Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio aiondoe M23,pia wawe na mkakati wakumuondoa huyo kimbaumbau,bila kumkill huyo kimbambau Congo haitotulia kabsAmani iwe kwenu wadau
Rais wa Kongo ameenda kuonana na rais wa Angola na amemwomba jeshi likasaidie kuwaondoa m23
Na ameapa inyeshe mvua lipige jua lazima awaondoe M23
Kibabe sana
Tuendelee kuombea Aman ndugu zangu
LONDON BOY
Mbona hatuoni viapo.vyake uwanja wa vita? Angola atamsaidia nini Sasa huko ni kutapatapa.Amani iwe kwenu wadau
Rais wa Kongo ameenda kuonana na rais wa Angola na amemwomba jeshi likasaidie kuwaondoa m23
Na ameapa inyeshe mvua lipige jua lazima awaondoe M23
Kibabe sana
Tuendelee kuombea Aman ndugu zangu
LONDON BOY
Safi sana ila Wakenya walichomfanya hatokaa asahau.Kuna mtu kasema vyema
Bongoland inajua mchezo wote na jinsi ya kuucheza ila huyo Rais tangu mwanzo alionekana kuidharau bongo hata alipoapa tu ,alikimbilia kwa bepari Kenya leo anatanga tanga wakurungwa wanamchora tu
Kwa kifupi huyo jamaa nae ndio maana Kagame anamdharau sanaaaaa
Ukiweka wanyarwanda pembeni katika uhodari wa kupigana vita, Wa Angola ni jeshi bora kivita sio kama hawa ma SADC wengine mikwara tu ila vita hawajuiAmani iwe kwenu wadau
Rais wa Kongo ameenda kuonana na rais wa Angola na amemwomba jeshi likasaidie kuwaondoa m23
Na ameapa inyeshe mvua lipige jua lazima awaondoe M23
Kibabe sana
Tuendelee kuombea Aman ndugu zangu
LONDON BOY