kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Hujielewi kama huelewi uliza ruto ndie aliyetengwa unatakajeBinafsi ninamshangaa Mh. Rutto.
Yaani anawezaje kujitenga na "mapungufu ya serikali yao"?!
Kuushambulia utawala wa mh.Kenyatta ni kujishambulia yeye mwenyewe.
#SiempreJMT
Ninadhani ni katiba ndo inampa nguvu hizo, Sina hakika, lakini, ni kama vile rais hana jeuri ya kumfurusha. Ingekuwa ni TZ , saa hii tupo nae mtaaniHivi Rutto ana nguvu gani Kenya? Maana naona kama anafanya anachotaka kwenye serikali ya Kenyatta.
unangoja hadi afe ndio utoe makucha?Kibongo bongo ni ngumu kushambulia mfumo ukiwa ndani ya mfumo
Let me tell you🙈Their is no serious Kikuyu Candidate this time,Alafu kenye inakasirisha Akina Uhuru na Raila ni kuwa,ata wafanyeje ama wasemeje Ruto has 95%support from mountKenya,Yani Wakikuyu Hao umetaja,wen they see Ruto wanaruka kiuchizi kwa Furaha,because Ruto ndiye aliye wasaidia kumweka mtu wao kwenye kiti,"Yangu Kumi Yake Kumi"That's all they remember,Ruto Ndio President 2022 Naaapa,Take it to the Bank🔥🔥Tafakari hayoHakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu.
Ruto alipoamua kuungana na Uhuru na kumsaidia kumwangusha Raila aliamini kabisa njia ya ikulu ingekua nyepesi kwake. Maskini hakujua angewaza kutumika na kutupwa nje vilevile
Nimpongeze kwa kuamua kukomaa, mwanaume amekataa kushindwa kirahisi, baada ya kutumika. Ila akumbuke tuu kwa ukabila uliokuwepo Kenya bado safari yake ni ngumu bila kuwa na support ya Raila.
Achilia mbali Daniel Arap Moi aliyekua rais japo hakuwa mkikuyu, linapokuja suala la Urais Kenya wakikuyu wapo tayari kufanya lolote Rais awe mkikuyu
Tusishangae kuja kumwona yeye na Raila wakiungana tena kabla ya uchaguzi ujao. Wakiungana Wa luo na Kalenjin wanaweza kushinda na kuvunja mfumo wa ukikuyu kenya na pia wakijipanga vizuri wanaweza kuondoa kabisa roho ya ukabila
Ila wakikuyu nao wanajua kuzaliana!!!!!!
View attachment 1905837
Mungu ibariki Tanzania.
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere utaendelea kuwa Rais bora kuwahi kutokea duniani uliyweza kuunganisha taifa kwa kuondoa ubaguzi wa makabila, rangi hata dini
Do you know the most dangerous communities in Kenya during elections,the Kikuyu and the Kalenjins since Uhuruto elections they shook hands,and now thats where Rutos strength is,Ruto akona nguvu kila pande ya Kenya even in Railas background,Hivi Rutto ana nguvu gani Kenya? Maana naona kama anafanya anachotaka kwenye serikali ya Kenyatta.
Siasa ya Kenya ni ya kipuuzi mnooo
Sio kwamba haina unafki! Ina ukabila ambao mwananchi yupo tayari kuchagua kachagua Rais wa kabila lake bila kujali kama anabeba maslahi ya taifa au lah, na huo ni unafki uliokoleaaaa
Ukabila ukikolea hata ukihitaji huduma hadimu unauziwa tuu pale unapothibitika kuongea kilugha cha muuzaji
Nyerere aendelee kupumzika kwa amani
Ninadhani ni katiba ndo inampa nguvu hizo, Sina hakika, lakini, ni kama vile rais hana jeuri ya kumfurusha. Ingekuwa ni TZ , saa hii tupo nae mtaani
Kuweka kumbukumbu sawa.
1. William Ruto yupo pale kikatiba, hakuna mwenye uwezo wa kumtoa, labda ajiuzuru yeye mwenyewe, na hana mpango wa kujiuzuru.
2. Chanzo haswa ni uchaguzi wa mwakani, Uhuru ameamua kusimama na Raila huku akimuweka kando Ruto, Ruto ameamua kusimama mwenyewe, hana cha kupoteza.
3. Kihistoria inaonekana Ruto ndio nguzo kuu ya wawania urais kenya kupata ushindi, upande anaokuwa Ruto ndio uaminika huwa unashinda. Hatujui zamu itakuwaje.
4. Zamu hii Ruto ameamua kutokuwa msindikizaji, anataka na yeye asindikizwe kuingia Ikulu.
5. Ruto anasemwa kama ni mwanasiasa mjanja, hatari, mla rushwa na mroho wa madaraka, anajua kucheza kila sarakasi za siasa za Kenya, njia pekee ya kumnyima urais wa Kenya ni makabila makubwa matatu kuungana kinyume naye.
Uhuru says: I dare you to resign.Siasa ya Kenya nimeipenda sana haina unafiki viongozi wanachanana live