Kenyan Catholic priest who publicly denounced the killing of opposition demonstrators by Kenyatta's government found deadSafi sana. Enzi za ushamba wa marais miungu watu Kenya zilipitwa na wakati, tena zamani sana.
Ndani ya mtambo wa gongo a product of impunity by his administration!
Jiwe ajichanyanye hivyo alafu ushoboke kupiga nae self utaenda simulia kizazi chako chote
Ajaribu aone...labda apande na ndugu zake wa chatleBasi jiwe akiona hivi sio ajabu na yeye kesho ukamsikia kapanda basi kwenda chato ilimradi tu aonekane ni mtu wa watu
UNAJICHANGANYA SANA BUDAAWeak security Alshabab sasa hivi wapo likizo naona... Au hao wanaoonekana kwenye hizo picha wote ni Usalama wa Taifa wanazunga anasalimiana na raia
Basi jiwe akiona hivi sio ajabu na yeye kesho ukamsikia kapanda basi kwenda chato ilimradi tu aonekane ni mtu wa watu
HahahahJiwe ajichanyanye hivyo alafu ushoboke kupiga nae self utaenda simulia kizazi chako chote
Yupo anakwenda kusheherekea Krisimasi, hivyo lazima atie ndani vitu vikali vikali.....
Kenyan Catholic priest who publicly denounced the killing of opposition demonstrators by Kenyatta's government found deadUhuru is the best President in EAC akitanguliwa na Jakaya,
Uhuru sio mshamba, kazaliwa na kulelewa ikulu, ila the rest presidents wa Eac wakiongozwa na Slim ni washamba na pretenders.. wanafki sana
+ mirungiKama kawaida yake,kameshapiga konyagi!