Bora upige nyagi kuliko yule wa kuchoma sindano ya kubust ubongo[emoji3]Kama kawaida yake,kameshapiga konyagi!
Pole sana kiongoziIle 25% ya mafao imenivuruga aisee
Vipi za siku nyingi mkuu
Kenyan Catholic priest who publicly denounced the killing of opposition demonstrators by Kenyatta's government found deadHuu ndio Ukweli. Wakenya wapo huru kweli kweli. kuanzia kwenye katiba yao, mahakama zao, viongozi wao nk.
Tanzania ni watumwa wa kutupwa.
Ni bora mkoloni tusiye mjua kuliko udicteta uliopo Tanzania.
Hivi ninapiga picha angekuwa ndiyo Magufuli amepanda train huyo sik train nzima ingejaa askali na usalama wa Taifa? Angepata kweli nafasi ya kupiga selfeeee na walala hao.
Ninahisi hata Rais Magufuli ni Mtumwa wa Uhuru wake, Analindwa sana.. hata uhuru wa kufanya kama Rais Uhuru anayofanya hapati nafasi.
Heko Kenya.
Sisi tunajaribu kwa kumuombea Rais wetu awe na busara na asiwahisi wananchi wake ni wabaya.
Hio PR imeweza. Hio pr ni ya nguvu jo!Mwezi huu Wakenya husafiri kote, ikiwemo kwenda vijijini na wengine huenda mkoa wa Pwani kufurahia kwenye fukwe zetu. Kunao husafiri hadi hata Zanzibar.
Rais Uhuru amewashtukiza wasafiri kwenye SGR baada ya yeye kusafiria humo ili akasheherekee Krisimasi Mombasa, amejimix na raia na kupiga story humo.
------------------------------------
President Uhuru Kenyatta says hello to passengers aboard SGR to Mombasa on Sunday. COURTESY
President Uhuru Kenyatta on Sunday morning boarded the SGR to Mombasa where he will be spending his Christmas holiday.
Uhuru, accompanied by First Lady Margaret Kenyatta, mingled with and said hello to other passengers on board.
The Head of State will be at the Coast for the Christmas festivities until January.
Sources within the presidency refuted claims the trip was secret saying it was Uhuru's normal travel for holiday to the coast.
"It was just public he boarded and alighted as everyone witnessed. He walked around and talked to people about the SGR service. Wakafika Mombasa akashuka and wakaenda zao na Mama. He is basically spending the holiday and part of January there," the source said.
Kenya Railways had earlier advised passengers seeking to use SGR to seek alternative means like road or air as the passenger train between Nairobi and Mombasa is fully booked ahead of Christmas.
The corporation said tickets for the train for most days up to December 24 are fully booked with spaces remaining on a few weekday dates.
Currently the SGR is charging Sh1,000 for the economy class with those opting for first class coughing Sh3,000.
/ALL PHOTOS BY PSCU
Uhuru mingles with passengers on surprise SGR trip to Mombasa
Umetumia vizuri uhuru wako wa kuongea.Huu ndio Ukweli. Wakenya wapo huru kweli kweli. kuanzia kwenye katiba yao, mahakama zao, viongozi wao nk.
Tanzania ni watumwa wa kutupwa.
Ni bora mkoloni tusiye mjua kuliko udicteta uliopo Tanzania.
Hivi ninapiga picha angekuwa ndiyo Magufuli amepanda train huyo sik train nzima ingejaa askali na usalama wa Taifa? Angepata kweli nafasi ya kupiga selfeeee na walala hao.
Ninahisi hata Rais Magufuli ni Mtumwa wa Uhuru wake, Analindwa sana.. hata uhuru wa kufanya kama Rais Uhuru anayofanya hapati nafasi.
Heko Kenya.
Sisi tunajaribu kwa kumuombea Rais wetu awe na busara na asiwahisi wananchi wake ni wabaya.
Mshikaji ni mshamba sanaDuuh huyu nyang'au yuko vzuri sanaa..angekua rafiki wa mshikaji nafikiri wangekua wanashauriana mambo mazuri sana na uchumi ungepepea wa hizi nchi. Tatizo sasa kufanya urafiki na Nyang'au ni hatari sanaa.
We jaribu kuleta jamber jamber hapo mkuu utatupa mrejesho.Weak security Alshabab sasa hivi wapo likizo naona... Au hao wanaoonekana kwenye hizo picha wote ni Usalama wa Taifa wanazunga anasalimiana na raia
Wenzako keshasema Uhunye is the best President hapa EAC so tuliza mkund# na habari za sijui kasisi akafa kwani alikuwa aishi milele?
mm security ya Kenya kusema ukweli sijawahi kuiamini hata kidogo sijui kwanini...We jaribu kuleta jamber jamber hapo mkuu utatupa mrejesho.
Best presdent aliyejimilikisha ardhi kubwa na kuwasababishia Wakenya wahangaike kwa kutafuta mahala pa kuweka makazi?So far the best President in EA.
Utanzania wa kutambulika kwa ID feki ndani ya hii Jamii Forum?Uhuru ni rais pekee Africa ambaye mimi Mtanzania nampenda sana nanawaonea gele sana Wakenya