kama wao ni vidume wafunge mpaka mazima kama watamudu kukaa njaa.
tz inalisha takataka zote zinazotuzunguka rwanda, uganda,kenya,malawi,zambia,burundi,congo mpaka sudan wote hawa wanalishwa na ardhi ya tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini wasiseme tunazuia vyote watake mizigo? Hakuna Mtanzania anakuja Kenya zaidi ya mwezi zaidi ya madereva wa malori.Hata mtoto mdogo wa Kenya atashangaa kusikia kuwa bado mnataka mizigo toka Tanzania.Poor you! You na not even produce food enough to feed your peopleMnatia huruma na hizi akili zenu finyu. Kwa taarifa yako wafugaji wenu tayari walipigwa marufuku kuingia kwenye soko ambazo huwa wanazitegemea ili wapate bei nzuri ya ng'ombe na mbuzi wao. Tena mafuruku yenyewe ilitolewa na gavana tu, wa Kajiado gatuzi linalopakana na Longido, sio serikali kuu ya rais U.K. Tanzanian livestock barred from Kajiado markets Leo hii wafugaji kutoka Kajiado, Narok na sehemu zingine nchini Kenya hawana 'competition'. Wamejaza pengo lililoachwa na wenzao, maisha ya wateja wao yanaendelea kama kawa na imekuwa bomba zaidi kwao kwasababu wanapata hela za ziada. Bado hamjajifunza, mnatafuta mchawi kwa fujo wakati ipo wazi kwamba tatizo ni serikali yenu na ilivolala darasani kwenye suala la kuzuia maambukizi ya COVID-19.
Dominating wapi?., weka data hapa wacha brah brah zako mwana ccm., hamuwezi hata tukilala miaka kumi., mko hovyo kishenzi, linchi likubwa watu wamefinywa na kubebwa ujinga na serikali bandia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji6][emoji23][emoji23], wacha nikucheke tu, u like consoling yourself., infact if we close the border completely you will overtake Nigeria and become a nation with more poverty stricken populace in the world, I read Nigeria overtook India., in the list where Tz leads in both EAC na SADC., yaani nyie ni dead state, apart from a few clever businessmen who buy harvest from farmers at throw away pice na kuuza Kenya na kwingineko, huku tukiyanunua na kutengeneza faida zaidi, wewe ni among slum dwellers pale Dar haujui chochote, I can read poverty mentality in between the lines of your narrative, ni ushabiki wa kishenzi tu uko nayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]That's why we call you stupid, four years consecutively prior to last year, we were dominating the business, and this year we are going back to our position.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamawana forgets that no Tanzanian passenger has ever visited Kenya for the past one month.He wants just food to be imported to hungry kenya.Yes,we are here to help you!Halafu mnaendelea kukua masikini wa kutupwa kwa wote., both EAC na SADC., tafadhali fafanua hilo kaka., si Tanzania is a dead state then?., yaani ni kama ukichanganya ujinga, upumbavu, punguani, uwendazimu na uzembe iwe supu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu hatari sana..haya mawazo yako Mungu akusimamie kwakweli akupe upeo wakufikiri kwakweliNi haki yake hata hivyo, kila mtu ana haki ya kuamua nani aingie na yupi asiingie nyumbani kwake, binafsi sioni tatizo hapo, so far so good, ila waathirika wakubwa hapo ni chadema, au niseme wapiga kura wa chadema wao ndio waliojazana Kenya, lkn cha ajabu wamejaa hapa kushangilia, ...
Low IQ!
Kauli za kinyonge ni kama hizi hapa kutoka kwa 'Phd holder'.Kauli za kinyonge nyonge tu. Fungeni border Mwaka moja
Jisaidie kwanza., hamna chochote, tunawasaidia kwa kuwapa soko., tumewahurumia uchumi wenu usiporomoke, it is delicate coz is not sufficiently diversified., na nimeona ni desturi dunia nzima gari za mizigo na ndege zunaruhusiwa kuvuka borders, si jambo jipya, maybe hauna taarifa mwana ccm, sioni issue hapa., wewe umeshikwa na kinyongo tu., ni chuki unayo kwa Kenya., pole kaka mtafika tu, ila mkitoa ujinga katika kuendesha nchi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Kamawana forgets that no Tanzanian passenger has ever visited Kenya for the past one month.He wants just food to be imported to hungry kenya.Yes,we are here to help you!
Sent using Jamii Forums mobile app
tupike ili nani ale,mkenya au WHO??Namba zenyewe natumai hazipikwi
wakifunga mipaka na wafunge lkn wasianze kusema tanzania ni chanzo.Halafu mnaendelea kukua masikini wa kutupwa kwa wote., both EAC na SADC., tafadhali fafanua hilo kaka., si Tanzania is a dead state then?., yaani ni kama ukichanganya ujinga, upumbavu, punguani, uwendazimu na uzembe iwe supu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena kaka, blame covid19.,wakifunga mipaka na wafunge lkn wasianze kusema tanzania ni chanzo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyewaambia nyie washamba kwamba cargo kutoka Kenya haziingi Tz ni nani? Tena Kenya inauza bidhaa nyingi Tanzania zaidi ya inazonunua, alafu bidhaa zenyewe ni kutoka kwa viwanda. Deficit kati ya Kenya-Tanzania ilikula kwenu kwa 'tune' ya $35.7million mwaka jana! Endeleeni na propaganda zenu za kilumumba, wakati kumeza madawa tu na hata sabuni za kuoga huwa lazima muone 'Proudly Made in Kenya'.Kwanini wasiseme tunazuia vyote watake mizigo? Hakuna Mtanzania anakuja Kenya zaidi ya mwezi zaidi ya madereva wa malori.Hata mtoto mdogo wa Kenya atashangaa kusikia kuwa bado mnataka mizigo toka Tanzania.Poor you! You na not even produce food enough to feed your people
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani anafunga mipaka kupigana na TZ au covid?Hapo hamjafunga mpaka. Sisi tunasema kwamba Kenya haiwezi kusurvive bila chakula na raw materials kutoka Tanzania, ndio sababu amesema "except cargo vehicles", kama ninyi ni wababe kwanini msifunge mpaka "completely?", yaani msiruhusu Gari wala mtu yeyote kupita? Kenya bila Chakula cha Tanzania, raw materials na kuitumia ardhi ya Tanzania kupitisha bidhaa zake kwenda nchi za kusini, uchumi wake hauwezi kusimama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Stupid.Kwanini wasiseme tunazuia vyote watake mizigo? Hakuna Mtanzania anakuja Kenya zaidi ya mwezi zaidi ya madereva wa malori.Hata mtoto mdogo wa Kenya atashangaa kusikia kuwa bado mnataka mizigo toka Tanzania.Poor you! You na not even produce food enough to feed your people
Sent using Jamii Forums mobile app
Give any evidence which shows that curfew works, stop thinking like snakes.Curfew are meant to prevent people from attending bars and restaurants which may increase infection rate. Kama hujui uliza tafadhali, sio kuropokwa na maneno kama wale omba omba wenyu.
From 2013 to 2018, Tanzania was enjoying positive balance of trade with Kenya, only last year is when Kenya sold more to Tanzania with excess of $35M, do you want evidence?I don't understand you concept of domination hahaa,...maybe you can do us a favour and expound more .
as far as I know the average Tanzanian farmer is always at the bottom of the food chain ,global brands such as proctar and Allan , Weetabix east Africa which are located in Kenya import celears from Tanzania Uganda e.t.c Process them ,then export them back to Tanzania as Weetabix cornflakes etc
Kesho..Aliyewaambia nyie washamba kwamba cargo kutoka Kenya haziingi Tz ni nani? Tena Kenya inauza bidhaa nyingi Tanzania zaidi ya inazonunua, alafu bidhaa zenyewe ni kutoka kwa viwanda. Deficit kati ya Kenya-Tanzania ilikula kwenu kwa 'tune' ya $35.7million mwaka jana! Endeleeni na propaganda zenu za kilumumba, wakati kumeza madawa tu na hata sabuni za kuoga huwa lazima muone 'Proudly Made in Kenya'.
Tanzania kwa miaka mitatu mfululizo tumekua tukiuza zaidi Kenya kuliko Kenya ilivyokua inauza Tanzania, tena kwa gap kubwa, ni mwaka Jana pekee ndio Kenya iliuza bidhaa zaidi Tanzania, lakini kwa gap dogo sana, hii ni kwa sababu chakula kingi Tanzania tuliuza kusini mwa Afrika, hatukuwauzia wakenya.Aliyewaambia nyie washamba kwamba cargo kutoka Kenya haziingi Tz ni nani? Tena Kenya inauza bidhaa nyingi Tanzania zaidi ya inazonunua, alafu bidhaa zenyewe ni kutoka kwa viwanda. Deficit kati ya Kenya-Tanzania ilikula kwenu kwa 'tune' ya $35.7million mwaka jana! Endeleeni na propaganda zenu za kilumumba, wakati kumeza madawa tu na hata sabuni za kuoga huwa lazima muone 'Proudly Made in Kenya'.
Hungry Kenyans you are allowed to come and feed your selves.The world knows you as people who can't think on your selves.You just copy and peste,you love to be like wazunguKauli za kinyonge ni kama hizi hapa kutoka kwa 'Phd holder'.Hizi za boda kufungwa ni aftermath tu, kutoka kwa kashetani kwa jina COVID-19.