Rais Uhuru Kenyatta atoa amri ya kufungwa kwa boda ya Kenya-Tanzania na Kenya-Somalia kwa siku thelathini

So you have now diversified to gay and lesbian business? Hongereni!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watasema wewe ni chadema.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ongeza volume kidogo, huku nyuma hatusikii!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Just use kiswahili.
 
Jombaa, yaani miaka mitatu tu tangu mpate uhuru ndio mmekuwa na surplus kwenye biashara kati ya Kenya na Tz? Alafu huwa unaona sifa kujimwambafy humu wakati Kenya ndio imekuwa ikipata hela nyingi kupitia viwanda miaka yote hiyo? Hongera lakini kwa kusoma hiyo taarifa kwenye hiyo link ambayo niliitupia humu, sio kawaida kwako. 😀
 
Hungry Kenyans you are allowed to come and feed your selves.The world knows you as people who can't think on your selves.You just copy and peste,you love to be like wazungu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya is far from Tanzania


Vitu Kenya imefanya bila usaidizi wa hako kataifa kenu, ni mingi sana.

We can't remember when it was when Kenya started fighting with alshaba..

From last year up to kenya imechapana na locusts, magaidi na corona na sasa inapigana na usambazaji wa Corona kutoka Tz.
 
Ndio sababu tunawaambia enzi za Kenya kubebwa na nchi za Magharibi zimekwisha, enzi hizo Kenya ilikua ikipata support kubwa sana toka Capitalistic countries, Tanzania tuliwekewa vikwazo kwa sababu ya kuwa kinara katika ukombozi wa Africa.

Sasa hivi hakuna tena Support mnayopata toka nje, tunawazidi katika kila eneo, na bado tunazidi kuwaonyesha kwamba, Kenya can't win without support from western countries "

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya US inafadhili jeshi la Kenya kupigana na Alshabab kwa kifupi us ameweka military base hapo na wanaukufa ni wakenya kwa vita isiyo yao sababu ya tamaa ya hela.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnaingiza bidhaa gani while azam,metl na azania inalisha mpk huko kwenu!
 
Kenya aise,Yaani ni kama demu anadeka vile,anataka pesa ya mwanaume,ila hataki kuvua chupi,anabaki kujing'ata kidole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…