Rais Uhuru atuma rambirambi kwa ajili ya wanajeshi 15 wa Tanzania waliouawa

Rais Uhuru atuma rambirambi kwa ajili ya wanajeshi 15 wa Tanzania waliouawa

WEWE

WEWE NI MGONJWA WA AKILI TENA SANA TU, WATANZANIA NA WOTE WAPENDA AMANI TUMEPATA AFRIKA MASHARIKI TUMEHUZUNISHWA SANA NA VIFO VYA ASKARI WETU, NI VEMA VYOMBO HUSIKA WAKAKUTAFUTA ULIPO ILI UTOE MAELEZO SAHIHI. HUO SIO UZALENDO.
Mwenye askari walioshambulia ndugu zenu si mnamfahamu?

Ya nini kulaani shambulio badala ya mshambuliaji?

Huu ni upumbavu OG.
 
hivi hili nilile Jeshi linabakwa na wanaboda😀..Kama wanatwangwa na vijana wa Congo,muziki wa alkebabs wataweza kweli.duh jwtz ni jeshi dhaifu na ovyo sana

Wewe mpumbavu shika adabu yako. Hawa wanwajeshi waliokufa walijitoa kwa nchi yao na ni kitu ambacho wewe na baba yako hamuwezi labda mtoe tigo. Hawa ni wanaume na wamekufa kwa heshima punguani mkubwa.
 
R.I.P brave soldiers killed in pursuit of a noble duty.


Now suppose the headlines read 15 KDF Soldiers killed in Somalia by Alshabab...what reaction could have been
expected from our now aggrieved southern neighbors?
We would send nothing but our heartfelt, love filled condolences
 
I like Uhuru. Ni mtu poa sana sema tu sometimes anaonekana hafai kwa kuwa Kenya imeathiriwa na ukabila...
Uhuru mwenyewe hana ukabila, cheki mara ya kwanza alipowania urais 2002 support aliyokuwa nayo, haikuwa ndogo vile. Mwai Kibaki ndo alishinda uchaguzi huo. Hata kabila lake mwenyewe halikumpa Uhuru kura. Licha ya hayo yote kabla ya kura zote kuhesabiwa Uhuru Kenyatta alienda live on tv akampongeza Mwai Kibaki na akakubali kushindwa. Huo ndo ulikuwa uchaguzi wa kwanza Kenya ambapo matokeo hayakupingwa na upinzani.
 
Kumbe anaitwa pia Muigai, eeh? Wajaluo wameshaanza kunywa maziwa yake?, au bado wamegoma?

Wasipokunjwa maziwa yake watashikwa na ugonjwa wa kwashakoo! Wale wanaowashauri wasinywe maziwa wao wanakunywa na siaga ya ngombe ni mbele na mafuta ya olive!
 
Amelaani vikali hayo mauaji na kutuma rambirambi kwa jamaa na marafiki wa waliouawa na kwa rais Magufuli na kwa Watanzania wote. Amesema anaunga mkono jitihada zote za kuleta amani ya kudumu huko DRC.

---------------------------------------------------------------------------------------------------

- President Uhuru Kenyatta has penned a letter to President John Pombe Magufuli following death of 15 Tanzanian soldiers in the Democratic Republic of Congo (DRC) Read

- The 15 soldiers were reportedly killed on Thursday, December 7, by heavily armed militants while on peacekeeping mission in the DRC

- Uhuru has condemned the killings and condoled with the families and friends of those who were killed in the brutal attack President Uhuru Kenyatta has sent an emotional message to his Tanzanian counterpart President John Pombe Magufuli following the brutal killing of 15 Tanzanian soldiers in the Democratic Republic of Congo (DRC). In a letter shared on his Facebook page on Sunday, December 10, Uhuru condemned the brutal killings and condoled with families and friends of the 15 Tanzanian soldiers.
"The attack of the soldiers, who were serving the good cause of establishing sustainable peace in the DRC, was vile.The government of Kenya will stand with the government and people of Tanzania in seeking a peaceful and prosperous future for the region," Uhuru said

Uhuru underscored the crucial role that the soldiers played in the region's peacekeeping mission and promised to continue working closely with President Magufuli's government in the ongoing efforts to restore stability in the DRC.

The 15 soldiers were reportedly killed in North Kivu region of the DRC on Thursday, December 7, by heavily armed militants while on peacekeeping mission. According to a report by The Guardian, over 50 solders were injured in the deadly attack that pitted local Islamist extremist group against the UN peace-keeping soldiers.

While reacting to the assault, Magufuli expressed his shock and also condoled with the families of the Tanzanian soldiers who died in the line of duty. "I am extremely shocked to hear of the deaths of our young and brave soldiers and heroes who lost their lives carrying out their peace mission in the DRC," Magufuli said in a statement.

The UN Secretary General António Guterres has described the attack as the worst in the UN’s recent history and a "war crime”. Read more: Uhuru Kenyatta pens emotional letter to John Magufuli following death of 15 Tanzanian soldiers in DRC

Pole zangu kwa familia zilizolifiwa. lakini jaribu kutembelea nyuzi za KDF huko somalia wakipatwa na janga. kejeli za kufa mtu utoka kwa watanzania wanaojifanya malaika kwa uzi huu. zamu kwenu mnaojifanya wajuaji kivita na kupiga vifua JF!!!! pathetic pretenders!!! rest in peace gallant soldiers.
 
Sijamuona Geza Ulole kwenye huu uzi vile hujitokeza na multiple messages na picha nyingi wakati KDF imeshambuliwa. kadoda tuletee picha za TPDF pia sisi tuhisi mnavyohisi KDF wakishambuliwa...Pride comes before a fall ferkerz.
 
Pole zangu kwa familia zilizolifiwa. lakini jaribu kutembelea nyuzi za KDF huko somalia wakipatwa na janga. kejeli za kufa mtu utoka kwa watanzania wanaojifanya malaika kwa uzi huu. zamu kwenu mnaojifanya wajuaji kivita na kupiga vifua JF!!!! pathetic pretenders!!! rest in peace gallant soldiers.
My friend, try to understand these are two different cases,
 
hivi hili nilile Jeshi linabakwa na wanaboda😀..Kama wanatwangwa na vijana wa Congo,muziki wa alkebabs wataweza kweli.duh jwtz ni jeshi dhaifu na ovyo sana
Unaongea kwa ushabiki halafu hujui unachosema. An ambush is an ambush. Kwa mfano KDF lost alot of soldiers when they were ambushed at night in their camp.

Tunapoongelea haya mambo tuweke siasa pembeni maana maisha ya askari ambao wanatimiza wajibu wao yanapotea na pengine wanaumia na kubaki vilema daima.

Tuwaombee wapumzike kwa amani. Tushabikie mambo mengine ila haya ya usalama busara itumike. Unajua namaanisha nini
 
WEWE

WEWE NI MGONJWA WA AKILI TENA SANA TU, WATANZANIA NA WOTE WAPENDA AMANI TUMEPATA AFRIKA MASHARIKI TUMEHUZUNISHWA SANA NA VIFO VYA ASKARI WETU, NI VEMA VYOMBO HUSIKA WAKAKUTAFUTA ULIPO ILI UTOE MAELEZO SAHIHI. HUO SIO UZALENDO.
Nani alikwambia uzalendo unalazimishwa? Hebu uwe na uwezo wa kuvumilia hoja kinzani
 
My friend, try to understand these are two different cases,
Kuelewa nini kifo ni kifo. Hamna tofauti. ukifa ni basi. badala ya kutoa pole watanzania hapa JF huwa ni ushabiki na kejeli kwa Kenya. sasa watanzania wamechijwa huko congo. sipendi mtu kijifanya zuzu haelewi wakati jirani yako uaombolezi nawe washambikia. uchungu mnaopata sasa sawa na tunaopata mkishambikia kuuawawa wakenya somali!!
 
Uhuru mwenyewe hana ukabila, cheki mara ya kwanza alipowania urais 2002 support aliyokuwa nayo, haikuwa ndogo vile. Mwai Kibaki ndo alishinda uchaguzi huo. Hata kabila lake mwenyewe halikumpa Uhuru kura. Licha ya hayo yote kabla ya kura zote kuhesabiwa Uhuru Kenyatta alienda live on tv akampongeza Mwai Kibaki na akakubali kushindwa. Huo ndo ulikuwa uchaguzi wa kwanza Kenya ambapo matokeo hayakupingwa na upinzani.

bwana wee, utandanganya watanzania kwa jukwaa zao. Tunaoishi kenya you sound like you are from mars, tarumbeta tulizozoaea kwa malipo zinapiga nyimbo iliyoandikwa kwake!!!!!
 
hivi hili nilile Jeshi linabakwa na wanaboda😀..Kama wanatwangwa na vijana wa Congo,muziki wa alkebabs wataweza kweli.duh jwtz ni jeshi dhaifu na ovyo sana
Ingia anga zao ***** ,kama hujatoboka hiyo ku...du
 
Back
Top Bottom