Rais Uhuru asafiri Mauritius na kuingia mikataba ya kufungua soko kwa ajili ya mazao yetu

Rais Uhuru asafiri Mauritius na kuingia mikataba ya kufungua soko kwa ajili ya mazao yetu

Tanzania ya leo sio ya 90s
Kila siku wakenya tunawaambia hivi hamsikii, hakuna mnachofanya watanzania hawajafanya labda kufa njaa ndio tunajifunza kutoka kwenu
20190411_001514png.png
20190411_001617png.png
 
Kilimo cha parachichi cha kisasa {export points} kinafinyika karibuni maeneo yote Tanzania

Arusha


Njombe


Kilimanjaro


Etc
 
Avocado farmers will be smiling all the way to the bank...We have already opened that market to the 1.2b Chinese people and just recently they were here to do the quality testing....Closely bridging the gap in our exports...We have the infrastructure, now we are opening up markets...
 
Kama hujui tu parachichi za Tanzania zina uspesho duniani kutokana na msimu wake na msimu wa duniani pia ni kweli kabisa almost 50% ya parachichi za export Kenya zinatoka Tanzania

Hamna lolote kwenye kilimo cha parachichi kuizidi Tanzania


Kilimo cha parachichi cha kisasa {export points} kinafinyika karibuni maeneo yote Tanzania

Arusha


Njombe


Kilimanjaro


Etc

tanzagiza kwa ukulima wa maparachichi na export bado iko ligi ndogo, bado inavalia diapers hapo. mkifika hii level unitag
1068198
 
tanzagiza kwa ukulima wa maparachichi na export bado iko ligi ndogo, bado inavalia diapers hapo. mkifika hii level unitag
View attachment 1068198
Hapa mzee wa tweets hutamuona. Yaani yeye akishatupia picha mbili tatu kwa akili zake hapo huwa anajua tayari amemaliza. Akiona takwimu sasa ndio huwa anaanza kuteswa na allergy.
 
tanzagiza kwa ukulima wa maparachichi na export bado iko ligi ndogo, bado inavalia diapers hapo. mkifika hii level unitag
View attachment 1068198
REDEEMER propaganda machine ya ccm amejificha chini ya kitanda[emoji38] kama haunge mpa data angefungua uzi mwingine na aseme Tanzania ndio largest avocado exporter in East and Central African alafu aende mshahara kwa ccm .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Korosho zinaoza maghalani. Kampuni ya Kenya Indo power imeingia mitini.
Huyo jamaa huwa amechanganyikiwa kupindukia, tulibishana sana humu hilo dili lilipofanikishwa. Nikamueleza hela bado ila akanitupia cheche za matusi na kuniambia kwamba sijui lolote.
 
Vipi ile ripoti ya gari la Chadema?
ile inatakiwa ifanyiwe kazi haraka na muhusika ashuhulikiwe kwa mujibu wa sheria.

Yote haya yangebaki chini ya kapeti kama tungefata azimio hewa la wabunge wa CCM.
 
Humuoni ng'oo, amefyata!...
tanzagiza kwa ukulima wa maparachichi na export bado iko ligi ndogo, bado inavalia diapers hapo. mkifika hii level unitag
View attachment 1068198
Keshakula kona huyu jikuu cha magugumaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
DjY9MC0X4AQnxsT.jpeg

Kitu kinachowabeba ni kuchukua raw avocado na kwenda kuzipack Kenya, na kitendo cha packed avocado kutoka Tanzania kuwa transported through Kenya, otherwise hakuna mnachoizidi Tanzania kwenye hili
 
View attachment 1068892
Kitu kinachowabeba ni kuchukua raw avocado na kwenda kuzipack Kenya, na kitendo cha packed avocado kutoka Tanzania kuwa transported through Kenya, otherwise hakuna mnachoizidi Tanzania kwenye hili
How does what you've posted helped prove your allegation?..I can only see that the value in supply of Kenyan export is bigger than that of Tanzania.
 
How does what you've posted helped prove your allegation?..I can only see that the value in supply of Kenyan export is bigger than that of Tanzania.
huyu muwache, amejaza kamasi kichwani! hata kwa soko moja(UK) alilopost, Kenya imechapa tz kwa volume na value ya export. Hajielewi hata kidogo, kazi ni kupost picha toka twitter tu.
 
huyu muwache, amejaza kamasi kichwani! hata kwa soko moja(UK) alilopost, Kenya imechapa tz kwa volume na value ya export. Hajielewi hata kidogo, kazi ni kupost picha toka twitter tu.
How does what you've posted helped prove your allegation?..I can only see that the value in supply of Kenyan export is bigger than that of Tanzania.
Huku ndio parachichi zinazopendwa ulimwenguni kote zinapotoka

 
Back
Top Bottom