Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Kwamba eti wewe kanyampasila unajua kiini ila Uhuru Prezidaa hajui kiini[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha eti anaenda kusuruhisha wakati hajui hata chanzo cha ugomvii
Sent using Jamii Forums mobile app
Inamaana Mombasa to Rwanda ni jirani kuliko Dar to Rwanda? Au kuna njia rahisi zaidi? Au kuna maslah zaidi kwa pande zote kutumia bandari ya Mombasa kuliko Dar? Ushkaji wa JPM na PK mbona ni wakaribu sana kuliko wa PK na Uhuru Kenyatta?
Ina maana mpaka sasa Rwanda inatumia zaidi bandari ya Mombasa kuliko Dar?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wiki hii wanyarwanda wengi wameingia bongo,wengine wamefika mpaka zanzibar kuangalia fursaMpaka sasa raia wa rwanda hawana imani na Uganda tena nadhani mpaka kufikia hapa tayari rwanda lazima aegemee zaidi bandari ya tz
Kumbuka haka kamr slim kalivyowafanyia ambush UPDF aliyakuwa walikuwa tayari wameyamaliza
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Tanzania hakuna itakacho adhirika ndugu !! alafu Tz ilishasimama kidete sana kutetea nchi zingine na hatukupata faida yeyote zaidi zaidi dharau tu toka kwa nchi zilizo saidiwa embu na kenya ichukue majukumu kidogo
rwanda hajafanya ambush yeyote ndugu ! nikukumbushe ukifika Katuna border (upande wa Uganda) hakuna askari yeyote ila Gatuna (upande wa rwanda) kuna askari wa rwanda,.. kwa upande wa rwanda kutumia bandari ya dsm ni mapema sana kusema lkn kwa taarifa tu zilizopo ni kwamba baadhi ya malori yaliyokuwa yanatumia mpaka wa katuna wameanza kutumia mpaka mwingine ule {jina limenitoka kidogo) hivyo bas hii inanyoshe bado matumizi ya bandari ya Mombasa kwa rwanda yapo pale pale
Basi ni haki kabisa anko uhuru atapetapeWiki hii wanyarwanda wengi wameingia bongo,wengine wamefika mpaka zanzibar kuangalia fursa
Hapo Burundi hubabaishana kidogo wenyewe ndani mnapokea nyomi ya wakimbizi hadi mnaanza kulialia.
Kama unawafatilia paka na m7 nadhani unaikumbuka ambush waliyofanyiwa UPDF
Sasa nadhani PK hata kama mgogoro huu ukiisha hatokua na imani mizigo yake kupita uganda tena (hasa mizigo ya serekali ) kwa maana m7 anaweza kutaka kulipa kisasi cha kisangani kwa kuikamata mizigo ya pk maana dah.....
Sent using my iPhone using jamiiforum app
IT cargos hazipaswi kugadhibiwa kaka
Hapo wame fail wa zenji wanabagua wa tz wenzao ss sembuse haoWiki hii wanyarwanda wengi wameingia bongo,wengine wamefika mpaka zanzibar kuangalia fursa
This time hatutapokea kiumbeee unless wa congoman !! Zaidi zaidi tutawatolea njia wa nyarwanda wapite kuja kenya ....
Huyu jamaa akishavuta bangi ya Kariobangi stimu yake inamtuma afanye mambo ya kiajabu ajabu.Write your reply...
uhuru hana kazi ya kufanya,yaani kakwea pipa kwenda kuwasuluhisha hawa wahuni...