Rais tunaomba usikilize vilio vya watanzania, mfumuko wa bei ni mkubwa mno

Wabunge na mawaziri wameambiwa waruambie ukweli, ( wawe mabalozi wazuri wa mfumuko wa bei )
 
Hebu tuongee ukweli huu mfumuko wa bei uko tanzania pekee?,huu mfumuko kauleta samia?na kwamba huo mfumuko samia unataka afanye nini?
Huna akili wewe mshenzi, pumbavu na mjinga,ni nchi gani ambayo Rais wake ametoka hadharani kusema kuwa vitu vitapanda bei tu sababu ya Vita vya Russia na Ukraine? Ni mmoja tu ambae ni SASHA,wenzake wanajitahidi kufanya jitihada kupunguza mfumuko wa bei lenyewe lipo tu halina hata nini kifanyike kukabiliana na mfumuko wa bei!
 
Tunajua hii ni changamoto ya dunia nzima, lakini je ndio ukae kimya? Tumesikia rais wa Ghana na serikali yake hatua walizochukua tumesikia Kenya jana hata kama hatua hizi ni za uongo kwanini serikali yetu ipo kimya kabisa? Ina maana hakuna hatu inayoweza kuchukua kupunguza mzigo kwa wananchi?.
CCM ikijiloga kuweka tume huru ya uchaguzi 2025 hata 10% ya kura hawapati.

My take:
Kwanini serikali isipunguze matumizi yake?
Kwanini rais asianze kupunguza walau mshahara wake na viongozi wengine wafuate kama ilivyokuwa kwa chanjo ya Uviko-19?
Serikali ipo kwa sababu zao binafsi au sababu ya wananchi?
 
Tunajua hii ni changamoto ya dunia nzima, lakini je ndio ukae kimya?
Bwashee ina maana hujasikia Mh Rais Samia amelitangazia taifa na kuwataarifu wananchi kuwa bei za vitu na gharama za maisha zitapanda?
 
Serikali ya CCM iko very pathetic na inept na ndiyo maana waoga wa katiba mpya. Wanachojali wao ni kulindiana maslahi tu!
 
Serikali yetu haijaamua tu kuchukua hatua peke yake bali imeamua kupiga msamba kabisa!
 
IMEJIONDOA YENYEWE KWENYE NCHI ZENYE UCHUMI WA KATI BILA KUNGOJA KUONDOLEWA AU KUFUKUZWA. HII HATUA NI MUHIMU MAANA ITASAIDIA KUELEZA MFUMUKO WA BEI.
 
IMEJIONDOA YENYEWE KWENYE NCHI ZENYE UCHUMI WA KATI BILA KUNGOJA KUONDOLEWA AU KUFUKUZWA. HII HATUA NI MUHIMU MAANA ITASAIDIA KUELEZA MFUMUKO WA BEI.
ili waendelee kukopa mikopo ya masharti nafuu [emoji28]
 
Raisi hajui kuwa anaposisitiza gharama za maisha kupanda itamlazimu pia kupandisha mishahara ili kuendana na ongezeko la gharama za maisha [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Serikali na EWURA ni waongo mchana kweupe!

Eti tunayo akiba ya mafuta siku 27, ila mafuta yakipanda Bei Duniani, kesho yake yanapanda Bei...Sasa kwa Nini tusiuziwe hiyo akiba Kwa Bei ya Zamani, ili baada ya Siku 27 ndio Bei mpya ianze?

Hii ni Serikali yenye walafi.... Serikali be yenye kujilipa posho, na kutumia maV8 ovyo ovyo.... Matumizi makubwa

Kwa Nini tusinunue huko Russia, mafuta ya discount?

Hakuna mbunge wa CCM mwenye akili ya kusema hili bungeni?
 
Hawajali, wanachojali wao ni kueneza mapolisi mtaani kukamata watu wanaotongoza madada poa.
 
Hebu tuongee ukweli huu mfumuko wa bei uko tanzania pekee?,huu mfumuko kauleta samia?na kwamba huo mfumuko samia unataka afanye nini?
Tatizo sio mfumuko wa bei tatizo ni hatua gani zinachukuliwa angalau kuupunguza... au kuwa na mkakati wa muda mfupi mfano kuondoa kwa dharula baadhi ya kodi, au kutoa ruzuku kwenye bidhaa muhimu au kuaamua kutumia akiba ili kunusuru hali, au kufanya mazungumzo na wazalishaji wakuu ili kupata bidhaa fulani kwa nafuu mfano india imenunua mafuta pipa 150k toka Russia kwa US$25 Kwa pipa ili hali bei maeneo mengine ni usd 108 mpaka 118 kwa pipa... lakini sio kukaa kimya as if nothing happen. Hapo ndio penye tatizo.
 
Bwashee ina maana hujasikia Mh Rais Samia amelitangazia taifa na kuwataarifu wananchi kuwa bei za vitu na gharama za maisha zitapanda?
Kila mtu anajua hata asingetangaza... wananchi tunataka kujua serikali imechukua hatua gani na sio tangazo tu.
 
🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…