Acha longo longo zako wewe, vitengo vyenu vya usalama vimechanganyikiwa kupitiliza. Tena wakati wa amani kukichafuka hawatajua tofauti kati ya mkono wao wa kulia na wa kushoto. Zaidi ya yote rais Uhuru Kenyatta huwa anaandamana na security moja ya kufa mtu na hutaona hata mmoja wao akiwa amebebana na manati.
Uhuru akiwa huko kakamega hawezi kua free kama hivi,lazima tungeona vifaru nyuma yake