Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #21
Mimi ni msema kweli na siyo chawaChawa pro max in the mix 🤣🤣🤣
Nakukumbusha kuwa Dkt Tulia ni Rais wa IPU.ndio maana unaona aliweza kuonana na kufanya mazungumzo mazito mezani na Rais wa Urussi.aiseh kuna vitu vinafurahisha sana humu jf
kuonana na tulia ni bahati ya kipekee kweli 😀
Unauhakika hujabubujikwa 🤣🤣Mimi ni msema kweli na siyo chawa
Luca unajidai Yesu sasa hadi kusamehe watu madhambi yao!🤣🤣🤣Nimekusamehe bure kabisa.Amani ya Bwana iwe pamoja nawe
Lililofungwa Duniani litakuwa limefungwa na Mbinguni.na litakalo funguliwa Duniani litakuwa limefunguliwa na Mbinguni.Luca unajidai Yesu sasa hadi kusamehe watu madhambi yao!🤣🤣🤣