Rais wa Botswana, Mokgweetsi Masisi kufanya ziara nchini Tanzania kesho June 10, 2021


..sijui kwanini mnajidanganya kwamba atcl ni mradi unaoleta faida na kuongeza mapato ya serikali.

..atcl ni KUPE anayenyonya mapato ya serikali kutokana na kupokea ruzuku inayotokana na kodi zetu, na kuendeshwa kwa hasara mwaka hadi mwaka.

..serikali inatembeza bakuli kwasababu ya kufanya matumizi makubwa ktk miradi isiyo na tija kama ununuzi wa midege toka kwa mabeberu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…