technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Ilo lipo wazi ila Uhuru ni muungwana sana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah labda pambaja ni ile hug flan ya kugonganisha mabega ile...
huyu jamaa atakuwa anakula sana majani ila kwa faida,ndo mana yuko cool full kusizi,roho ya kirasta ndo mana anasamehe,si unajua zile irie rasta good gwan whatagwan man??!...
siyo kama yule wa nchi flan inaonekana ujanani alikuwa anavuta majani mabichi saiz uzeeni ndo yanakaukia kichwani anawapeleka wananchi wake kwa speed ya mwendokasi.hahaha
sasa mi hapa nilipo kwa bar nimelewa kidogo na ni saa nane mchana, imajin vile nimecheka after kusoma hio comment, its twice funnierJameni watu wananiona chizi hapa kwa jinsi umesababisha nicheke. Wewe utakua mvuta hayo majani.
Huyu jamaa Tobinho ni kiboko walahi.sasa mi hapa nilipo kwa bar nimelewa kidogo na ni saa nane mchana, imajin vile nimecheka after kusoma hio comment, its twice funnier
mkuu zile makitu ukivuta mbichi zinakuja kufumuka baadae pindi zikianza kukaukia kichwani...nadhani ndicho kinachomsibu huyu dingi,hehehnapinga always watu wanaokula mmea huwa wako very humbled,ungesema ni mlevi ndomana anapeleka watu puta ningekuelewa maana unaweza kuamka na hangover alafu unahasira utaekutana nae mbele yako atapata shida
Huyu mti ni jangaa!! Kuna mtu wanamshtaki kila siku lakin huyo mtu ni kichwa....kila siku anawashinda kesiHahahah labda pambaja ni ile hug flan ya kugonganisha mabega ile...
huyu jamaa atakuwa anakula sana majani ila kwa faida,ndo mana yuko cool full kusizi,roho ya kirasta ndo mana anasamehe,si unajua zile irie rasta good gwan whatagwan man??!...
siyo kama yule wa nchi flan inaonekana ujanani alikuwa anavuta majani mabichi saiz uzeeni ndo yanakaukia kichwani anawapeleka wananchi wake kwa speed ya mwendokasi.hahaha
Hii ya kula majani nilistuka longi, macho ya mr presidaa yamekolea flani, halafu ninasikia mtu wa totoz kinoma.Hahahaha aiseee huo ndio ubinadamu sio kila kitu kutumia nguvu kubwa kwa sababu tu una nguvu hiyo ila huyo jamaa lazima anakula sana majani
Pambaja ni kitu gani ??
Hahaha yeah jamaa anaonyesha kabisa ni mtumiaji ,hapo kwenye totoz ni udhaifu wa wengiHii ya kula majani nilistuka longi, macho ya mr presidaa yamekolea flani, halafu ninasikia mtu wa totoz kinoma.
Hehehe yule nikweli mvuta bangiMkuu si mpaka uwe na ushahidi kwa hilo.