Rais wa COED UDOM ameachaguliwa kuwa rahisi wa vyuo vikuu vyote Tanzania

issawema

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2013
Posts
776
Reaction score
643
Big up sana kijana wetu John umeituwakilisha vizur UDOM, kesho mapokezi yatafanyika viwanja vya COED, karibun nyote wana UDOM na wengine kumpokea rais wetu
 
Big up sana kijana wetu john umeituwakilisha vzur udom, kesho mapokez yatafanyika viwanja vya coed karibun nyote wana udom na wengine kumpokea rahia wetu

1) Unamaanisha TAHLISO?
2) Ni Gamba au Kamanda?
 
Big up sana kijana wetu john umeituwakilisha vzur udom, kesho mapokez yatafanyika viwanja vya coed karibun nyote wana udom na wengine kumpokea rahia wetu
upo mwaka wa ngapi mwamdogo?
 
Apo UDOM namkubali sana Philip Mwakibinga waziri mkuu wa collage of social science & humanities, yule jamaa ni jembe sana, ilibidi awe amegraduate toka mwaka juzi, harakati za kutetea wanyonge zimemfanya agraduate mwakani
 
John yule bishoo mwenye afro nyingi?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Apo UDOM namkubali sana Philip Mwakibinga waziri mkuu wa collage of social science & humanities, yule jamaa ni jembe sana, ilibidi awe amegraduate toka mwaka juzi, harakati za kutetea wanyonge zimemfanya agraduate mwakani

Yupo mwingine anaitwa Lema(alikuwa rais wa natr science & maths) katika kipindi mwakibinga akiwa rais wa social. Huyo naye alifukuzwa ila ata graduate mwakani.
 
Apo UDOM namkubali sana Philip Mwakibinga waziri mkuu wa collage of social science & humanities, yule jamaa ni jembe sana, ilibidi awe amegraduate toka mwaka juzi, harakati za kutetea wanyonge zimemfanya agraduate mwakani

Yupo mwingine anaitwa Lema(alikuwa rais wa natr science & maths) katika kipindi mwakibinga akiwa rais wa social. Huyo naye alifukuzwa ila ata graduate mwakani.

Kiufupi marahis weng wa CNMS wapo vzur ila cjui huyu wa sahv
 
Mhh hongera zake bwana RAHISI

Udom katika ubora wake
 
Bro Barnabas umenikumbusha mbali nakumbuka kama sikosei ni 2011 uyo jamaa Tumsifu Lema alikuwa anajiamini sana na alikuwa anajenga sana hoja wakiwa na pacha wake Mwakibinga, alafu kunajamaa alikuwa COED anaitwa Kobelo au Kobeho kama sikosei, ile ndo UDOM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…