Rais wa Armenia apata Bahati ya kipekee kuonana na Dkt Tulia Rais wa IPU

aiseh kuna vitu vinafurahisha sana humu jf

kuonana na tulia ni bahati ya kipekee kweli 😀
 
aiseh kuna vitu vinafurahisha sana humu jf

kuonana na tulia ni bahati ya kipekee kweli 😀
Nakukumbusha kuwa Dkt Tulia ni Rais wa IPU.ndio maana unaona aliweza kuonana na kufanya mazungumzo mazito mezani na Rais wa Urussi.
 
SPIKA WA BUNGE LA SERIKALI.Hv hakuna namna ya kufikisha lalamiko la utekaji na mauaji bunge la dunia ili huyo mtetea utekaji apigwe chini ipu
 
MWENZAKO ANAMCHEKA WE UNASEMA AMEFURAHIA??

#Rango
 
Naandika nafuta naandika nafuta…… dah haya bwana.
 
Viwango vyako ni vya kipekee sn🤣🤣🤣duh! Hebu rudia kuangalia picha hapo utajua nani alipata bahati ya kipekee sana kukutana na mwenzake,TUPUMZISHE HATA WEEK WE CHAWA😇😇😇🙌
 


Umeandika Title yako Kishamba sana.

Utakayemwoa sijui utakuwa unamkulaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…