Rais Vladmir Putin asaini kuichukua rasmi mikoa minne ya Ukraine kuwa sehemu ya Urusi

endelea kuota
 
kuna uwezekano urusi wakimaliza na hili ndo mpango unaofuata
Mrusi kukubali kuchukua mfungwa mmoja wa ukraine tena mpinzani mkubwa wa Zelensky halafu kuwarudishia ukraine wafungwa 200 jamaa wanajua wanachofanya, Putin anaweza akapiga mpaka Kiev na akamuweka huyo jamaa kama rais wa pale
 
Tena vita mbaya mno,mana oparesheni imeisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…