Rais wa Brazil, Jair Bolsonaro atangaza kupata Corona

Rais wa Brazil, Jair Bolsonaro atangaza kupata Corona

Tulipuuza vipi sasa? Umesikia huku kwamba hospital zimezidiwa na wagonjwa? Au umesikia kuna vifo vya covid huku?

Tulifuata taratibu na ndio maana maisha yanaendelea bila shida huku. Tupo na tahadhari zetu kawaida. Sasa sijui huko kwenu ndio hamfuati hizo taratibu maana nchi imesimama na hospitals zimejaa wagonjwa.

Nyie mlijichokea, hamna cha taratibu, sema pona yenu ni kwamba hiki kirusi hakiui wtu wengi Afrika, maana hata sisi ambao hatukujichokea na tunaaendelea kupima bila kuficha data hatujafa sana, mpaka sasa tuna vifo 160 miezi yote hiyo.
 
Huu ugonjwa kweli upo na unaua ila ninachojiuliza ni kwa nini umefanywa ni kitu kigumu sana kiasi watu wametoa ufahamu wao kiasi hiki?

Hii corona mpaka sasa dunia nzima haijaua watu wafikao laki nane kama jirani zetu hapo Rwanda walivyouana mwaka 1994 kwa siku 90_100 watu laki nane.

Corona hii inamiezi takribani saba ila haijafikia Rwanda idadi ya vifo vilivyotokana na machafuko yale na je hapa kuna kitu kinafichwa?
 
Huu ugonjwa kweli upo na unaua ila ninachojiuliza ni kwa nini umefanywa ni kitu kigumu sana kiasi watu wametoa ufahamu wao kiasi hiki?

Hii corona mpaka sasa dunia nzima haijaua watu wafikao laki nane kama jirani zetu hapo Rwanda walivyouana mwaka 1994 kwa siku 90_100 watu laki nane.

Corona hii inamiezi takribani saba ila haijafikia Rwanda idadi ya vifo vilivyotokana na machafuko yale na je hapa kuna kitu kinafichwa?

Mnajitoa ufahamu kwa kulinganisha corona na malaria, cancer, mauaji ya kimbari ya Rwanda na mambo mengine mengi, inapaswa ifahamike kwamba

- Hiki kirusi kimeibua taharuki maana ni kipya na hakuna utaalam wowote mpaka sasa ambao umefaulu kukikabili
- Kinawalaza hata matajiri na mapesa yao, hakuna mwenye jeuri dhidi ya corona kwa sasa
- Kinasambaa kwa kasi, imebainika juzi kwamba kinaambukiza hata kwa hewa
- Hakina formula ya nani kinaua na kusaza yupi, kuna taarifa za vijana kufa na wazee kupona, hivyo kikikukuta, hauna uhakika kama wewe ni mmojawapo wa wale watakaopona au kujifia.

Hiyo pointi ya mwisho ndio balaa zaidi ya zote, kwamba kila mmoja angekua na uhakika wa kupona akiumwa corona, wala usingeona taharuki au wasiwasi, maana ukinasa kwenye 18 zake, unatulia ndani ukiwa na uhakika wa kupona kisha baada ya wiki mbili unarudi kwenye mishe zako.

Niliwahi kuumwa Dengue kipindi nikiwa Dar, yaani madaktari waliniambia Dengue haina dawa, nikae ndani na kunywa maji mengi tu siku ziende yenyewe itaniaga.

Hamna kipindi niliwahi kupitia kigumu kama hicho, wiki mbili za Dengue, nilikua nahisi hovyoo kupita maelezo, kila dakika nilikua naona kama ndio mwisho, kifo kinanikondolea macho na hakuna dawa wala nini, mapesa hayanisaidii yaani mwili wenyewe upambane tu. Yaani sitaki hizo habaari kabisa tena nikisikia neno Dengue nywele hunisimama.
 
corona ni ugonjwa kama malaria tatizo wajinga ndo wanaupa kiki mpaka umekua maarufu kuliko magonjwa hatari kama malaria na nk...
Corona sio malaria! Ugonjwa ambao unabana mapafu na kusababisha kushindwa kupumua sio wa kuchukulia poa kabisa
 
Nyie mlijichokea, hamna cha taratibu, sema pona yenu ni kwamba hiki kirusi hakiui wtu wengi Afrika, maana hata sisi ambao hatukujichokea na tunaaendelea kupima bila kuficha data hatujafa sana, mpaka sasa tuna vifo 160 miezi yote hiyo.

Hahaha mbona hueleweki budaa! kwa hiyo kupambana na kirusi kisayansi ni kupima pima? kama unaona sisi hatujafanya kitu bhas na nyie fungueni mashule na nyumba za ibada..achieni watu waishi maisha kama zamani.
 
Hahaha mbona hueleweki budaa! kwa hiyo kupambana na kirusi kisayansi ni kupima pima? kama unaona sisi hatujafanya kitu bhas na nyie fungueni mashule na nyumba za ibada..achieni watu waishi maisha kama zamani.

Ndio, mbinu za kisayansi, pima pima pima kila mmoja, ili ukibaini unacho uchukue tahadhari za kujipiga lockdown na kuwalinda wengine, ikumbukwe kunao wanasambaza bila wao kujua wanacho, na ingekua nafuu kama tungejua kwamba ukiumwa corona una uhakika wa kuishi na kwamba kitatoka chenyewe, ila huo uhakika haupo, kunao wanakufa na hatujapata pattern au formula gani kinatumia kuwaua, unakuta mtu mwenye umri mdogo tu, tena ana mapesa na anapata huduma bora za kiafya lakini kinapita naye tunamzika, ila unakupta mzee maskini ghetto anaumwa corona na kudunda mtaani baada ya wiki mbili.
Kuna watu dhaifu kiafya kwa mfano wanaoumwa presha, kisukari na mengineyo, hawa wanapaswa kulindwa, ukigundua unacho, jiepushe kuwaambukiza, jitie ndani na malimau. Lakini mkijichokea nyote na kuacha kupima, mnakua kama wanaume ambao hulazimisha ngono bila condom kwa machangudoa na kujiaminisha kwamba UKIMWI haupo.
 
Ndio, mbinu za kisayansi, pima pima pima kila mmoja, ili ukibaini unacho uchukue tahadhari za kujipiga lockdown na kuwalinda wengine, ikumbukwe kunao wanasambaza bila wao kujua wanacho, na ingekua nafuu kama tungejua kwamba ukiumwa corona una uhakika wa kuishi na kwamba kitatoka chenyewe, ila huo uhakika haupo, kunao wanakufa na hatujapata pattern au formula gani kinatumia kuwaua, unakuta mtu mwenye umri mdogo tu, tena ana mapesa na anapata huduma bora za kiafya lakini kinapita naye tunamzika, ila unakupta mzee maskini ghetto anaumwa corona na kudunda mtaani baada ya wiki mbili.
Kuna watu dhaifu kiafya kwa mfano wanaoumwa presha, kisukari na mengineyo, hawa wanapaswa kulindwa, ukigundua unacho, jiepushe kuwaambukiza, jitie ndani na malimau. Lakini mkijichokea nyote na kuacha kupima, mnakua kama wanaume ambao hulazimisha ngono bila condom kwa machangudoa na kujiaminisha kwamba UKIMWI haupo.

Hiyo kupima pima na lockdown mpaka sasa imewasaidia vipi kumalizana na corona?

Umeshasikia huku Bongo kwamba hospital zimejaa wagonjwa?
 
Hiyo kupima pima na lockdown mpaka sasa imewasaidia vipi kumalizana na corona?

Umeshasikia huku Bongo kwamba hospital zimejaa wagonjwa?

Hauwezi ukamaliza shida za corona, iwe kwa sisi tunaopima au kwa nyie mliojichokea, corona itamalizwa pale beberu atagundua chanjo, ila kwa sasa ni kutumia ushauri wa kisayansi wa kuchukua tahadhari, kupima ili kuwalinda walio dhaifu kiafya.
 
Hauwezi ukamaliza shida za corona, iwe kwa sisi tunaopima au kwa nyie mliojichokea, corona itamalizwa pale beberu atagundua chanjo, ila kwa sasa ni kutumia ushauri wa kisayansi wa kuchukua tahadhari, kupima ili kuwalinda walio dhaifu kiafya.

Unajichanganya, kupima na kuchukua tahadhari ni vitu viwili tofauti.

Kupima ni kupoteza muda na resopurces tu, unapima ili nini? ukishajua mtu mgonjwa then what? Best option ni kuchukua tahadhari thats all.
 
Crimea,
Mimi nachukua hatua,sanitizer,navaa mask,sijichanganyi kwenye misongamano. Magu soon atakuwa covid 19 positive. Inawezekana uchaguzi 2020 ukasogezwa mwezi. Maana yajayo yanasikitisha.....
 
Mimi nachukua hatua,sanitizer,navaa mask,sijichanganyi kwenye misongamano. Magu soon atakuwa covid 19 positive. Inawezekana uchaguzi 2020 ukasogezwa mwezi. Maana yajayo yanasikitisha.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Naona unaota

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Unajichanganya, kupima na kuchukua tahadhari ni vitu viwili tofauti.

Kupima ni kupoteza muda na resopurces tu, unapima ili nini? ukishajua mtu mgonjwa then what? Best option ni kuchukua tahadhari thats all.

Sawa kama itakusaidia kuelewa ninachokisema, kupima ni tofauti na tahadhari ila ndio ya msingi zaidi ya zote maana ni vigumu kuchukua tahadhari 100%, kwa namna moja au nyingine utateleza sehemu, lakini ukiwa unapima mara kwa mara na kujihakikishia uko salama hauambukizi watu, basi maisha yataenda.
 
Kwani yeye ni nani asiugue corona?

Wengine tumeshaugua na tumepona na tunaendelea kuishi tu!

Who is Bolsonaro katika ramani ya dunia? Ni mungu-mtu ama?

Tunajua haya ni maigizo tu!
 
Sawa kama itakusaidia kuelewa ninachokisema, kupima ni tofauti na tahadhari ila ndio ya msingi zaidi ya zote maana ni vigumu kuchukua tahadhari 100%, kwa namna moja au nyingine utateleza sehemu, lakini ukiwa unapima mara kwa mara na kujihakikishia uko salama hauambukizi watu, basi maisha yataenda.

Kwamba ukiwa unapima ndio hauta ambukiza watu? Dude, what happens to you! uko sawa kweli?

Unapima ugonjwa ambao hauwezi kuutibu wala kuupatia dawa yoyote! for what? Focus kwenye distancing ,wsashing hands na face masks, hiyo kupima won`t save you in anything.
 
Back
Top Bottom