Rais Uhuru ashtukiza wasafiri wa SGR kwa yeye kusafiri humo kwenda Krisimasi Mombasa

Rais Uhuru ashtukiza wasafiri wa SGR kwa yeye kusafiri humo kwenda Krisimasi Mombasa

Inapendeza...

Huku lowassa ndiyo alifanyaga hivyo... kupanda daladala moja na wananchi...



Cc: mahondaw
 
Uhuru ni rais pekee Africa ambaye mimi Mtanzania nampenda sana nanawaonea gele sana Wakenya
 
Huu ndio Ukweli. Wakenya wapo huru kweli kweli. kuanzia kwenye katiba yao, mahakama zao, viongozi wao nk.

Tanzania ni watumwa wa kutupwa.

Ni bora mkoloni tusiye mjua kuliko udicteta uliopo Tanzania.


Hivi ninapiga picha angekuwa ndiyo Magufuli amepanda train huyo sik train nzima ingejaa askali na usalama wa Taifa? Angepata kweli nafasi ya kupiga selfeeee na walala hao.

Ninahisi hata Rais Magufuli ni Mtumwa wa Uhuru wake, Analindwa sana.. hata uhuru wa kufanya kama Rais Uhuru anayofanya hapati nafasi.

Heko Kenya.

Sisi tunajaribu kwa kumuombea Rais wetu awe na busara na asiwahisi wananchi wake ni wabaya.
Kenyan Catholic priest who publicly denounced the killing of opposition demonstrators by Kenyatta's government found dead
 
Mwezi huu Wakenya husafiri kote, ikiwemo kwenda vijijini na wengine huenda mkoa wa Pwani kufurahia kwenye fukwe zetu. Kunao husafiri hadi hata Zanzibar.
Rais Uhuru amewashtukiza wasafiri kwenye SGR baada ya yeye kusafiria humo ili akasheherekee Krisimasi Mombasa, amejimix na raia na kupiga story humo.
------------------------------------

1869449.jpg
President Uhuru Kenyatta says hello to passengers aboard SGR to Mombasa on Sunday. COURTESY

President Uhuru Kenyatta on Sunday morning boarded the SGR to Mombasa where he will be spending his Christmas holiday.

Uhuru, accompanied by First Lady Margaret Kenyatta, mingled with and said hello to other passengers on board.

1869533.jpg


The Head of State will be at the Coast for the Christmas festivities until January.

Sources within the presidency refuted claims the trip was secret saying it was Uhuru's normal travel for holiday to the coast.

1869532.jpg


"It was just public he boarded and alighted as everyone witnessed. He walked around and talked to people about the SGR service. Wakafika Mombasa akashuka and wakaenda zao na Mama. He is basically spending the holiday and part of January there," the source said.


Kenya Railways had earlier advised passengers seeking to use SGR to seek alternative means like road or air as the passenger train between Nairobi and Mombasa is fully booked ahead of Christmas.

1869531.jpg


The corporation said tickets for the train for most days up to December 24 are fully booked with spaces remaining on a few weekday dates.

Currently the SGR is charging Sh1,000 for the economy class with those opting for first class coughing Sh3,000.

1869530.jpg


/ALL PHOTOS BY PSCU

1869577.jpg


Uhuru mingles with passengers on surprise SGR trip to Mombasa
Hio PR imeweza. Hio pr ni ya nguvu jo!
 
Pesa Kadhaa za Bombadia na Air Buse zingeelekezwa kwenye Train Dar Arusha kwa kweli Serikali ingeanza kuingiza Pesa.
Na maanisha Tunge nunua ndege Tatu kwa kuanzia.
 
Huu ndio Ukweli. Wakenya wapo huru kweli kweli. kuanzia kwenye katiba yao, mahakama zao, viongozi wao nk.

Tanzania ni watumwa wa kutupwa.

Ni bora mkoloni tusiye mjua kuliko udicteta uliopo Tanzania.


Hivi ninapiga picha angekuwa ndiyo Magufuli amepanda train huyo sik train nzima ingejaa askali na usalama wa Taifa? Angepata kweli nafasi ya kupiga selfeeee na walala hao.

Ninahisi hata Rais Magufuli ni Mtumwa wa Uhuru wake, Analindwa sana.. hata uhuru wa kufanya kama Rais Uhuru anayofanya hapati nafasi.

Heko Kenya.

Sisi tunajaribu kwa kumuombea Rais wetu awe na busara na asiwahisi wananchi wake ni wabaya.
Umetumia vizuri uhuru wako wa kuongea.
Huo utumwa unaousema upo Tz unaweza kutueleza ni utumwa gani? Pengine watu wanalimishwa mashambani bila ujira na hatujui. Na pia huo udikteta ni upi ilhali umeandika kwa uhuru kabisaa hapa au kuzuiliwa kwenu kutukana viongozi matusi ya nguoni kwa mwamvuli wa demokrasia ndo udiktetaa?
 
Duuh huyu nyang'au yuko vzuri sanaa..angekua rafiki wa mshikaji nafikiri wangekua wanashauriana mambo mazuri sana na uchumi ungepepea wa hizi nchi. Tatizo sasa kufanya urafiki na Nyang'au ni hatari sanaa.
Mshikaji ni mshamba sana
 
So far the best President in EA.
Best presdent aliyejimilikisha ardhi kubwa na kuwasababishia Wakenya wahangaike kwa kutafuta mahala pa kuweka makazi?

Anaendaga kufata nini kule mahakama kuu "THE HEGUE" kama si kesi za kujitwalia nchi sehemu kubwa isivyostahili kwa haki za kibinadamu?
 
Back
Top Bottom