Sina uhakika kama Mwalimu (RIP) ali host Mwaliko wa kidola ndani ya Butiama, Sina uhakika vilevile kama Mzee Mwinyi alifanya dhifa ya kitaifa hapo kwake msasani ama Zanzibar - ama Mzee wetu Mkapa (RIP) naye kule Lupaso ama Lushoto, halikadhalika sina uhakika kama Jakaya alifanya mwaliko kama huu huko Msoga !!
Katiba ya nchi inasemaje kuhusu ugeni kama huu !! Je Chato ina Ikulu tayari ? Sipingi kuwapokea wageni hawa ila utatarabiu wa Katiba na Sheria zetu unasemaje tafadhali
Gubu tu hamna hoja hapoSina uhakika kama Mwalimu (RIP) ali host Mwaliko wa kidola ndani ya Butiama, Sina uhakika vilevile kama Mzee Mwinyi alifanya dhifa ya kitaifa hapo kwake msasani ama Zanzibar - ama Mzee wetu Mkapa (RIP) naye kule Lupaso ama Lushoto, halikadhalika sina uhakika kama Jakaya alifanya mwaliko kama huu huko Msoga !!
Katiba ya nchi inasemaje kuhusu ugeni kama huu !! Je Chato ina Ikulu tayari ? Sipingi kuwapokea wageni hawa ila utatarabiu wa Katiba na Sheria zetu unasemaje tafadhali
Kwa uelewa wako ikulu ni nini??Mkuu, unaposema sasa wanaelekea Ikulu kwa mazungumzo unamaanisha Ikulu ipi ...!!? Kwani Chato kuna Ikulu??
Tatizo ni akiondoka kama Mabutu je uwanja utatumika. Lakini kuna biashara ya samaki ndege zinaweza kubeba samakiLissu aliposema ule uwanja hauna activities zozote sasa mkuu anawalazimisha wageni wake watue angalau kule?
ikulu ndogo zipo mikoaniKumbe Chato Kuna ikulu pia si mlisema Dodoma Sasa hii ya Chato ni ipi?
✍️“Rais Sahle angependa sana kulala hapa, anasema siku nyingine akija atakuja alale, na mimi nimemkaribisha
Ndege aliyosafiria Rais wa Jamhuri ya Ethiopia Mhe. Sahle-Work Zewde ikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Geita
Unataka aje nyumbani kwako ili ujue yupo? Chuki na wivu wa aina hii mbona hauwezi kukuacha salama ndg! Magu piga humohumo, tupo pamoja na tunakuelewa!sawa, sasa tuambie rais katokomea wapi ndugu? maana dar hayupo, dom haonekani
😆Lissu aliposema ule uwanja hauna activities zozote sasa mkuu anawalazimisha wageni wake watue angalau kule