Abu Ubaidah Commando JF-Expert Member Joined Sep 8, 2016 Posts 7,591 Reaction score 6,946 Nov 20, 2022 #1
dudus JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 23,782 Reaction score 54,213 Nov 20, 2022 #2 Kwani waarabu hawakuwa na legacy? Qatar au waarabu wakitwaa kombe itaacha legacy zaidi kuliko maneno ya Infantino.
Kwani waarabu hawakuwa na legacy? Qatar au waarabu wakitwaa kombe itaacha legacy zaidi kuliko maneno ya Infantino.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Nov 20, 2022 #3 Ahsante kwa taarifa...
Waminyato JF-Expert Member Joined Jun 22, 2022 Posts 2,197 Reaction score 4,525 Nov 20, 2022 #4 Sahivi anaitwa Hussein Infantino.
dudus JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 23,782 Reaction score 54,213 Nov 20, 2022 #5 Chief Dalmine unahesabu lakini? Wazee wa vyeti vya ndoa kuangalia world cup! Mko na South America mjue. Cc: Bwana Utam.
Chief Dalmine unahesabu lakini? Wazee wa vyeti vya ndoa kuangalia world cup! Mko na South America mjue. Cc: Bwana Utam.
dudus JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 23,782 Reaction score 54,213 Nov 20, 2022 #6 Waminyato said: Sahivi anaitwa Hussein Infantino. Click to expand... Wa ajabu kweli yule. Anyway, rushwa ni mbaya sana; hupofusha. Matokeo uwanjani yataamua.
Waminyato said: Sahivi anaitwa Hussein Infantino. Click to expand... Wa ajabu kweli yule. Anyway, rushwa ni mbaya sana; hupofusha. Matokeo uwanjani yataamua.
and 300 JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 26,398 Reaction score 36,406 Nov 20, 2022 #7 dudus said: Kwani waarabu hawakuwa na legacy? Qatar au waarabu wakitwaa kombe itaacha legacy zaidi kuliko maneno ya Infantino. Click to expand... Mfantino atakua kashavuta pesa yake saaafi, anabwabwaja tu
dudus said: Kwani waarabu hawakuwa na legacy? Qatar au waarabu wakitwaa kombe itaacha legacy zaidi kuliko maneno ya Infantino. Click to expand... Mfantino atakua kashavuta pesa yake saaafi, anabwabwaja tu