Maneno Meier
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 2,467
- 1,697
Duuh! Jamaa anaonekana junky ili mbaya!Alwatan mtembeza bakuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh! Jamaa anaonekana junky ili mbaya!Alwatan mtembeza bakuli
Wooow! Kwa hiyo wakenya wanasubiri waamerika ndiyo waje wawatengenezee uchumi wao. Mmmh! Watasubiri sana. Amerika yenyewe inakufa kiuchumi sembuse kuwatengenezea wakenya uchumi wao?
Wajerumani wanamsemo wao, " Wer's glaubt wird seelig!" (Whoever believes will be saved)
Wakenya amkeni na tuungane ili tuwe kitu kimoja acheni uzungu wenu unao wagawa ni sisi wenyewe peke yetu ndiyo tunao weza leta maendeleo ya kweli kwa wananchi wetu. Na sio Mwamerika au Mwingereza wala mchina wanauwezo huo.
Ashachukua cheo tayari EAC kutoka kwa Mhs. Kagame!Uhuru must lead sadc and eac, he is capable