Rais Trump asitisha visa za wanafunzi wa kigeni walioandamana kuipinga Israeli baada ya mashambulizi ya kigaidi ya Oktoba 7,2022

Rais Trump asitisha visa za wanafunzi wa kigeni walioandamana kuipinga Israeli baada ya mashambulizi ya kigaidi ya Oktoba 7,2022

Jackal

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
9,971
Reaction score
13,608
Rais wa Marekani, Donald Trump, alisaini agizo la kupambana na chuki dhidi ya Wayahudi na kuahidi kuwafukuza wanafunzi wa vyuo vikuu wasio raia pamoja na wengine waliokuwa sehemu ya maandamano ya kuunga mkono Palestina dhidi ya Israel.

Agizo hilo kutoka kwa Trump lilisema kuwa Wizara ya Sheria itachukua hatua za haraka ili kuzuia vitisho vya kigaidi, uchomaji moto, uharibifu wa mali na ukatili dhidi ya Wayahudi walioko nchini Marekani, huku ikitumia rasilimali zote za serikali kuu kupambana na kile kilichoitwa "mlipuko wa chuki dhidi ya Wayahudi katika vyuo vikuu na mitaani" tangu shambulio la Oktoba 7, 2023, lililofanywa na kundi la Hamas dhidi ya Israel.

"Kwa wageni waliounga mkono maandamano ya jihad, tunawatahadharisha: ifikapo 2025, tutawapata na tutawafukuza," Trump alisema katika karabrasha hilo.

"Pia nitafuta haraka visa za wanafunzi wote wanaounga mkono Hamas katika vyuo vikuu, ambavyo vimemezwa na msimamo mkali wa kisiasa kuliko wakati wowote," aliongeza, akirejelea ahadi aliyotoa wakati wa kampeni ya 2024.

Makundi ya haki za binadamu na wataalamu wa sheria wamesema hatua hiyo itakiuka haki ya uhuru wa kujieleza kikatiba na huenda ikakabiliwa na changamoto za kisheria.

My take: Hao wavaa vipedo,misuli na makobazi warudi kwenye nchi zao wakaandamane kupinga udikteta na utawala wa kiimla ambazo nyingi zinatawaliwa kwa mfumo huo🤔

FaizaFixy Ritz kimsboy

===================================================================

US President Donald Trump signed an executive order on Wednesday to combat antisemitism and pledged to deport non-citizen college students and others who took part in pro-Palestinian protests against Israel.

A fact sheet on the order promises “immediate action” by the Justice Department to prosecute “terroristic threats, arson, vandalism and violence against American Jews” and marshal all federal resources to combat what it called “the explosion of antisemitism on our campuses and streets” since the October 7, 2023, attack on Israel by Palestinian terror group Hamas.

“To all the resident aliens who joined in the pro-jihadist protests, we put you on notice: come 2025, we will find you, and we will deport you,” Trump said in the fact sheet.

“I will also quickly cancel the student visas of all Hamas sympathizers on college campuses, which have been infested with radicalism like never before,” the president said, echoing a 2024 campaign promise.

Rights groups and legal scholars said the measure would violate constitutional free speech rights and would likely draw legal challenges.
 
downloadfile-25.jpg
 
Wazungu ndiyo walianza kupenyeza agenda zao kwa nchi za Asia, wazungu wakae kwao na Asia kwao ...Kila kitu wafungie ....Kule nchi za waislamu wasifike kabisa wala kupelekea uthenge wao wa demokrasia
Kwani kati ya nchi za waislam na nchi za magharibi ni nani anamuhtaji mwenzie? Hujui saudia inalindwa na majeshi ya marekani
 
Rais wa Marekani, Donald Trump, alisaini agizo la kupambana na chuki dhidi ya Wayahudi na kuahidi kuwafukuza wanafunzi wa vyuo vikuu wasio raia pamoja na wengine waliokuwa sehemu ya maandamano ya kuunga mkono Palestina dhidi ya Israel.

Agizo hilo kutoka kwa Trump lilisema kuwa Wizara ya Sheria itachukua hatua za haraka ili kuzuia vitisho vya kigaidi, uchomaji moto, uharibifu wa mali na ukatili dhidi ya Wayahudi walioko nchini Marekani, huku ikitumia rasilimali zote za serikali kuu kupambana na kile kilichoitwa "mlipuko wa chuki dhidi ya Wayahudi katika vyuo vikuu na mitaani" tangu shambulio la Oktoba 7, 2023, lililofanywa na kundi la Hamas dhidi ya Israel.

"Kwa wageni waliounga mkono maandamano ya jihad, tunawatahadharisha: ifikapo 2025, tutawapata na tutawafukuza," Trump alisema katika karabrasha hilo.

"Pia nitafuta haraka visa za wanafunzi wote wanaounga mkono Hamas katika vyuo vikuu, ambavyo vimemezwa na msimamo mkali wa kisiasa kuliko wakati wowote," aliongeza, akirejelea ahadi aliyotoa wakati wa kampeni ya 2024.

Makundi ya haki za binadamu na wataalamu wa sheria wamesema hatua hiyo itakiuka haki ya uhuru wa kujieleza kikatiba na huenda ikakabiliwa na changamoto za kisheria.

My take: Hao wavaa vipedo,misuli na makobazi warudi kwenye nchi zao wakaandamane kupinga udikteta na utawala wa kiimla ambazo nyingi zinatawaliwa kwa mfumo huo🤔

FaizaFixy Ritz kimsboy

===================================================================

US President Donald Trump signed an executive order on Wednesday to combat antisemitism and pledged to deport non-citizen college students and others who took part in pro-Palestinian protests against Israel.

A fact sheet on the order promises “immediate action” by the Justice Department to prosecute “terroristic threats, arson, vandalism and violence against American Jews” and marshal all federal resources to combat what it called “the explosion of antisemitism on our campuses and streets” since the October 7, 2023, attack on Israel by Palestinian terror group Hamas.

“To all the resident aliens who joined in the pro-jihadist protests, we put you on notice: come 2025, we will find you, and we will deport you,” Trump said in the fact sheet.

“I will also quickly cancel the student visas of all Hamas sympathizers on college campuses, which have been infested with radicalism like never before,” the president said, echoing a 2024 campaign promise.

Rights groups and legal scholars said the measure would violate constitutional free speech rights and would likely draw legal challenges.
Hii ni fake news upuuzi kama huu hauwezi kufanyika nchi kama marekani abadani
 
Kwani kati ya nchi za waislam na nchi za magharibi ni nani anamuhtaji mwenzie? Hujui saudia inalindwa na majeshi ya marekani
Kwa hiyo analindwa bure kwa akili zako za kuvukia barabara ...Ile dili ya petradollar wakati wanaingia ulikuwa kijijini kwenu unachunga ?
 
Ni vema nchi zote zikachukua misimamo mikali dhidi ya watu wote wanaounga mkono vitendo vya kigaidi, hasa kama watu hao wala siyo raia wao.

HAo watu hawawasaidii wapalestina wala Wayahudi. Kama kusingekuwa na hofu dhidi ya makundi haya ya kigaidi, hata Israel isingekuwa na haja ya kuwa na wasiwasi na wapalestina wala waarabu. Vitendo vya kigaidi vinaifanya Israel ijihami, na kwa kufanya hivyo wapo watu wanaumia bila ya kuwa na hatia.

Magaidi na waunga mkono ugaidi warudi kwenye nchi zao wakafanye huo ugaidi.

Na hata viongozi wa dini wenye mafundisho yanayohamasisha ugaidi, wafukuzwe, warudi kwao.
 
Back
Top Bottom