Rais wa Burkina Faso akopa Tractors 400 ili nchi yake iwe na Maendeleo Mazuri

Ukikopa kumbuka kulipa, ngoja atafute sifa. Atashangaa na mvua hazinyeeshi baada ya kukopa matreka. Muda wa kulipa ukifika tunaanza kulia lia ohoo mtusamamehe, unajua sisi ni taifa changa.
Poor comment, waogopa maamuzi. Kuna nchi za jangwani kama misri na israel zinaongoza kuzalisha baadhi ya mazao duniani. Mfano nchi yenye kuzalisha vitunguu vingi Africa ni Egypt (Misri), pamoja na kwamba ipo jangwani. Tuheshimu, tijifunze kwa watu wanaochukua hatua kwa lolote kuliko kukaa na kuishia kusaliamina na mdori Eunice ndo tunaona jambo la maana
 
Kufeli ama kufaulu sio kesi, ishu ni ile dhamira yako, bora huyu kakopa kwa lengo zuri.
Sio nchi ile ya DANGANYIKA, viongozi wanachukua MIKOPO ya chooni. Wanakopa wanatia kinywanj kisha SIRIKALI itawafichia siri na aibu zao na itawalipia.
 
Hivi mnaona trekta 400i ni kitu kidogo?

Sisi hapa Serikali yetu imeweza lini kufanya jambo kama ili?
 
Burkina Faso iko kwenye Jangwa la Sahara huyu Mwanajeshi anaenda kukopa Matrekta.

Africa sijui imalaaniwa na nani?!
 
hahahaha kati ya tractor V8 Boeing kipi kinasaidia jamii kwa haraka
Umesahau Kilimo kwanza nasi tulikuwa na power tila za kutosha? Hata sijui zilenda wapi Mungu wangu nchi hii.
Anyway "unakula kwa urefu wa kamba yako" hakunaga serikali inayozalisha kwa wananchi wake, ni kinyume chake.
 
MI JITU MEUSI/MI AFRICA ndivyo ilivyo
 
Huyu kijana anauongozi wa mihemuko sana kawaida kwa viongozi wa bala hili la giza
Una wivu sana jamaa ni kwa sababu tu serikali yako hata kuthubutu jambo moja la maana imeshindwa na inaogopa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…