ndughuri msuya
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 1,974
- 2,920
Hivi Tz imeamua Sgr ya kwenda Drc ipitie Burundi na sio Rwanda hivi ni KwaniniTunazungumzia uchumi, kwamba DRC imeamua kuungana na Tanzania ktk kujenga SGR, kama Uganda ilivyochagua TZ na kuikimbia Kenya ktk bomba la mafuta. Kama una lolote la kusema kuhusu hili jambo, au kwako wewe unaona poa tu wakati SGR imeishia porini na inaendelea kutengeneza hasara kila mwaka?
Bruh! Did I quote you?Tunazungumzia uchumi, kwamba DRC imeamua kuungana na Tanzania ktk kujenga SGR, kama Uganda ilivyochagua TZ na kuikimbia Kenya ktk bomba la mafuta. Kama una lolote la kusema kuhusu hili jambo, au kwako wewe unaona poa tu wakati SGR imeishia porini na inaendelea kutengeneza hasara kila mwaka?
Show us anything that you've attained so far and is working as we speak. I am sure non is working as we speak. Nimeingia humu juzi na kupitia nyuzi nyingi mno ili niweze kucatch up and one thing stands out for everyone to see. Tz has only one project completed sof and that is the only BRT system.Mchina katoroka northern corridor kaja central corridor. Soma hii
Tanzania is also yet to get full funding for its own SGR line, although it is eyeing Chinese support which two months ago declared its intention to finance the project.
Blow to Northern Corridor as Tanzania signs deal to link SGR to Burundi, DRC
Kenya had marketed its own SGR as the cheaper and more efficient route.www.theeastafrican.co.ke
Kuhusu Uganda pipeline read here
Uganda Reaches Deal on Tax Dispute, Paves Way for Tullow Stake Sale
Uganda said on Monday it had settled a tax dispute with international oil firms, clearing the way for Britain's Tullow Oil to revive plans to sell a stake in its assets and allow the firms to move to a final decision on development.www.nytimes.com
SGR Tanzania phase I inching 80% to be ready first half 2020 while phase II 20% is already attained!
Hapi Ni kweli bro GDP and LDCMagufuli - 2
Kenyatta - 0
Mchezo ni dakika 90' Mambo bado, yajayo yanafurahisha
Brt is not yet complete, bado sanaa.Show us anything that you've attained so far and is working as we speak. I am sure non is working as we speak. Nimeingia humu juzi na kupitia nyuzi nyingi mno ili niweze kucatch up and one thing stands out for everyone to see. Tz has only one project completed sof and that is the only BRT system.
1)Airport, the biggest and ultra modern in the regionShow us anything that you've attained so far and is working as we speak. I am sure non is working as we speak. Nimeingia humu juzi na kupitia nyuzi nyingi mno ili niweze kucatch up and one thing stands out for everyone to see. Tz has only one project completed sof and that is the only BRT system.
'Burundi has largest deposits of Nickel in Africa !?'
Hizo deposits hazijaisaidia chochote Burundi,imeshindwa mpk kupata pesa za kufanya uchaguzi imeamua mpk kuwakata wafanyakazi kwny mishahara yao na wanafunzi waliofikia umri wa kupiga kura $0.54/student.
Nchi iliyofikia hatua mpk FDI yake kua $200,000 yaani (usd laki 2 tu),hamna kitu pale labda Bongo iikingie kifua.
Msipoangalia hata Uganda watawatoroka! The two ferries will add up to 2 ferries already existing between Port Bell and Mwanza! That means there will be a total number of 4 ferries per day! I don't think Uganda won't think of viability of their SGR from Kampala to Malaba considering the superior speed the central corridor trains will be travelling!Show us anything that you've attained so far and is working as we speak. I am sure non is working as we speak. Nimeingia humu juzi na kupitia nyuzi nyingi mno ili niweze kucatch up and one thing stands out for everyone to see. Tz has only one project completed sof and that is the only BRT system.
Uganda hawaendi anywhere you can take that to any bank in Tanzania. You'll always be our underdogs love it or hate it.Msipoangalia hata Uganda watawatoroka! The two ferries will add up to 2 ferries already existing between Port Bell and Mwanza! That means there will be a total number of 4 ferries per day! I don't think Uganda won't think of viability of their SGR from Kampala to Malaba considering the superior speed the central corridor trains will be travelling!
GOT has allocated funds for 2 new wagon ferries to ply in Lake Victoria.
since they did this already
Wewe nilikuambia IQ yako inatosha ule Uzi wa Mandera attack hapo ndio ligi yako.1)Airport, the biggest and ultra modern in the region
2)Four civilian radar
3)Kigamboni bridge
4)Biggest and modern Stadium in the region
5)Mloganzila ultra modern Hospital
6)Procurement of 8 New planes
Show us any complited any working project apart from lose making white elephant old, slow SGR
It is the only thing that is visible and working in Tz.Brt is not yet complete, bado sanaa.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Watanzannia ni waongo sana.Mbona unaandika uzushi usiokuwepo
Ukiambiwa uthibitishe utaweza?
Magufuli anatosha
Hili dili limewauma kweli kweli πππHizo tweets zinaonyesha jinsi gani hili swala lilivyowagusa jirani.
BRT, Reli ya kaskazini kurudishwa pia,1)Airport, the biggest and ultra modern in the region
2)Four civilian radar
3)Kigamboni bridge
4)Biggest and modern Stadium in the region
5)Mloganzila ultra modern Hospital
6)Procurement of 8 New planes
Show us any complited any working project apart from lose making white elephant old, slow SGR
Only thing that is visible and working? [emoji13]Uganda hawaendi anywhere you can take that to any bank in Tanzania. You'll always be our underdogs love it or hate it.
Wewe nilikuambia IQ yako inatosha ule Uzi wa Mandera attack hapo ndio ligi yako.
It is the only thing that is visible and working in Tz.