mwanzamwanzo
Senior Member
- Mar 8, 2023
- 103
- 143
Kaenda kwa mwenye vita yake,,Rais wa Ukraine Volodomir Zelensky amekwenda Italy ambapo atakutana na waziri mkuu wa Italia kwa mazungumzo na hatimaye kuitimisha ziara yake kwa kuonana na Papa Francis jijini Vatican ambapo anatarajiwa kuomba ushawishi wa papa kwa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya vita nchini Ukraine.
View attachment 2620630
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app