lukubuzo Samsis
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 2,920
- 3,388
Nicholas,
Ndugu yangu Umezungumza maneno mazito sana!..na kila kitu umekichambua kiutaalam na pia umeweza kuzama ndani ya mioyo ya watu wote - Waathirika na hao warithi wanaofaidika. Swala kubwa tu ambalo ningekuomba labda utufunulie ama kutupatia ufumbuzihapa...
Tuanzie wapi... wapi panatakiwa kweli serikali yetu iwekee mkazo zaidi kwa sababu mimi binafsi kinachonishinda kuelewa na hata kupata ufumbuzi ni kwamba haohao viongozi wetu - wanasiasa ndi haohao wasomi wetu wa uchumi na watoa maamuzi ya sehemu zote mbili. Siamini kabisa kwamba tuachie dunia iwe fundisho la utandawazi na dira ya maendeleo yetu. Lazima ipo njia ya kutupa hata mwanga wapi wananchi wanatakiwa waelekee! hata kwa jina kama waislaam wanavyoamini KIBLA ni MECCA.. kokote uliko maelekeo yako yatalenga malengo ya hilo neno Kibla.
Mwisho kuna kipengele umezungumzia kuwa wananchi bado hawapo tayari kuhimili mabadaliko ya kuleta usawa na haki. Ebu nipe dawa kidogo hapo maanake nimekwama.
kwel udom chuo cha kata,kinabeba mpk vilaza et rahisi,rahia
kwel uko chuo kikuu
unategemea kwa hali hii uwe competent km sisi wa chuo cha taifa udsm
shame on you!!!
Big up sana kijana wetu john umeituwakilisha vzur udom, kesho mapokez yatafanyika viwanja vya coed karibun nyote wana udom na wengine kumpokea rahia wetu
upo mwaka wa ngapi mwamdogo?
Wa pili mkuu
Apo UDOM namkubali sana Philip Mwakibinga waziri mkuu wa collage of social science & humanities, yule jamaa ni jembe sana, ilibidi awe amegraduate toka mwaka juzi, harakati za kutetea wanyonge zimemfanya agraduate mwakani
Duh! Rahia. Kweli wewe mwana UDOM...
kwel udom chuo cha kata,kinabeba mpk vilaza et rahisi,rahia
kwel uko chuo kikuu
unategemea kwa hali hii uwe competent km sisi wa chuo cha taifa udsm
shame on you!!!
Bro Barnabas umenikumbusha mbali nakumbuka kama sikosei ni 2011 uyo jamaa Tumsifu Lema alikuwa anajiamini sana na alikuwa anajenga sana hoja wakiwa na pacha wake Mwakibinga, alafu kunajamaa alikuwa COED anaitwa Kobelo au Kobeho kama sikosei, ile ndo UDOM
udom hamuna kiongozi hapa labda mwakibinga huku social and humanities maji hayatoki wiki viongozi kimya , umeme wanakata kila asubuhi viongozi kimya, tunasoma bila spika no projector was kimya wao ni kubandika matangazo ya ujinga utasikia disco cafe ya Alfa kiingilio 2000 du udom hakuna kiongozi jembe hata kidogo maji na spika tatizo sugu chuo kikubwa km hiki[/Q
udom hakuna kiongozi labda mwakibinga...je mwakibinga si kiongozi?? logic imekaa vibaya then statement yako inagree to disagree
wakati sisi wanavyuo vikuu vingine tukifikiria changamoto ya ajira EAC baadhi ya wapuuzi wa udsm wanabaki na ushabiki wa kipuuzi nahisi udsm ndo wapuuzi zaidikwel udom chuo cha kata,kinabeba mpk vilaza et rahisi,rahia
kwel uko chuo kikuu
unategemea kwa hali hii uwe competent km sisi wa chuo cha taifa udsm
shame on you!!!
wakati sisi wanavyuo vikuu vingine tukifikiria changamoto ya ajira EAC baadhi ya wapuuzi wa udsm wanabaki na ushabiki wa kipuuzi nahisi udsm ndo wapuuzi zaidi