Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,373
- 6,084
Ni dhahiri wazi Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya anatumia lockdown kuvunja nguvu ya hasimu wake mkubwa wa kisiasa William Ruto.
Wafuasi wa Ruto ama yeyote mwenye mwelekeo wa kumpinga Rais Uhuru Kenyatta hawaruhusiwe kukutana a ma kufanya mikutano. Ila Rais Uhuru Kenyatta ameonekana na wakenya wengi amewaletea umasikini mkubwa na hii lockdown yake.
Wafuasi wa Ruto ama yeyote mwenye mwelekeo wa kumpinga Rais Uhuru Kenyatta hawaruhusiwe kukutana a ma kufanya mikutano. Ila Rais Uhuru Kenyatta ameonekana na wakenya wengi amewaletea umasikini mkubwa na hii lockdown yake.