Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
catalonia wanasulubiwa huyo na madrid lakn sijasikia nchi yeyote ya ulaya au amerika ikikosoa!, lkn ingekua afrika ungesikia kelele za kila aina.........tangu lini ukasikia CNN au Aljeezira wakaripoti mema juu ya bara letu tukufu...hawa hata sasa utawakuta mahala oenye fujo kama Kawangware, Kisumu,Migori n.k...huwezi kuwakuta mahala kama Thika, Embu n.k...kwao habari mbaya wakizirusha ni mtaji kwao...mpaka sasa naona tume portal yao ya kura Uhuru ana 4m+ na bado wanaedelea kuhakiki matokeo na ku update
kabisa na vibaya zaidi waafrika bado tunasubiri wao wazungu watuelekeze juu ya maisha yetu na siasa zetu...na mzungu hutanguliza maslahi yake kabla ya waafrika....huu utumwa sijui utaisha lini..catalonia wanasulubiwa huyo na madrid lakn sijasikia nchi yeyote ya ulaya au amerika ikikosoa!, lkn ingekua afrika ungesikia kelele za kila aina.........
kuna wakat naamn wazungu shida yao ya kuitangaza vibaya afrika,
tia dawa hayo masikioNaskia adi vichanga vya leo vimepiga kura
Which means the 1st tally of August 8th was the right vote results.Ukifanya experiment mara mbili upate matokeo sawa ni kusema ile petition ililetwa kwa uongo na unafiki mkubwa.Kwa mujibu wa matokeo yanayotiririka kutokea maeneo mbali mbali ya nchi, tarakimu zinaonyesha rais Uhuru ametimiza 7,263,496, idadi hii imebakia kidogo tu kufikia milioni nane alizokua nazo kwenye uchaguzi wa mwanzo.
Japo pia inaeleweka changamoto za kutotimiza ni kwamba
- Kwenye kinyang'anyriro maalum cha mwanzo, maelfu ya Wakenya walisafiri kwenda vijijni kupiga kura, lakini ni wachache walisafiri kwenye zoezi hili la marudio.
- Kuna wengi pia hawakua na hamasa ya kujitokeza kupiga kura kwa kauli kwamba mshindani alikua mmoja, hawakuona haja ya kuhangaika kwenye mafoleni.
- Maeneo yenye wafuasi wa Raila yalishuhudia uhuni wa kila aina. Vijana walifunga kabisa gatuzi nne zenye wapiga kura zaidi ya milioni
- Pia kuna maeneo kama Bungoma ambapo waliopiga kura waliamka na kukuta nyumba zao zimetiwa alama ya rangi nyekundu kama ishara kwamba wajiandae kwa mtiti ujao
Lakini pia pamoja na yote hayo, wafuasi wa Raila nje ya Nyanza walisusia kabisa na hawakupiga kura, hivyo nchi imegawanyika. Juzi Raila ameagiza wakae mkao wa mapambano na kwamba wasusie huduma zote za makampuni yenye ushirikiano wa aina yoyote na serikali.
Kwa kifupi, mapambano haya ya siasa hayataisha hivi karibuni, wananchi wa chini kama kule Kibera wajiandae kwa hali na mali maana kuna mikimbio ya kila siku hadi mmoja wa hawa mafahali wawili atakapochoka na kuiachia nchi iendelee mbele.
Kenya Elections 2017 - Daily Nation
Ukabila ni sumuWhich means the 1st tally of August 8th was the right vote results.Ukifanya experiment mara mbili upate matokeo sawa ni kusema ile petition ililetwa kwa uongo na unafiki mkubwa.
Mimi sina chama..He..unapingana na Mashinji?
Wakikuyu bhana.
Mwenyekiti wa tume yenu alishasema uchaguzi hautakuwa wa huru na haki, wewe unakuja tuletea idadi za kupika hapa.
Mnasikitisha
Tueleze hiki bwana MK254 iweje mtu mgombea pekee yake anaibuka na"kura" zaidi ya waliojitokeza. 6.5 vs 7. 2 million, sijui nini bado wanapika kule Bomas..... Aisee mnatubeba ufala!!!Tatizo vyombo vya habari vina unafiki wa kiaina
Hawakuandika hotuba yote ya mwenyekiti na waliandika vipande vipande ili kuibua hisia za watu wasiodadisi kama wewe
Mwenyekiti alisema kama wanasiasa wakiendelea kutamausha zoezi basi hatohakikisha uchaguzi wa haki na huru
Mfano ni maeneo ambapo watu walizuiwa kupiga kura kwa kutishiwa vifo, ni wazi matukio kama hayo yanadhihirisha hakukua na haki maeneo kama hayo.
Kumchezea mtu shere'...Aisee mnatubeba ufala'...Hapa unamaanisha nini??