Pakistan NI lazima,usipochanjwa wanafunyia laini yako ya simuDunia nzima chanjo ni hiari, hayo mengine baki nayo mwenyewe. Wataokubali kuchanjwa wachanje, wasiokubali waheshimiwe pia
I SECOND YOU......Mfano tukiambiwa uzazi wa mpango ni lazima kila mwanaume wa miaka 40 kwenda juu afanyiwe "vasectomy" ili asiwe na mbegu zinazoweza kutunga mimba ili watu wasizaliane hovyo itakuwa sawa ?
Masuala ya afya siku zote ni hiari ! Ukileta mlango wa kulazimishana ndio unatengeneza udikteta Acha Gwajima na wafuasi wake tuparuane nao humu humu kwa hojaš¤£
Hatupambani na Gwajima kuipinga chanjo......SASA KWANINI TUNAPAMBANA NA NGWAJIMA WAKATI TUNAJUA KABISA CHANJO NI HIARI DUNIANI KOTE.........
Wa ajabu Sana wewe, yaani ulazimishe wananchi kuchanjwa halafu Serikali hiyo inasema haitahusika na madhara utakayopata.Wasalaam wana jamvi....
Mimi ni mmoja wa watu ambao kusema kweli nilitamani kabisa swala la chanjo liwe kwa lazima kwa kila mtanzania na hili lilipaswa kuwekwa wazi kabisa na Mh Rais pale alipotangaza ujio wa chanjo hiyo kwani ingesaidia sana kupambana na watu wanaopinga chanjo hiyo.....
Nakumbuka hivi karibuni Mh Mbowe aliweka wazi kabisa kuwa anataka serikali itoe chanjo kwa watanzania wote kwa lazima lakini alipata upinzani mkubwa kutoka kila upende na watu tukasahau kuwa kuna wamba watatumia huo mwanya wa chanjo ya hiari kuipinga chanjo na kuwatisha na kuwahamasisha wengine wasiende kupata chanjo kwani sio lazima...
Kwa hiyo mtu akishawishiwa kutokwenda na asipo kwenda hakuna kosa kwani ni hiari
Mtu akishawishiwa kwenda na akafanikiwa kwenda bado hakuna kosa lolote...
Madhara ya chanjo ya hiari ndiyo haya lazima watazuka watu kutoa maoni yao na watazuka watu kuwahamasisha watu kutochanjwa hivyo ni lazima tukubali kuwa watu wameamua kuutumia mwanya uliotengenezwa na mamlaka zenyewe hatupaswi kuwatisha bali nasisis tuwashawishi wengine wakachanjwe lazima kuna mmoja wetu atafanikiwa...
Kuwashambulia watu ambao tumewapa uhuru sisi wenyewe kwani ni sisi tuliosema kuwa chanjo ni hiari kwa hiyo kamwe hatupaswi kusema kuna watu wanapotosha bali tunatakiwa kutoa elimu juu ya chonjo na kuwashawishi watu wakachanjwe....
Ukweli ni kwamba watu walipaswa kupewa elimu kuhusu chanjo lakini kwakuwa serikali haikutoa elimu kuhusu chanjo basi tumetoa mwanya wa watu kufundishwa na watu ambao pengine tusingependa na hayo ndio madhara ya chanjo ya hiari.
Vp tusife ila zikatuzidisha ujinga?Nashauri na kupendekeza nchi hii wote tudungwe chanjo hata tukifa taifa litaanza upya. Labda watakuja wenye akili
Mnataka kumdanganya Rais ninyi ili mmpoteze kabisa.Wasalaam wana jamvi.
Mimi ni mmoja wa watu ambao kusema kweli nilitamani kabisa swala la chanjo liwe kwa lazima kwa kila mtanzania na hili lilipaswa kuwekwa wazi kabisa na Mh Rais pale alipotangaza ujio wa chanjo hiyo kwani ingesaidia sana kupambana na watu wanaopinga chanjo hiyo.
Nakumbuka hivi karibuni Mh Mbowe aliweka wazi kabisa kuwa anataka serikali itoe chanjo kwa watanzania wote kwa lazima lakini alipata upinzani mkubwa kutoka kila upende na watu tukasahau kuwa kuna wamba watatumia huo mwanya wa chanjo ya hiari kuipinga chanjo na kuwatisha na kuwahamasisha wengine wasiende kupata chanjo kwani sio lazima. Kwa hiyo mtu akishawishiwa kutokwenda na asipo kwenda hakuna kosa kwani ni hiari Mtu akishawishiwa kwenda na akafanikiwa kwenda bado hakuna kosa lolote...
Madhara ya chanjo ya hiari ndiyo haya lazima watazuka watu kutoa maoni yao na watazuka watu kuwahamasisha watu kutochanjwa hivyo ni lazima tukubali kuwa watu wameamua kuutumia mwanya uliotengenezwa na mamlaka zenyewe hatupaswi kuwatisha bali nasisis tuwashawishi wengine wakachanjwe lazima kuna mmoja wetu atafanikiwa.
Kuwashambulia watu ambao tumewapa uhuru sisi wenyewe kwani ni sisi tuliosema kuwa chanjo ni hiari kwa hiyo kamwe hatupaswi kusema kuna watu wanapotosha bali tunatakiwa kutoa elimu juu ya chonjo na kuwashawishi watu wakachanjwe.
Ukweli ni kwamba watu walipaswa kupewa elimu kuhusu chanjo lakini kwakuwa serikali haikutoa elimu kuhusu chanjo basi tumetoa mwanya wa watu kufundishwa na watu ambao pengine tusingependa na hayo ndio madhara ya chanjo ya hiari.
Unazungumzia wagonjwa au ndugu wa wagonjwa?Itakua lazima tu hivi karibuni pale utakapo ambiwa huwezi ingia hospitali bila kadi inayo onesha ume chanjwa
Huko nako wana form za kujaza kabla ya kudungwa chanjo?Pakistan NI lazima,usipochanjwa wanafunyia laini yako ya simu
Jiue mwenyewe kama nchi imekushindaNashauri na kupendekeza nchi hii wote tudungwe chanjo hata tukifa taifa litaanza upya. Labda watakuja wenye akili
Ukichanjwa on your own risk. In case of any negative results.Wasalaam wana jamvi.
Mimi ni mmoja wa watu ambao kusema kweli nilitamani kabisa swala la chanjo liwe kwa lazima kwa kila mtanzania na hili lilipaswa kuwekwa wazi kabisa na Mh Rais pale alipotangaza ujio wa chanjo hiyo kwani ingesaidia sana kupambana na watu wanaopinga chanjo hiyo.
Nakumbuka hivi karibuni Mh Mbowe aliweka wazi kabisa kuwa anataka serikali itoe chanjo kwa watanzania wote kwa lazima lakini alipata upinzani mkubwa kutoka kila upende na watu tukasahau kuwa kuna wamba watatumia huo mwanya wa chanjo ya hiari kuipinga chanjo na kuwatisha na kuwahamasisha wengine wasiende kupata chanjo kwani sio lazima. Kwa hiyo mtu akishawishiwa kutokwenda na asipo kwenda hakuna kosa kwani ni hiari Mtu akishawishiwa kwenda na akafanikiwa kwenda bado hakuna kosa lolote...
Madhara ya chanjo ya hiari ndiyo haya lazima watazuka watu kutoa maoni yao na watazuka watu kuwahamasisha watu kutochanjwa hivyo ni lazima tukubali kuwa watu wameamua kuutumia mwanya uliotengenezwa na mamlaka zenyewe hatupaswi kuwatisha bali nasisis tuwashawishi wengine wakachanjwe lazima kuna mmoja wetu atafanikiwa.
Kuwashambulia watu ambao tumewapa uhuru sisi wenyewe kwani ni sisi tuliosema kuwa chanjo ni hiari kwa hiyo kamwe hatupaswi kusema kuna watu wanapotosha bali tunatakiwa kutoa elimu juu ya chonjo na kuwashawishi watu wakachanjwe.
Ukweli ni kwamba watu walipaswa kupewa elimu kuhusu chanjo lakini kwakuwa serikali haikutoa elimu kuhusu chanjo basi tumetoa mwanya wa watu kufundishwa na watu ambao pengine tusingependa na hayo ndio madhara ya chanjo ya hiari.
Yaani nyie wafuasi wa Mbowe kila kitu akisema Mbowe mnataka watu wote wafuate daaah mlivyoshikiwa akili na mbowe mnadhani wote wapo hivyo chanjo ni hiari dunia nzima.Wasalaam wana jamvi.
Mimi ni mmoja wa watu ambao kusema kweli nilitamani kabisa swala la chanjo liwe kwa lazima kwa kila mtanzania na hili lilipaswa kuwekwa wazi kabisa na Mh Rais pale alipotangaza ujio wa chanjo hiyo kwani ingesaidia sana kupambana na watu wanaopinga chanjo hiyo.
Nakumbuka hivi karibuni Mh Mbowe aliweka wazi kabisa kuwa anataka serikali itoe chanjo kwa watanzania wote kwa lazima lakini alipata upinzani mkubwa kutoka kila upende na watu tukasahau kuwa kuna wamba watatumia huo mwanya wa chanjo ya hiari kuipinga chanjo na kuwatisha na kuwahamasisha wengine wasiende kupata chanjo kwani sio lazima. Kwa hiyo mtu akishawishiwa kutokwenda na asipo kwenda hakuna kosa kwani ni hiari Mtu akishawishiwa kwenda na akafanikiwa kwenda bado hakuna kosa lolote...
Madhara ya chanjo ya hiari ndiyo haya lazima watazuka watu kutoa maoni yao na watazuka watu kuwahamasisha watu kutochanjwa hivyo ni lazima tukubali kuwa watu wameamua kuutumia mwanya uliotengenezwa na mamlaka zenyewe hatupaswi kuwatisha bali nasisis tuwashawishi wengine wakachanjwe lazima kuna mmoja wetu atafanikiwa.
Kuwashambulia watu ambao tumewapa uhuru sisi wenyewe kwani ni sisi tuliosema kuwa chanjo ni hiari kwa hiyo kamwe hatupaswi kusema kuna watu wanapotosha bali tunatakiwa kutoa elimu juu ya chonjo na kuwashawishi watu wakachanjwe.
Ukweli ni kwamba watu walipaswa kupewa elimu kuhusu chanjo lakini kwakuwa serikali haikutoa elimu kuhusu chanjo basi tumetoa mwanya wa watu kufundishwa na watu ambao pengine tusingependa na hayo ndio madhara ya chanjo ya hiari.
Madhara ya chanjo ni nani atayabeba? Umelifikiria hilo?Wasalaam wana jamvi.
Mimi ni mmoja wa watu ambao kusema kweli nilitamani kabisa swala la chanjo liwe kwa lazima kwa kila mtanzania na hili lilipaswa kuwekwa wazi kabisa na Mh Rais pale alipotangaza ujio wa chanjo hiyo kwani ingesaidia sana kupambana na watu wanaopinga chanjo hiyo.
Nakumbuka hivi karibuni Mh Mbowe aliweka wazi kabisa kuwa anataka serikali itoe chanjo kwa watanzania wote kwa lazima lakini alipata upinzani mkubwa kutoka kila upende na watu tukasahau kuwa kuna wamba watatumia huo mwanya wa chanjo ya hiari kuipinga chanjo na kuwatisha na kuwahamasisha wengine wasiende kupata chanjo kwani sio lazima. Kwa hiyo mtu akishawishiwa kutokwenda na asipo kwenda hakuna kosa kwani ni hiari Mtu akishawishiwa kwenda na akafanikiwa kwenda bado hakuna kosa lolote...
Madhara ya chanjo ya hiari ndiyo haya lazima watazuka watu kutoa maoni yao na watazuka watu kuwahamasisha watu kutochanjwa hivyo ni lazima tukubali kuwa watu wameamua kuutumia mwanya uliotengenezwa na mamlaka zenyewe hatupaswi kuwatisha bali nasisis tuwashawishi wengine wakachanjwe lazima kuna mmoja wetu atafanikiwa.
Kuwashambulia watu ambao tumewapa uhuru sisi wenyewe kwani ni sisi tuliosema kuwa chanjo ni hiari kwa hiyo kamwe hatupaswi kusema kuna watu wanapotosha bali tunatakiwa kutoa elimu juu ya chonjo na kuwashawishi watu wakachanjwe.
Ukweli ni kwamba watu walipaswa kupewa elimu kuhusu chanjo lakini kwakuwa serikali haikutoa elimu kuhusu chanjo basi tumetoa mwanya wa watu kufundishwa na watu ambao pengine tusingependa na hayo ndio madhara ya chanjo ya hiari.
We nenda kachanje na familia yako,jilani yako asipoenda usiumie kausha mkuu.kila mmoja atapata majibu na maamuzi yake.Wasalaam wana jamvi.
Mimi ni mmoja wa watu ambao kusema kweli nilitamani kabisa swala la chanjo liwe kwa lazima kwa kila mtanzania na hili lilipaswa kuwekwa wazi kabisa na Mh Rais pale alipotangaza ujio wa chanjo hiyo kwani ingesaidia sana kupambana na watu wanaopinga chanjo hiyo.
Nakumbuka hivi karibuni Mh Mbowe aliweka wazi kabisa kuwa anataka serikali itoe chanjo kwa watanzania wote kwa lazima lakini alipata upinzani mkubwa kutoka kila upende na watu tukasahau kuwa kuna wamba watatumia huo mwanya wa chanjo ya hiari kuipinga chanjo na kuwatisha na kuwahamasisha wengine wasiende kupata chanjo kwani sio lazima. Kwa hiyo mtu akishawishiwa kutokwenda na asipo kwenda hakuna kosa kwani ni hiari Mtu akishawishiwa kwenda na akafanikiwa kwenda bado hakuna kosa lolote...
Madhara ya chanjo ya hiari ndiyo haya lazima watazuka watu kutoa maoni yao na watazuka watu kuwahamasisha watu kutochanjwa hivyo ni lazima tukubali kuwa watu wameamua kuutumia mwanya uliotengenezwa na mamlaka zenyewe hatupaswi kuwatisha bali nasisis tuwashawishi wengine wakachanjwe lazima kuna mmoja wetu atafanikiwa.
Kuwashambulia watu ambao tumewapa uhuru sisi wenyewe kwani ni sisi tuliosema kuwa chanjo ni hiari kwa hiyo kamwe hatupaswi kusema kuna watu wanapotosha bali tunatakiwa kutoa elimu juu ya chonjo na kuwashawishi watu wakachanjwe.
Ukweli ni kwamba watu walipaswa kupewa elimu kuhusu chanjo lakini kwakuwa serikali haikutoa elimu kuhusu chanjo basi tumetoa mwanya wa watu kufundishwa na watu ambao pengine tusingependa na hayo ndio madhara ya chanjo ya hiari.