Rais Uhuru Kenyatta kuhusu Corona: Unaweza kufufua uchumi lakini huwezi kufufua mtu aliyekufa

Rais Uhuru Kenyatta kuhusu Corona: Unaweza kufufua uchumi lakini huwezi kufufua mtu aliyekufa

Trust None

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2018
Posts
1,260
Reaction score
4,419
Katika hali inayoashiria kuwa ni 'dongo' kwa nchi zinazopuuzia kujilinda na Corona, Rais Kenyatta amesema kama taifa waliamua kunusuru uhai wa raia badala ya uchumi kwa sababu unaweza kufufua uchumi lakini huwezi kufufua mtu aliyekufa. Ndiyo sababu walichukua hatua hizo tangu mwanzo kupambana na COVID-19.

Tujilinde na ugonjwa wa corona.
 
In other Words life is Priceless....,
You can not put a Price Tag on One's Life....
 
Hahaaaa, ila we jamaa
sasa kama mgonjwa atatakiwa kuishi na mtungi wa oxygen maisha yake yote unategemea mini,jiwe safari hii hachomoki kwa combination ya magonjwa + roho mbaya aliyonayo
 
Tanzania tuliamua kufuata maamuzi yetu.we are sovereign state.na maamuzi yetu yakalipa watalii wakaja mamia Kwa maelfu.wakunya wakatuonea wivu.
 
Alikuwa anawahutubia wananchi wa Kenya, sio majirani. Wakenya huwa hatupendi uswahili mwingi na kurembeshewa maneno. Mgonjwa akiwa kwenye hali mbaya huwa tunasema yupo kwenye hali mahututi, sio yupo busy kazini.
Binadamu mtaniambia nn kaburini wote mtaingia! Binadamu anajifanya mjuaji sana, asante Mungu tunakufa maana kunawatu wangesumbua na kujigamba milele na milele, itabaki milima...
 
Mwambieni huyu mlevi atumie akili yake aache copy and paste quote za watu, Raisi wa Ghana kaumiza akili yake kuja nahiyo sera sasa hii kichwa maji inatembea nayo tu bila hata kumfanyia citation[emoji16]
 
Mwambieni huyu mlevi atumie akili yake aache copy and paste quote za watu, Raisi wa Ghana kaumiza akili yake kuja nahiyo sera sasa hii kichwa maji inatembea nayo tu bila hata kumfanyia citation[emoji16]
Kweli wewe ukona akili timamu? Hayo uliyoyaandika yana maana kweli?
 
So hawakufa Kenyatta pombe imemjaa hadi kwenye visigino
Kumbe hospitali za Kenya zina manufaa namna hii .... Sisemi mengi...Mtatutusi mtukejeli lakini Kenya itabaki kuwa super power East and Central Africa.
 
Shilingi ina pande mbili, kuna baadhi ya maamuzi ya Magufuli nakubaliana nayo haswa lile la kuwajali maskini na kuamua kutokufunga ili wauza madafu na mabuyu wasibaki ndani Tandale wanahangaika, hilo nampa hongera sana, huyo mzee kakulia kwenye umaskini anafahamu hali ya maisha ya chini, ila sema naye kapitiliza na kuanza kuonekana kama kituko.

Alipoanza kuponda mabarakoa huku akiwashangaa wanaozivaa, mara corona ipo kwa ajili ya kuwahujumu Watanzania, akaachia viwanja vya michezo watu wanakusanyika na kubanana na kupumuliana, yaani akahamasisha watu wasichukue tahadhari kila mtu akarejea maisha yake ya kawaida, hapo ndio alianguka mtihani.

Alipaswa akomalie umuhimu wa tahadhari, yeye mwenyewe akiwa mstari wa mbele, kila akipewa mic awe anaongea na kuhamaisha watu kuwa makini, na pia kuwaacha wataalam na wanasayansi waendelee kufanya yao kama vile kupima na mtu akiaga dunia kwa corona isemwe kweli ni corona sio huo ujuha wa changamoto za kupumua.

Kenyatta kawa mjanja sana kwenye hili, yeye amejua kweli hatutazingatia tahadhari ila kila akiongea huonyesha namna anavyokubali uwepo wa corona na kupambana nayo, na ameachia wataalam wapambane, hivyo hata tukipukutika hakuna anayemsema rais. Leo Tanzania kila anayeaga dunia hata kwa Malaria wananchi wanasema corona na lawama zote zinamshukia rais Magufuli.

Hii imechangia idadi kubwa ya Watz haswa wa kwenye mitandao kuonekana kufurahia hizi tetesi za mzee wao kulazwa, wengi wanaamini kama kweli kalazwa, akipona atalegeza misimamo na kuanza kuhamasisha tahadhari.
 
Shilingi ina pande mbili, kuna baadhi ya maamuzi ya Magufuli nakubaliana nayo haswa lile la kuwajali maskini na kuamua kutokufunga ili wauza madafu na mabuyu wasibaki ndani Tandale wanahangaika, hilo nampa hongera sana, huyo mzee kakulia kwenye umaskini anafahamu hali ya maisha ya chini, ila sema naye kapitiliza na kuanza kuonekana kama kituko.

Alipoanza kuponda mabarakoa huku akiwashangaa wanaozivaa, mara corona ipo kwa ajili ya kuwahujumu Watanzania, akaachia viwanja vya michezo watu wanakusanyika na kubanana na kupumuliana, yaani akahamasisha watu wasichukue tahadhari kila mtu akarejea maisha yake ya kawaida, hapo ndio alianguka mtihani.

Alipaswa akomalie umuhimu wa tahadhari, yeye mwenyewe akiwa mstari wa mbele, kila akipewa mic awe anaongea na kuhamaisha watu kuwa makini, na pia kuwaacha wataalam na wanasayansi waendelee kufanya yao kama vile kupima na mtu akiaga dunia kwa corona isemwe kweli ni corona sio huo ujuha wa changamoto za kupumua.

Kenyatta kawa mjanja sana kwenye hili, yeye amejua kweli hatutazingatia tahadhari ila kila akiongea huonyesha namna anavyokubali uwepo wa corona na kupambana nayo, na ameachia wataalam wapambane, hivyo hata tukipukutika hakuna anayemsema rais. Leo Tanzania kila anayeaga dunia hata kwa Malaria wananchi wanasema corona na lawama zote zinamshukia rais Magufuli.

Hii imechangia idadi kubwa ya Watz haswa wa kwenye mitandao kuonekana kufurahia hizi tetesi za mzee wao kulazwa, wengi wanaamini kama kweli kalazwa, akipona atalegeza misimamo na kuanza kuhamasisha tahadhari.
Umeandika kama mtu ambaye hajielewi hakuna mtanzania anayemlaumu magufuli maamuzi aliyochukua ni sahihi Kwa mazingira ya kitanzania lakini pia kila siku anasisitiza kuchukua tahadhari mbona.
 
Back
Top Bottom