Rais Uhuru anyeshewa na mvua akisaka kura kwenye kampeni

obvious kisumu hana kura,akuna haja lkni aibe asiibe stll ni lazima arudi uongozini
Ingekuwa vyema aende Western yote huko ambako hupataga kura kidogo. Maana Central & Rift Valley (Kikuyuz & Kalenjiniz) ameshapata
 
Ingekuwa vyema aende Western yote huko ambako hupataga kura kidogo. Maana Central & Rift Valley (Kikuyuz & Kalenjiniz) ameshapata
Alikuwa western juzi juzi tu wakiwa na spika Lusaka.
 

Mbwembe zitakuua wewe jamaa. Hapo kwenu ndo mnaongoza kutangaza rais ambaye hajashinda mkamwacha mshindi. Kumbuka kibaki 2007 hakushinda ila ndo majaji wenu walimwapisha kama rais! Mwaka huu mmerudia tena, na pengine mtarudia tena na tena.

Halafu naona unashadadia suala la kunyeshewa na mvua eti kwa kusaka kura! Badala ya kuwaurumia hao wakenya maskini hapo barabarani wanaonyeshewa na mvua ambao hawana hata pesa ya kununua pain killers kutokana na maumivu watakayoyapata hapo, wewe unashadadia mtu ambaye check up yake inaenda kufanyika ulaya kwa pesa za walipa kodi maskini wa Kenya!
 

Bora kwetu huwa kuna ushindani, kwenu hapo huwa mnatawaza kabisa, mengine yanabaki usanii wa kupiga mipushup tu na kusubiri siku ya kuapishwa.
 
Tanzania, Rais anachaguliwa kwa boardroom kisha wanainchi wanafumbwa macho kupitia upigaji wa kura.
 
Bora kwetu huwa kuna ushindani, kwenu hapo huwa mnatawaza kabisa, mengine yanabaki usanii wa kupiga mipushup tu na kusubiri siku ya kuapishwa.
ukiangalia matokeo ya Kenya 2017 na tz 2015 utaona tofauti ni ndogo sana! Maana kenya ilikuwa 54.17% kwa 44.94% wakat tz ilikuwa 58.46% kwa 39.97%. Halafu hapo useme hakuna ushindani!

Kitu ambacho mnatuzidi ni kipengele cha katiba kuruhusu watu kupinga matokeo mahakamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…