hagau
JF-Expert Member
- Dec 17, 2023
- 696
- 2,501
Poor comment, waogopa maamuzi. Kuna nchi za jangwani kama misri na israel zinaongoza kuzalisha baadhi ya mazao duniani. Mfano nchi yenye kuzalisha vitunguu vingi Africa ni Egypt (Misri), pamoja na kwamba ipo jangwani. Tuheshimu, tijifunze kwa watu wanaochukua hatua kwa lolote kuliko kukaa na kuishia kusaliamina na mdori Eunice ndo tunaona jambo la maanaUkikopa kumbuka kulipa, ngoja atafute sifa. Atashangaa na mvua hazinyeeshi baada ya kukopa matreka. Muda wa kulipa ukifika tunaanza kulia lia ohoo mtusamamehe, unajua sisi ni taifa changa.