Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Ukweli ambao US,EU hawawezi kuongea sababu wanajua wakimkemea Kagame watakosa Colbalt na Coltan ya wizi kwani DRC ina zaidi ya asilimia sitini ya Cobalt yote duniani. Msikilize mbunge wa Ubeligiji akiongea kwa data.
View: https://m.youtube.com/watch?v=ajQhHy6U830&pp=ygUfV2hlbiB3b21hbiBiZWcgbWFuIHRvIG1hcnJ5IGhlcg%3D%3D
Wabalgiji wameiba Congo mpaka wameomba msamaha.
Nchi ya ubelgiji imejengwa na utajiri wa Congo.