Ndiye rais wa kwanza Afrika kutia saini ya mswada wa kupunguza riba huku akiwa anamiliki bank kutoka 24% mpaka 12%-14 %
Ndiye rais wa kwanza Africa ambaye sijawai kumsikia akiwakejeri wapinzani wake
Ndiye rais wa kwanza Africa ambaye sijawai kumsikia akiwakejeri majirani zake...
Ujenzi wa reli ya kihistoria kutoka Mombasa kwenda Western Kenya ....
Ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Mombasa litaenda mpaka south sudani...
Rais wa kwanza Africa aliyekubali kutengeneza tume huru akiwa madarakani bila kupepesa macho....
Rais pekee anayejichanganya na watu wa kila wawe masikini wawe matajiri
Kikubwa zaidi office ya rais nchini Kenya imetangazwa ndio ofisi pekee isiyokuwa na kiwango cha Rushwa iko chini ya 5% hasa Rushwa ya Ajira .
Ndiye pia rais pekee wa Africa ambaye safari za nje alizozifanya ndani ya mwaka huu pekee zitaongeza pato la taifa kwa 27% kwa mwaka mmoja yaani maana yake hakusafiri kwenda kushangaa au kubembea Bali ni kwa faida ya nchi yake !!
Na mengine mengi tu kiukweli nampenda sana kwa Sera zake akiwa ni msomi wa uchumi naona anaitendea haki hii taharuma yetu