Rais Uhuru Kenyatta, kiongozi dhaifu kuwahi kutokea Kenya

Rais Uhuru Kenyatta, kiongozi dhaifu kuwahi kutokea Kenya

Bowie

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
4,373
Reaction score
6,084
Baada ya Rais Uhuru Kenyatta kuingia madarakani nilitegemea afuate nyayo za Mzee Jomo Kenyatta lakini kwasababu zifuatazo ameonyesha ni Dhaifu sana.

1. Kwa kuipeleka Kenya kwenye utawala wa udikteta.
2. Kuingiza Umoja waKenya kwenye matatizo baada ya kushindwa kuondoa tatizo la ugavi wa fedha kwenda kwenye kaunti.
3. Kuidharau Mahakama pamoja na Jaji Mkuu Maraga.
4. Kuwaweka waKenya kwenye maisha magumu wakati wa Cov19.
5. Kuiua chama cha Jubilee kilichomweka madarakani.
6. Kushindwa kusimamia watendaji wake ipasavyo mpaka kufikia Makamu wa Rais Ruto kudharauliwa na Waziri Matiangi na Katibu Mkuu wa Kibicho.
7. Kufanya muafaka na kiongozi wa upinzani Raila Odinga bila baraka ya viongozi waandamizi wa Jubilee akiwemo Makamu wake.
8. Kuipa wakati mgumu Jubilee katika uchaguzi wa 2022
9. Kuwa na matumizi mabaya ya kodi ya serikali ikiwemo fedha za matumizi ya Cov19.

Wakenya ni wakati wenu kukaa na kutafakari kupata kiongozi mpya 2022 kutoka kwenye kizazi kipya sio Raila, Ruto wala Gideon Moi.
 
Nikajua ni uchanganuzi makinifu kuhusu ukuaji wa uchumi wa Kenya, miradi ya maendeleo, hali na mazingira ya kibiashara n.k. n.k. Kumbe ni mafeelings tu kutoka Lumumba Quaters za nchi ya Magufulistan? 😎
 
aiseee ukweli usemwe kenyataa kitaa hatumpendi mazee dah!...karamba hela ndefuu ya kovidi!! pamoja na mzigo wa jack ma!
1597605118728.jpg
20200817_134521.jpg

20200817_194634.jpg
 
Ati kenyatta ni dikteta . Hawa wabongo watumia akili ama makende. Stupidity can kill you my friend.

giphy.gif
 
Nikajua ni uchanganuzi makinifu kuhusu ukuaji wa uchumi wa Kenya, miradi ya maendeleo, hali na mazingira ya kibiashara n.k. n.k. Kumbe ni mafeelings tu kutoka Lumumba Quaters za nchi ya Magufulistan? 😎
Kwangu mimi Kenyatta ni bonge la kiongozi tena mzalendo kwa Wakenya na nchi yake
 
Nikajua ni uchanganuzi makinifu kuhusu ukuaji wa uchumi wa Kenya, miradi ya maendeleo, hali na mazingira ya kibiashara n.k. n.k. Kumbe ni mafeelings tu kutoka Lumumba Quaters za nchi ya Magufulistan? 😎
Magufuli anatambulika ulimwenguni kote, usimfananishe na huyo wa kwenu with bigger office but powerless

 
Magufuli anatambulika ulimwenguni kote, usimfananishe na huyo wa kwenu with bigger office but powerless


Na tunataka kudevolve more powers from the presidency nyinyi bakini hapo kusifia ujinga siku mtaamka dunia itakua ilisonga mbele sana.
 
na tunataka kudevolve more powers from the presidency nyinyi bakini hapo kusifia ujinga siku mtaamka dunia itakua ilisonga mbele sana
Pamoja na hayo yote na katiba mpya lakini ndio kwaaanza anazidi kuwa kibaka sababu mnakuwa robbed to the left, right, back, forth, up, down and center 360°

Haisaidii, kipigo kipo pale pale na hamna la kumfanya.
 
Nikajua ni uchanganuzi makinifu kuhusu ukuaji wa uchumi wa Kenya, miradi ya maendeleo, hali na mazingira ya kibiashara n.k. n.k. Kumbe ni mafeelings tu kutoka Lumumba Quaters za nchi ya Magufulistan? 😎
Lumumba quarters? Donchu hear and read mafeelings from kibera quaters.

Jifanye huyaoni, najua huko kwenu hata kama ameiba vp as long as ni fellow tribesmen, mnakuwaga kipofu.

Just a comment below you is from fellow Kenyan, is he Lumumba, endelezeni ujinga wenu.
 
na tunataka kudevolve more powers from the presidency nyinyi bakini hapo kusifia ujinga siku mtaamka dunia itakua ilisonga mbele sana
Sasa Kati ya Tz na Kunyaland, nani anasonga mbele.
 
Baada ya Rais Uhuru Kenyatta kuingia madarakani nilitegemea afuate nyayo za Mzee Jomo Kenyatta lakini kwasababu zifuatazo ameonyesha ni Dhaifu sana.

1. Kwa kuipeleka Kenya kwenye utawala wa udikteta.
2. Kuingiza Umoja waKenya kwenye matatizo baada ya kushindwa kuondoa tatizo la ugavi wa fedha kwenda kwenye kaunti.
3. Kuidharau Mahakama pamoja na Jaji Mkuu Maraga.
4. Kuwaweka waKenya kwenye maisha magumu wakati wa Cov19.
5. Kuiua chama cha Jubilee kilichomweka madarakani.
6. Kushindwa kusimamia watendaji wake ipasavyo mpaka kufikia Makamu wa Rais Ruto kudharauliwa na Waziri Matiangi na Katibu Mkuu wa Kibicho.
7. Kufanya muafaka na kiongozi wa upinzani Raila Odinga bila baraka ya viongozi waandamizi wa Jubilee akiwemo Makamu wake.
8. Kuipa wakati mgumu Jubilee katika uchaguzi wa 2022
9. Kuwa na matumizi mabaya ya kodi ya serikali ikiwemo fedha za matumizi ya Cov19.

Wakenya ni wakati wenu kukaa na kutafakari kupata kiongozi mpya 2022 kutoka kwenye kizazi kipya sio Raila, Ruto wala Gideon Moi.

Mimi nakubaliana na item number 5, amekuia chama kilichomuweka madarakani yaani JUBILEEE! Ameshirikiana na yule aliyeua chama cha KANU na sasa ODM ndo chama imara na kinazidi kujiimarisha. Pili akumbuke “AHADI NI DENI” ahadi yake na Dr Ruto akiivunja basi itakuwa ndiyo mwisho wa GEMA kushika madaraka Kenya!! Baba (Hon Odinga) aliweza kuwagiribu miaka yote the LUHYA NATION na AKAMBA kwa faida yake na naona 2022 hakuna cha Musyoka, Mudavadi ila ni Baba atajaribu tena kwa mara sijui ya tano au ya sita!
 
Ile ndoa ya Jubilee na ODM naona leo ndio imeonekana rasmi kwamba yule bazengaa njaa imemuisha baada ya handshake sasa analamba viatu vya uhuru, nimeona barua yao ikimkandamiza Hustler Ruto kinoma.

Badala ya kuwa the famous handshake ya Jubilee imekuwa a famous handbreak for Jubilee I mean disintegration of Jubilee while ODM inapeta!
 
Badala ya kuwa the famous handshake ya Jubilee imekuwa a famous handbreak for Jubilee I mean disintegration of Jubilee while ODM inapeta!!!

Ni kweli ODM inapeta kuliko Jubilee, ila tatzo Baba nae anaonekana ni sympathizer wa ufisadi. Hivyo hata akigombea hana impact. Siasa zake zimeshachokwa haaminiki tena. Ruto is the real deal..hesabu zake zitstimia tu atakuja na chama kingine.
 
Back
Top Bottom