MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Rais Uhuru ambaye yuko Marekani kujadili mambo muhimu yakiwemo uwekezaji Kenya, na pia usalama na amani ukanda wote huu wa Afrika Mashariki na kati, leo amekua na kikao kikubwa kilichowahusisha wawekezaji wa kampuni kubwa kubwa za kutajika Marekani.
Rais Uhuru yuko kwenye ratiba kali sana ya kukutana na viongozi wa mataifa makubwa kama vile Uingereza, China n.k.
President@UKenyatta has asked American companies to partner with Government in delivering its development agenda as they expand their business to Kenya. The Investors roundtable, was organized by US Commerce Secretary, @SecretaryRoss and @BCIU #TransformingDiplomacyKE
Rais Uhuru yuko kwenye ratiba kali sana ya kukutana na viongozi wa mataifa makubwa kama vile Uingereza, China n.k.
President