa kwenye Shirika la Afya Duniani (WHO). Moja ya sababu hizo ni tofauti katika michango ya Kifedha, akibainisha kuwa China pamoja na Idadi kubwa ya watu(population over a billion) inalipa karibia US$40 wakati Marekani yenye idadi ndogo inalipa zaidi ya US$400.
Source:USAToday.
=======
My take
Tuamke.
China ni tajiri lakini pesa zake ni kwaajiri ya wachina na sio za kutoa misaada Kwa wavivu na ombaombaHapa ndio utajua china sio taifa tajili kabisaa...........utajili wa china uko kwa uwingi wa watu tu na sio pesa...............labda na kutuuzia yale makoro koro yao fake........na kuchukua mitonyo yetu original...........ndio maana mi niliwapenda waliokuwa wanawatandika makontena ya michanga na kuwaambia hizo ni korosho
Umeongea ukweli kabisa, kwa ufupi tunaweza sema ni wabinafsiChina ni tajiri lakini pesa zake ni kwaajiri ya wachina na sio za kutoa misaada Kwa wavivu na ombaomba
Unaongea msafwa kutona donor country over.......................China ni tajiri lakini pesa zake ni kwaajiri ya wachina na sio za kutoa misaada Kwa wavivu na ombaomba
Athari ipo ukizingatia ya kuwa Marekani anamwaga mpunga mrefu kwenye hiyo WHO.Sasa Tundu lissu akichukua nchi atakutana na wakati mgumu sana.
Naona pia ARV zitaanza kuuzws sasa maana WHO wamemungukiwa mchango wa marekani.
Au mchango wa marekani wa hizo dola hauna athari?
Tutakufa kama kuku sasa
Sasa marekani utajiri wake Kwa kiasi kikubwa unatokana na kuumiza nchi nyingine na kufadhiri machafuko mfano DRC, Libya, Iraq na alijaribu Venezuela ikafeli anachotoa ni kidogo sema ili kuiziba mdogo DuniaUmeongea ukweli kabisa, kwa ufupi tunaweza sema ni wabinafsi
Marekani itatummia Kila njia kuhakikisha pesa zilizokuwa zinatolewa kama mmisaada zinawezesha watu wao ndani kwanza
Maana hata maboksi ya dawa si huwa na nembo pia ya USAID?!Athari ipo ukizingatia ya kuwa Marekani anamwaga mpunga mrefu kwenye hiyo WHO.
Turudi kwenye tiba asilia tulizosema za kishenziRais Donald J. Trump ametia saini agizo la kuiondoa Marekani kutoka Shirika la Afya Duniani(WHO) 20 Januari 2025, muda mfupi baada ya kuapishwa kwake
Uamuzi huu umezua mjadala na wasiwasi mkubwa miongoni mwa wataalam wa Afya duniani.
Rais Donald Trump alitaja sababu kadhaa za Marekani kujiondoa kwenye Shirika la Afya Duniani (WHO). Moja ya sababu hizo ni tofauti katika michango ya Kifedha, akibainisha kuwa China pamoja na Idadi kubwa ya watu(population over a billion) inalipa karibia US$40 wakati Marekani yenye idadi ndogo inalipa zaidi ya US$400.
Source:USAToday.
=======
My take
Tuamke.